Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Kwanini mnafanya tendo gizani? Mnaogopana? Pangekuwa na mwanga usingeshindwa kuona dalili…
Kwenye taaa mkuu hutaman hata kumgusa mwenzako maanaa unakuta lile eneo Lina mabaka mabaka mara mapele mara makovu...plus michirizi...mixer harufu
 
Dah kweli wanaume tumeumbiwa mateso.

Hela uumpe, umfikishe kileleni, na uvinza pia uende.

Mm siwez hii kitu.
Mwanamke ndio anatakiwa akunyonye wewe na sio ww umnyonye.
 
Ushasema bahati mbaya,japo bahati mbaya siyo kiswahili sanifu,basi hata ukipata dhara,ni bahati mbaya
 
Hakukuwa na harufu yoyote mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…