Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,991
Chaputa itakuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe inawezekana kukaa muda mrefuMuda mrefu si ndo huo tangu nazaliwa mpaka natimiza miaka 25? Sasa hivi nimeoa, so kugegeda ni full time... Every day and night except zile siku ambazo mvua zinanyesha ndo tunaenda mapumzikoni... 🙄🙄🙄
stressHawana ila nimeuliza jinsia zote..
Hayo madhara ya kisaikolojia ni yapi mkuu
Nimekosoma mkuu..
- Mwili wako utakosa faida za kiafya ambazo huletwa ukifanya sex..
- Utakuwa mtu wa kuvunjika moyo na kukataa tamaa...
- Utakuwa mtu wa mawazo na mihemuko isiyo na msingi, wewe kitu kidogo tu povu linakutoka...
- Kwa mwanamke, ukee husinya na kukosa rutuba na hupoteza hali ya kulowa mara nyingi hubakia mkavu kitu ambacho siyo kizuri, kwa mwanaume uwezo wa kudinda vizuri hupotea...
- Unakuwa ni mrahisi wa kushambuliwa na magonjwa...
- Uwezo wa kufikiri hupungua...
cc: mahondaw
Ndiyo. Inawezekana bila shaka...Kumbe inawezekana kukaa muda mrefu
Nimekusoma mkuu..Madhara yapo tena makubwa sana. nitaweka baadhi tu.
1. Kinga za mwili hupingua.- hii usababisha kuweza kyshambuliwa kirahisi ma magonjwa kama mafua N.k (jinsia zote mbili)
2. Kupungukiwa na Ufanisi;
A. Kwa wanaume uwezo wa dushee lako kufanya kazi utapungua (matokeo yake mnayajua) wenye lugha zao husema ' "'use it or loose it
B. Kwa wanawake huwa na maumivu sana wakiwa kwenye hedhi
3. Uwezo wa kufikiri hupungua
4. Kupatwa na maumivu kama vile mgongo n.k
5. Kukosa usingizi (hili linathibitishwa humuhumu)
Wengine wataongezea
Cc:nichumu nibebikeMadhara yapo tena makubwa sana. nitaweka baadhi tu.
1. Kinga za mwili hupingua.- hii usababisha kuweza kyshambuliwa kirahisi ma magonjwa kama mafua N.k (jinsia zote mbili)
2. Kupungukiwa na Ufanisi;
A. Kwa wanaume uwezo wa dushee lako kufanya kazi utapungua (matokeo yake mnayajua) wenye lugha zao husema ' "'use it or loose it
B. Kwa wanawake huwa na maumivu sana wakiwa kwenye hedhi
3. Uwezo wa kufikiri hupungua
4. Kupatwa na maumivu kama vile mgongo n.k
5. Kukosa usingizi (hili linathibitishwa humuhumu)
Wengine wataongezea
Yaani wewe gegedana tu hata mara sita kwa sikuNimekusoma mkuu..
Kumbe Kuna faida nyingi za kugegedana
Duh..Yaani wewe gegedana tu hata mara sita kwa siku
Zikifikia kiwango hiko ndio madhara yenyewemadhara hakuna, kaa hata miaka mia tano lakini hizo genye zitakuwa kwenye kiwango cha gridi ya taifa
- Mwili wako utakosa faida za kiafya ambazo huletwa ukifanya sex..
- Utakuwa mtu wa kuvunjika moyo na kukataa tamaa...
- Utakuwa mtu wa mawazo na mihemuko isiyo na msingi, wewe kitu kidogo tu povu linakutoka...
- Kwa mwanamke, ukee husinya na kukosa rutuba na hupoteza hali ya kulowa mara nyingi hubakia mkavu kitu ambacho siyo kizuri, kwa mwanaume uwezo wa kudinda vizuri hupotea...
- Unakuwa ni mrahisi wa kushambuliwa na magonjwa...
- Uwezo wa kufikiri hupungua...
cc: mahondaw
Kwa upande wako unasemaje
Haya shemejiii nimewasomaaaaa
Madhara yapo.... Jinsia yoyote ikikaa muda mrefu bila mgegedo kuna hatari ya kuwa mentally unfit.Hamna madhara ila cha moto utakiona
HAKUNA MADHARA YOYOTE
aseeehMadhara yapo.... Jinsia yoyote ikikaa muda mrefu bila mgegedo kuna hatari ya kuwa mentally unfit.
1.Kwa ajili ya afya ya mwili mwanadamu anahitaji chakula na mazoezi
2.Kwa ajili ya afya ya akili mwanadamu anahitaji usingizi wa kutosha na mgegedo
NB:kuna baadhi ya nchi mtu akithibitishwa (akikiri) kwamba hajapata mgegedo kwa muda zaidi ya miezi sita haruhusiwi kutoa ushahidi mahakamani akiaminiwa kwamba hana akili sawasawa.
Tahadhari : Shikamana na njia kuu.. Michepuko noooooma.