Kuna lengelenge linanitokea juu ya ukuta wa uume, ni nini hiki?

Umekwisha 😂😂😂 soon kinataeleweka 💣💣na utarudi hapa tu
 
pole sana...kama unataka 'mjegeke' Sema usiwe na wasiwasi watu wapo watakupachika tu..

all in all ushauri n Mzur sana...Mkuu unajijua lkn haujielew ![emoji23]
 
Kwahiyo akili zako zikatuma upige vuzinyo picha ..Afya ya akili ni janga la taifa .

Naomba nikuulize na swali hili je unapoishi hakuna hospital mpaka ulete vuzinyo lako JF .
Mkuu ujakua .
 
Sasa mkuu kama umeshaona kwamba ukinyoa vinapotea kwa nini unauacha msitu unamea kiasi hicho? Maintain usafi mkuu, jaribu kuhakikisha msitu hupatikani nafasi ya kustawi ili uone kama havitakuja tena!
ntafanya hvyo mkuu'... shukran kwa ushauri
 
Shusha camera kidogo plz
 
Siku unanyoa kiwembe usikivutie juu kipeleke chini kama kichaka kinavyoota.hilo lipasue alafu jipake mafuta ya nazi chaka likikua vinakauka vyote ngozi inarudi kwenye ubora wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…