Hata mimi nafikiria kufanya maamuzi hayo lakini sijatoa mahali wala sijamvalisha pete ya uchumbaWana JamiiForums hope mko poa kabisa
Naomba kuuliza hili maana linanitesa sana. