Kuna madhara gani mwanamke akinyoa nywele za ukeni kwa kutumia 'Magic'?

Kuna madhara gani mwanamke akinyoa nywele za ukeni kwa kutumia 'Magic'?

Hivi unaposema nikutumie papuchi yangu hapa au pm ukisema hujamaanisha hivyo ulimaanisha nini mjue ngoja niseme sio kila mwanamke mitandaoni ni Malaya sio kila mwanamke Wa kumzarau kiukweli umenikwaza sawa umenichukuliaje labda eti Haiwezekani unchukulie poa kiasi hicho mwili wangu unathamani kubwa sana kwangu sio lazima watu kama nyinyi mjue thamani ya mwili wangu ila Mimi Na Mungu wangu tunatosha sana kuijua thamani ya mwili wangu kaka umenikwaza sana aiseeeeee umepata ujasili gani kuniambia hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada mbona unataman kufa mapema?

Duniani kuna mambo meeengi, sio kila kitu lazima kiwe kama unavyotaka wewe, na ukiwa na tabia ya kubeba kila kitu, utakufa mapema kwa mawazo.

Kimsingi jamaa alikuwa anajaribu bahati yake tuu, kama hujamuelewa unampotezea tuu, sio had uanze kutoa ya moyoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umetumia lugha kali aiseee..ila ngoja wajuvi waje..

Ugiligili
 
Mimi nilishampa ONYO mke wangu kamwe asinyoe hizo nywele kwani ndio raha yangu...huwa nazipunguza tu kidogo ili zisimsumbue wakati wa kuvaa nguo ya ndani (wakati mwingine zikiwa ndefu sana zinasababisha abanwe na chupi)

Na hadi kwao wanajua kuwa akinyoa tu ni TALAKA inamhusu.

Hata hapa JF nilishaelezea kuwa nilitaka kumtaliki kwasababu hiyo.

Mwanamke mtu mzima ananyoa huko anakuwa kama mtoto mdogo, Stupid!

Mimi wakwangu mara ya mwisho kumnyoa ni mwaka 2014 karibia kabisa na Christmas...sasa ni ndefu hadi zinavutia ila ni SAFI na yeye pia ni msafi.

Raha ya eneo hilo upatafute kwa tochi.

Msimamo wangu ni ule ule.
Nimecheka sana.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Dahhhh nimejikuta roho inaniuma dahhhh saw kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe sasa ila humunkuna utani sana dada sidhani kama kuna mtu anapenda kuonyesha uchi wake humu kwa kua sio heshima na akitokea mtu akafanya hivyo humu utaona atakavyoandamwa kama yule dada anajiita AmberTuth alivyoonesha matiti yake mtandaoni lakini watu walimshulikia haswa..heshima kwa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msamehe sasa ila humunkuna utani sana dada sidhani kama kuna mtu anapenda kuonyesha uchi wake humu kwa kua sio heshima na akitokea mtu akafanya hivyo humu utaona atakavyoandamwa kama yule dada anajiita AmberTuth alivyoonesha matiti yake mtandaoni lakini watu walimshulikia haswa..heshima kwa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa uyo alionyesha matiti sijaonaga[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] labda sio yeye kachukua picha za mitandaoni tu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msamehe sasa ila humunkuna utani sana dada sidhani kama kuna mtu anapenda kuonyesha uchi wake humu kwa kua sio heshima na akitokea mtu akafanya hivyo humu utaona atakavyoandamwa kama yule dada anajiita AmberTuth alivyoonesha matiti yake mtandaoni lakini watu walimshulikia haswa..heshima kwa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
Poa josaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kitu cha bure unanikwaza misio Malaya sawa kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Jf hii utapata wapi heshima ni ngumu kuipata lkn pia kuzungumzia tu haya umejitoa heshima tayari, kuzungumzia private parts kama hizo tayari ni umalaya nafsi yako haina haya.
Kama amekuudhi msamehe lkn humu utapata stress bure kwa sababu umeivunja heshima yako mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom