Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Kama uliweza bila kufanya wala kupiga nyeto hongera
Mind can not control involuntary actions such as breathing, pumping action of the heart, peristalsis and control of blood pressure. Lakini njaa ya sex iko kwa uwezo wa MIND kuidhibiti as u wish😁
 
Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,

Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.

Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
Hamna shida kabisa. Tena ukizoea kukaa mwenyewe, hautataka kuwa na mwanamme maana utaona mzigo
 
Back
Top Bottom