Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Haya Uchira hongera.MBona vuzi kawaida mkuu. We kama unapenda kipara si wote wanapenda kipara🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Uchira hongera.MBona vuzi kawaida mkuu. We kama unapenda kipara si wote wanapenda kipara🤣🤣
Basi hiyo sio herpes zooster, muone daktari usiogopehavipasuki kinakuwa kama kinyama kimetutumuka ,na haviwashi wala nin..
kijana alikimbia umande huyo hajui kaz ya hilo Vuzi n kukukinga na maradhi vilevile linabalance temperature...sio kosa lake..n hio shule aliosomea ujinga ...[emoji23]MBona vuzi kawaida mkuu. We kama unapenda kipara si wote wanapenda kipara[emoji1787][emoji1787]
Mabinti n majasir sana aisee...Noma noma noma alafu kuna mtu analamba hapo utakuta
[emoji3578]
aisee!Basi hiyo sio herpes zooster, muone daktari usiogope
We usimpambe,mwambie hilo ni kaswende lililoambatana na Gono na Pangusa. Mwambie ukweli kuwa hiyo ni dalili ya UKIMWI ajiandae tu kuanza kumeza njugu kila siku maisha yake yote kwani ndio madhara ya umalaya aliyokuwa anafanya.🤣😂🤣😂😄😆Basi hiyo sio herpes zooster, muone daktari usiogope
Usifanye hivyo mkuu.We usimpambe,mwambie hilo ni kaswende lililoambatana na Gono na Pangusa. Mwambie ukweli kuwa hiyo ni dalili ya UKIMWI ajiandae tu kuanza kumeza njugu kila siku maisha yake yote kwani ndio madhara ya umalaya aliyokuwa anafanya.🤣😂🤣😂😄😆
sawa umesikika mkuu'..chagua wimbo? hahahWe usimpambe,mwambie hilo ni kaswende lililoambatana na Gono na Pangusa. Mwambie ukweli kuwa hiyo ni dalili ya UKIMWI ajiandae tu kuanza kumeza njugu kila siku maisha yake yote kwani ndio madhara ya umalaya aliyokuwa anafanya.[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1][emoji38]
tuwazoee vijana wetu hao wamemaliza jana chuo... [emoji23]Usifanye hivyo mkuu.
Tuheshimu afya za wengine
Mtoto pisikali unauza bei ganiKijana waache weny maarifa waje...usitumie uzi wangu kutangaza biashara yako sawa?
Elimu za kukariri. Yan kutaka kufanana kwa watu wote nayo ni mbaya. Inafaa kilamtu awe na lifestly yake banakijana alikimbia umande huyo hajui kaz ya hilo Vuzi n kukukinga na maradhi vilevile linabalance temperature...sio kosa lake..n hio shule aliosomea ujinga ...[emoji23]
AsanteHaya Uchira hongera.
Biashara ya nini sasa?vuzi?Nenda hospitali achana na huku JF amna madokta labda kama upo kibiashara na kimkakati
Vuzi zinauzwa mremboBiashara ya nini sasa?vuzi?
Uchafu huo usisingizie chochote hapa.kijana alikimbia umande huyo hajui kaz ya hilo Vuzi n kukukinga na maradhi vilevile linabalance temperature...sio kosa lake..n hio shule aliosomea ujinga ...[emoji23]
🤣🤣🤣😂😂😂kweli usifiche maradhi mkuu naona msitu unamea mpaka na milima inaanza kutokea
usitumie wembe tumia shaverNaomba wenye uelewa wa hili suala waje, ni takriban mwaka mmoja na nusu tokea hizi lengelenge zinitoke. Nikinyoa msitu vinatabia kama vinapotea ila msitu ukiongezeka vina ongezeka ukubwa.
Leo naona kingine kidogo chaja. Afya iko safi kwa mujibu wa matabibu (japo hili sijawahi kuwauliza). Picha ipo chini mficha ugonjwa mauti humuumbua nitangulize shukrani.
Hivyo vijipele vitatu!
View attachment 2687474