Chawa wa Zamani
Senior Member
- Mar 12, 2023
- 145
- 224
Atakuwa upinde businessHahaaaaaaaa, vitu vingine mnajitia aibu sana. Mzee hufanya hilo vuzi na unaliweka mtandaoni. Umejishusha thamani sana humu JF.
mficha maradhi umauti humuumbua mkuu'..mkuu kwan wew hujui Vuzi (a.k.a msitu wa magwepande)Hahaaaaaaaa, vitu vingine mnajitia aibu sana. Mzee hufanya hilo vuzi na unaliweka mtandaoni. Umejishusha thamani sana humu JF.
Kijana waache weny maarifa waje...usitumie uzi wangu kutangaza biashara yako sawa?Atakuwa upinde business
Herpes zoosterNaomba wenye uelewa wa hoko suala waje..n takriban mwaka mmoja na nusu tokea hizi Lengelenge zinitoke ..
nikinyoa msitu vinatabia kama vinapotea ila msitu ukiongezeka vina ongezeka ukubwa. .
leo naona kingine kidogo chaja!
Afya iko safi kwa mujibu wa matabibu(japo hili sijawahi kuwauliza)
picha ipo chini mficha ugonjwa mauti humuumbua nitangulize shukran!
hivyo vijipele vitatu!View attachment 2687474
Haikuwa na umuhimu wala maana ya kuweka hiyo picha. Ungeshauriwa tu na wataalamu wa afya ila hii picha sio jambo jema au lah una lako jambo maana nyie vijana wa sasa mna mambo mengi.mficha maradhi umauti humuumbua mkuu'..mkuu kwan wew hujui Vuzi (a.k.a msitu wa magwepande)
naomba elimu nahis vyaanza kunitesa nin chanzo ?Herpes zooster
sawa wangejuaje aina ya vipele? hii n biology mkuu kama hujui pita vile! sawa?Haikuwa na umuhimu wala maana ya kuweka hiyo picha. Ungeshauriwa tu na wataalamu wa afya ila hii picha sio jambo jema au lah una lako jambo maana nyie vijana wa sasa mna mambo mengi.
Je ukivipasua vinauma?naomba elimu nahis vyaanza kunitesa nin chanzo ?
Haya hongera.sawa wangejuaje aina ya vipele? hii n biology mkuu kama hujui pita vile! sawa?
havipasuki kinakuwa kama kinyama kimetutumuka ,na haviwashi wala nin..Je ukivipasua vinauma?
Mkuu tupo nusu! na Bandari mkuu'...muda tunaishiwa ..liikiisha hili tutanyoa mkuu' kwa sauti ya 'steven nyerere 'Ni Tanzania tu Ambayo Watu wake hawanyoi Maeneo ya Ikulu[emoji28][emoji28]
hovyooo!CHAPUTA MIE NA WEWE MILELE DAIMA
MBona vuzi kawaida mkuu. We kama unapenda kipara si wote wanapenda kipara🤣🤣Hahaaaaaaaa, vitu vingine mnajitia aibu sana. Mzee hufanya hilo vuzi na unaliweka mtandaoni. Umejishusha thamani sana humu JF.
😆😆😆CHAPUTA MIE NA WEWE MILELE DAIMA