Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
- Thread starter
- #21
Hata wewe unaweza ukanipa ufafanuzi mkuuApige kisirisiri ndani ya gereza la Roben hebu omba waelewa wakuletee Sifa za gerza hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe unaweza ukanipa ufafanuzi mkuuApige kisirisiri ndani ya gereza la Roben hebu omba waelewa wakuletee Sifa za gerza hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] ndio nini... Ge.nyeGe.nye
Vipi na wewe unaweza kuhimili mihemkoHakuna Madhara..
Hakuna Cha Moto...
Hakuna Cha Baridi...
we jitahidi kudhibiti fikra za kichwani kila kitu kinakuwa sawa... mihemko huanzia kwenye ubongo kwanza kabla ya kuja chini
Ahaaaa ...[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] ndio nini... Ge.nye
Kwa wewe unaweza ukajibujeTungempata Padre au sista mwaminifu angeweza kujibu hili swali kwa ufasaha zaidi...
Mkuu madhara kiafya yapo
Haaa haaa ..Muda wowote unaweza kujikuta umejiunga CHAPUTA [emoji2][emoji2]usifanye mchezo na ge...nye
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna Madhara..
Hakuna Cha Moto...
Hakuna Cha Baridi...
we jitahidi kudhibiti fikra za kichwani kila kitu kinakuwa sawa... mihemko huanzia kwenye ubongo kwanza kabla ya kuja chini
na madem wana sperm mkuu?? anyways...madhara ya kisaikolojia labda ila kidogoAhaaaa ...
Haya Sperm
Mimi nilianza kut@mb@ nikiwa na miaka 25, kabla sijaanza nilikuwa sijapata madhara yeyote kibaiolojia kwa miaka hiyo ambayo nilikuwa sijaanza...Kwa wewe unaweza ukajibuje
Najua watapitia hapa ujumbe watauona tuHaaa haaa ..
Waambie bhana
Hawana ila nimeuliza jinsia zote..na madem wana sperm mkuu?? anyways...madhara ya kisaikolojia labda ila kidogo
Vipi hujawahi kukaa muda mrefu bila kugegedaMimi nilianza kut@mb@ nikiwa na miaka 25, kabla sijaanza nilikuwa sijapata madhara yeyote kibaiolojia kwa miaka hiyo ambayo nilikuwa sijaanza...
Sema ndo ivo tena, ukishaanza kula nyama ya binadamu, huwezi kuacha... So its better to marry or get married ili uendelee kuila kiuhalali...
Muda mrefu si ndo huo tangu nazaliwa mpaka natimiza miaka 25? Sasa hivi nimeoa, so kugegeda ni full time... Every day and night except zile siku ambazo mvua zinanyesha ndo tunaenda mapumzikoni... 🙄🙄🙄Vipi hujawahi kukaa muda mrefu bila kugegeda
Asnt mkuu..
Naomba ufafanuzi kipsychologically
Ukituliza fikra hutapata matatizo yoyote kisaikolojia?Madhara hayapo na hiyo saikolojiko inakuja ukiruhusu fikra unasumbuka Mimi binafsi Nina miaka 2 Niko nje na nyumbani ki Kazi yaani sisumbuki na sielewi munaposema kupata Shida saikolojikale mbona Kazi zangu nafanya tu kwangu Geita Niko kahama vjjn bila Shida kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app