Kuna lengelenge linanitokea juu ya ukuta wa uume, ni nini hiki?

Chawa wa Zamani

Senior Member
Joined
Mar 12, 2023
Posts
145
Reaction score
224
Naomba wenye uelewa wa hili suala waje, ni takriban mwaka mmoja na nusu tokea hizi lengelenge zinitoke. Nikinyoa msitu vinatabia kama vinapotea ila msitu ukiongezeka vina ongezeka ukubwa.

Leo naona kingine kidogo chaja. Afya iko safi kwa mujibu wa matabibu (japo hili sijawahi kuwauliza). Picha ipo chini mficha ugonjwa mauti humuumbua nitangulize shukrani.

Hivyo vijipele vitatu!

 
Herpes zooster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…