Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Chai tamu ila umezidisha tangawizi kidogo.
Screenshot_20250308-232812.jpg

Au sio
 
Wakuu nipo na serious depression hii imetokea leo asubuhi.

Baada ya mpenzi wangu kutoka kazini shift ya usiku aliniomba aje apumzike kwangu na kwa vile leo ni weekend nikamkaribisha coz nilikuwa home tu.

Mtoto alifika fresh nikampokea akalala kama masaa mawili hivi baadae akaamka basi tukaanza romance za hapa na pale mtoto akaitika baadae akanishika kichwa akanizamisha uvinza basi nikapiga deki la kutosha ila nilihisi radha tofauti mdomoni nikapotezea baada ya muda ikabidi niangalie nakuta kumbe demu kaingia period bila yeye mwenyewe kujua japo alishanitaadharisha before. But akujua kama inaweza kutokea leo.

Wakuu mimi kitu kinachoniuma hii issue nimekuja kuistukia tayari nimeshakunywa litre kadhaa za damu.

So, wapambanaji naomba mnijuze kama kuna mtu alishawahi kutana na hayo mazingira na vipi hatua za kuchukua za kimatibabu kama kuna madhara yoyote ya kiafya naweza kuyapata.

Nipo nasoma comment.
 
Aha! Mapenzi ya kizungu au sio

Kijana kama wewe wana

Au basi hongera kwa kula damu
 
Wakuu nipo na serious depression hii imetokea leo asubuhi.

Baada ya mpenzi wangu kutoka kazini shift ya usiku aliniomba aje apumzike kwangu na kwa vile leo ni weekend nikamkaribisha coz nilikuwa home tu.

Mtoto alifika fresh nikampokea akalala kama masaa mawili hivi baadae akaamka basi tukaanza romance za hapa na pale mtoto akaitika baadae akanishika kichwa akanizamisha uvinza basi nikapiga deki la kutosha ila nilihisi radha tofauti mdomoni nikapotezea baada ya muda ikabidi niangalie nakuta kumbe demu kaingia period bila yeye mwenyewe kujua japo alishanitaadharisha before. But akujua kama inaweza kutokea leo.

Wakuu mimi kitu kinachoniuma hii issue nimekuja kuistukia tayari nimeshakunywa litre kadhaa za damu.

So, wapambanaji naomba mnijuze kama kuna mtu alishawahi kutana na hayo mazingira na vipi hatua za kuchukua za kimatibabu kama kuna madhara yoyote ya kiafya naweza kuyapata.

Nipo nasoma comment.
Mwezi huu hauishi tutakuimbia parapanda!
 
Kwangu mim hua naskia tu vijistory kua inzi hatui kwenye ile damu ni hatari.. Pia inaua binadam japo cna uthibitisho.

Fanya hv kama unahs ni sumu ili kujikinga..
~Kunywa maziwa kila sku angalau one week.
~tafuna kipande cha mkaa kila cku au unga wa mkaa na maj vuguvug robo lita kunywa week.

~mwisho tafuna kitunguu saumu mdomon na umeze, hiyo inaua fangas, kwa wanaopenda zama chumvin mpende tumia. Bila ivo mdomo mwekundu
 
Kwangu mim hua naskia tu vijistory kua inzi hatui kwenye ile damu ni hatari.. Pia inaua binadam japo cna uthibitisho.

Fanya hv kama unahs ni sumu ili kujikinga..
~Kunywa maziwa kila sku angalau one week.
~tafuna kipande cha mkaa kila cku au unga wa mkaa na maj vuguvug robo lita kunywa week.

~mwisho tafuna kitunguu saumu mdomon na umeze, hiyo inaua fangas, kwa wanaopenda zama chumvin mpende tumia. Bila ivo mdomo mwekundu
Daaah story za mtaan zina chekesha
Ile ni damu ya kawaida tuu cha msingi asiwe na magonjwa kama HIV hepatitis ila haina shidaa
Ni sawa mtu ajikate damu umwagikie kwake kama haumwi haina shida
 
Hiki kizazi Cha ovyo Sana Kila unachoona wanafanya wazungu unaiga, mngeiga vitu vya maana tungekuwa mbali sana
 
Back
Top Bottom