Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Bamdogo angu alikufa Kwa kula nyama na mchanganyiko wa hezi ya mkewe alikufa na mkewe alikiri baada ya mazishi kupita
 
Wakuu nipo na serious depression hii imetokea leo asubuhi.

Baada ya mpenzi wangu kutoka kazini shift ya usiku aliniomba aje apumzike kwangu na kwa vile leo ni weekend nikamkaribisha coz nilikuwa home tu.

Mtoto alifika fresh nikampokea akalala kama masaa mawili hivi baadae akaamka basi tukaanza romance za hapa na pale mtoto akaitika baadae akanishika kichwa akanizamisha uvinza basi nikapiga deki la kutosha ila nilihisi radha tofauti mdomoni nikapotezea baada ya muda ikabidi niangalie nakuta kumbe demu kaingia period bila yeye mwenyewe kujua japo alishanitaadharisha before. But akujua kama inaweza kutokea leo.

Wakuu mimi kitu kinachoniuma hii issue nimekuja kuistukia tayari nimeshakunywa litre kadhaa za damu.

So, wapambanaji naomba mnijuze kama kuna mtu alishawahi kutana na hayo mazingira na vipi hatua za kuchukua za kimatibabu kama kuna madhara yoyote ya kiafya naweza kuyapata.

Nipo nasoma comment.
Bahati mbaya ndio nini?
 
Wanasema ni sumu pia subiri kuwa shoga maana zina homon nying za kike we ni wawapi unananyonya papuchi unameza WtF!!!,nanyonya adi kinyelo ila sijawah meza ule uchafu wala haufiki kooni ni kucheza na apex ya ulimi tu
 
Wakuu nipo na serious depression hii imetokea leo asubuhi.

Baada ya mpenzi wangu kutoka kazini shift ya usiku aliniomba aje apumzike kwangu na kwa vile leo ni weekend nikamkaribisha coz nilikuwa home tu.

Mtoto alifika fresh nikampokea akalala kama masaa mawili hivi baadae akaamka basi tukaanza romance za hapa na pale mtoto akaitika baadae akanishika kichwa akanizamisha uvinza basi nikapiga deki la kutosha ila nilihisi radha tofauti mdomoni nikapotezea baada ya muda ikabidi niangalie nakuta kumbe demu kaingia period bila yeye mwenyewe kujua japo alishanitaadharisha before. But akujua kama inaweza kutokea leo.

Wakuu mimi kitu kinachoniuma hii issue nimekuja kuistukia tayari nimeshakunywa litre kadhaa za damu.

So, wapambanaji naomba mnijuze kama kuna mtu alishawahi kutana na hayo mazingira na vipi hatua za kuchukua za kimatibabu kama kuna madhara yoyote ya kiafya naweza kuyapata.

Nipo nasoma comment.
We Kijana:
1. Acha kudanganya watu hapa eti umejistukia umekunywa lita kadhaa... ...ni uongo kabisa. Hiyo damu haipo nyingi kivile au haiwezi kutoka nyingi kiasi hicho hata nusu lita haifiki kwa mara moja. Kumbuka damu hiyo hudumu kutoka kwa mfululizo (consecutively)wa siku 3-5. Sasa Kwa ulivyosema, ina mana atakuwa amepoteza lita nyingi sana kitu ambacho kitaweza kumsababishia Tatizo la Enaemia i.e. Upunghufu wa damu mwilini.
Kwa hiyo hujanywa hata lita moja mzee. Mbona maji huwezi kunywa mengi kiasi hicho kwa mara moja?
2. Utapata shida kubwa ya kisaikolojia kutokana na ww kulileta jambo lako hili lilokuwa sirini sasa umeliweka hadharani. Wewe endelea kuketi hapo kusoma koments lakini koments ndo zitakuumiza na kukufikirisha zaidi na zaidi.
3. Habari njema kwako ni kwamba kama hakuna viini vya uambukizo kwenye damu ya hedhi e.g. UTI, HIV, Candida n.k.; damu hiyo haina madhara yoyote kiafya ila ni KINYAA (aethetic) ndo mana hata wenye nayo huitupa tena kwa kificho, mbali au kuifukia shimoni isionekane na watu wengine. Halafu ujue sio sumu hata kidogo na kwa namna fulani damu hiyo hutumika (baada ya kufanyiwa mchakato maalum) kutibu tatizo la Ini kufeli -Liver failure(treatment for liver failure).
Mwisho : Uwe na Amani ya moyoni ila usirudie tena UJINGA huo.
Ni hayo tu.

.
 
