Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Car swende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu kama umeshaona kwamba ukinyoa vinapotea kwa nini unauacha msitu unamea kiasi hicho? Maintain usafi mkuu, jaribu kuhakikisha msitu hupatikani nafasi ya kustawi ili uone kama havitakuja tena!havipasuki kinakuwa kama kinyama kimetutumuka ,na haviwashi wala nin..
Umekwisha 😂😂😂 soon kinataeleweka 💣💣na utarudi hapa tuNaomba wenye uelewa wa hili suala waje, ni takriban mwaka mmoja na nusu tokea hizi lengelenge zinitoke. Nikinyoa msitu vinatabia kama vinapotea ila msitu ukiongezeka vina ongezeka ukubwa.
Leo naona kingine kidogo chaja. Afya iko safi kwa mujibu wa matabibu (japo hili sijawahi kuwauliza). Picha ipo chini mficha ugonjwa mauti humuumbua nitangulize shukrani.
Hivyo vijipele vitatu!
View attachment 2687474
naona mnazd kujitokeza hii sio Nyuz yenu..anzishen wenu mjiwekee Price tags za kupigwa 'Mjegeje'Mtoto pisikali unauza bei gani
kabsa mkuu' .. wanajifanya wanaona noma huku kule hospital wanatoa 'taco' kama kawaida !Elimu za kukariri. Yan kutaka kufanana kwa watu wote nayo ni mbaya. Inafaa kilamtu awe na lifestly yake bana
pole sana...kama unataka 'mjegeke' Sema usiwe na wasiwasi watu wapo watakupachika tu..Pamoja nimendindisha kuona ngozi Yako hiyo
nikupe USHAURi
Kama uko dar au mkoani ,nenda pale mlimani city uliza nyembe zinazouzwa 45000 ,ukinyoa vuzi miezi mitatu mpaka minne hutanyoa vuzi na vipele vitaisha
Mtoto wakiume mweupe hivyo harafu unanyoa Kwa topaz kweli
Boksa navaa kwa siku mbili tu!...nkifanya kaz ngumu ndo navaa siku moja..nin shida baby?Uchafu huo usisingizie chochote hapa.
sina nimepima jana tu!![emoji409]Car swende
hili n jukwaa la afya upo??...usiripuke mkuu' tumia akili zako vizur hata kama n za kuvukia barabara sawa?Kwahiyo akili zako zikatuma upige vuzinyo picha ..Afya ya akili ni janga la taifa .
Naomba nikuulize na swali hili je unapoishi hakuna hospital mpaka ulete vuzinyo lako JF .
Mkuu ujakua .
ntafanya hvyo mkuu'... shukran kwa ushauriSasa mkuu kama umeshaona kwamba ukinyoa vinapotea kwa nini unauacha msitu unamea kiasi hicho? Maintain usafi mkuu, jaribu kuhakikisha msitu hupatikani nafasi ya kustawi ili uone kama havitakuja tena!
unachukuaga hatua gan ?Hvyo havina shida hata mimi hunipata
Shusha camera kidogo plzNaomba wenye uelewa wa hili suala waje, ni takriban mwaka mmoja na nusu tokea hizi lengelenge zinitoke. Nikinyoa msitu vinatabia kama vinapotea ila msitu ukiongezeka vina ongezeka ukubwa.
Leo naona kingine kidogo chaja. Afya iko safi kwa mujibu wa matabibu (japo hili sijawahi kuwauliza). Picha ipo chini mficha ugonjwa mauti humuumbua nitangulize shukrani.
Hivyo vijipele vitatu!
View attachment 2687474
Ndio upige picha vuzi kidume mzima ??? Utakuwa Kuna tatizo mahali .hili n jukwaa la afya upo??...usiripuke mkuu' tumia akili zako vizur hata kama n za kuvukia barabara sawa?
Siku unanyoa kiwembe usikivutie juu kipeleke chini kama kichaka kinavyoota.hilo lipasue alafu jipake mafuta ya nazi chaka likikua vinakauka vyote ngozi inarudi kwenye ubora wakeNaomba wenye uelewa wa hili suala waje, ni takriban mwaka mmoja na nusu tokea hizi lengelenge zinitoke. Nikinyoa msitu vinatabia kama vinapotea ila msitu ukiongezeka vina ongezeka ukubwa.
Leo naona kingine kidogo chaja. Afya iko safi kwa mujibu wa matabibu (japo hili sijawahi kuwauliza). Picha ipo chini mficha ugonjwa mauti humuumbua nitangulize shukrani.
Hivyo vijipele vitatu!
View attachment 2687474
Unamjua?Hahaaaaaaaa, vitu vingine mnajitia aibu sana. Mzee hufanya hilo vuzi na unaliweka mtandaoni. Umejishusha thamani sana humu JF.
Kwahiyo kama hujulikani ndio uweke utupu wako mtandaoni? Namjua si basha wako huyu nawe ndio umemuambukiza kaswendeUnamjua?
unapendraa ehh!!njoo inbobo uuone 'Mjegeje' tena nyie 'antena Less' n mwendo wa 'MJEGEJE' tu mwanzo mwsho Baby [emoji7]Shusha camera kidogo plz