Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

Kuna story Kwa Anni Kaleb Facebook,bint alipata mchumba tajir,lakin tabia yake ilkua kumnyonya damu ya hedhi ,kumbe ulikua utajir wa kimapepo ,inatisha Ile true story..mpaka Sasa yule bint anaombewa na watumishi kuvunja maagano ya damu na yule tajir japo alishamuacha kitambo,..
 
Haina madhara, in fact ni very nutritious stuff
 
Kwanza kwanini unafanya ngono kinyume na maumbile?!
 
Acha Woga wewe hakuna madhara yoyote ila umekula uchafu.Kwanini demu asingeoga kwanza? Hizo wanaziita nyege mshindo.
Kwanini hakuna madhala wewe unajua hiyo damu inacontain vitu gani na vingapi?
 
Hakuna madhara mm nilishainywa acheni kumtisha jamaa.Jamaa Anguee,kachukue kisungura kimoja upige utakuwa vyedi.Zingine ni story za akina Prof.Janabi.
Kwanini hakuna madhala wewe unajua hiyo damu inacontain vitu gani na vingap
 
Hakuna madhara mm nilishainywa acheni kumtisha jamaa.Jamaa Anguee,kachukue kisungura kimoja upige utakuwa vyedi.Zingine ni story za akina Prof.Janabi.
Mpaka hapa ushathibitisha haupo sawa kwa ushauri wa kisungura?! Unatakiwa ufanye vipimo vya afya.
 
Nacheka kama mazuri
 
Uwe scientific, where does damu ya hedhi come from? What is its purpose? what makes it come out?
 
Asee hii ishawahi nitokea, na nilichelewa sana kustuka, ila ile kuja kuwasha taa nilikuwa nimechafuka damu hadi kwenye ndevu. Lakini sikupata madhara yoyote ya kimwili.
 
Nilikunywa mkuu ndio nimekuja kwenu kuomba ushauri nini nifanye
Cha kufanya hamna hapo ni kusubiria malaika israel aje kukusabahi tu ndio umuombe ushauri,hiyo ni kwa mujibu wa mapokeo niliyoambiwa,ila kama kuna antidote watakuja wajuvi zaidi,heri uweke namba ya michango kabisa ili wadau wasipate shida,ukitoboa we ndio utakua sample space
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…