We Kijana:
1. Acha kudanganya watu hapa eti umejistukia umekunywa lita kadhaa... ...ni uongo kabisa. Hiyo damu haipo nyingi kivile au haiwezi kutoka nyingi kiasi hicho hata nusu lita haifiki kwa mara moja. Kumbuka damu hiyo hudumu kutoka kwa mfululizo (consecutively)wa siku 3-5. Sasa Kwa ulivyosema, ina mana atakuwa amepoteza lita nyingi sana kitu ambacho kitaweza kumsababishia Tatizo la Enaemia i.e. Upunghufu wa damu mwilini.
Kwa hiyo hujanywa hata lita moja mzee. Mbona maji huwezi kunywa mengi kiasi hicho kwa mara moja?
2. Utapata shida kubwa ya kisaikolojia kutokana na ww kulileta jambo lako hili lilokuwa sirini sasa umeliweka hadharani. Wewe endelea kuketi hapo kusoma koments lakini koments ndo zitakuumiza na kukufikirisha zaidi na zaidi.
3. Habari njema kwako ni kwamba kama hakuna viini vya uambukizo kwenye damu ya hedhi e.g. UTI, HIV, Candida n.k.; damu hiyo haina madhara yoyote kiafya ila ni KINYAA (aethetic) ndo mana hata wenye nayo huitupa tena kwa kificho, mbali au kuifukia shimoni isionekane na watu wengine. Halafu ujue sio sumu hata kidogo na kwa namna fulani damu hiyo hutumika (baada ya kufanyiwa mchakato maalum) kutibu tatizo la Ini kufeli -Liver failure(treatment for liver failure).
Mwisho : Uwe na Amani ya moyoni ila usirudie tena UJINGA huo.
Ni hayo tu.

.
Ahsante mkuu
 
Navojua mimi ni ile damu ya mwishon ya hedhi ikichanganywa na mavi ya mwisho yale yanayobaki unapomaliza kujisaidia hapo hata uende hospitali gani huponi. Ila damu ya hedhi peke yake sidhan kama inaweza kuua zaidi itakuletea mvurugiko wa tumbo maana ni uchafu pia inatia kinyaa.
 
Wee jamaa mjinga sana damu ya hedhi inavyonuka vile ukihisi harufu tofauti na kwa nini unyonye **** ushawahi kumwona mgonjwa wa kansa ya koo anavyoteseka?? Kansa inakunyemelea wewe
 
Navojua mimi ni ile damu ya mwishon ya hedhi ikichanganywa na mavi ya mwisho yale yanayobaki unapomaliza kujisaidia hapo hata uende hospitali gani huponi. Ila damu ya hedhi peke yake sidhan kama inaweza kuua zaidi itakuletea mvurugiko wa tumbo maana ni uchafu pia inatia kinyaa.
Yeah kweli mkuu tumbo lilivurugika sana baada ya pale
 
Sawa
 

Attachments

  • Screenshot_20250309_173300_Google.jpg
    Screenshot_20250309_173300_Google.jpg
    463.3 KB · Views: 1
Mkuu hutapata madhara mengine zaidi ya sauti kubadilika na kuwa kavu kama ya mchungaji wa kilokole. Nakushauiri ununue bibilia uanzisha kanisa haraka ili mtaani kwenu watu wajue kuwa sauti yako imekauka kutoka na na huduma ya maombi.
Mbaga Jr mzabzab
 
Ilikuwa
Wakuu nipo na serious depression hii imetokea leo asubuhi.

Baada ya mpenzi wangu kutoka kazini shift ya usiku aliniomba aje apumzike kwangu na kwa vile leo ni weekend nikamkaribisha coz nilikuwa home tu.

Mtoto alifika fresh nikampokea akalala kama masaa mawili hivi baadae akaamka basi tukaanza romance za hapa na pale mtoto akaitika baadae akanishika kichwa akanizamisha uvinza basi nikapiga deki la kutosha ila nilihisi radha tofauti mdomoni nikapotezea baada ya muda ikabidi niangalie nakuta kumbe demu kaingia period bila yeye mwenyewe kujua japo alishanitaadharisha before. But akujua kama inaweza kutokea leo.

Wakuu mimi kitu kinachoniuma hii issue nimekuja kuistukia tayari nimeshakunywa litre kadhaa za damu.

So, wapambanaji naomba mnijuze kama kuna mtu alishawahi kutana na hayo mazingira na vipi hatua za kuchukua za kimatibabu kama kuna madhara yoyote ya kiafya naweza kuyapata.

Nipo nasoma comment.
Ilikuwa Portrayed kwenye movie za Nigeria,Mama G alimnywesha bint wake wa kambo.Alifariki.
 
Back
Top Bottom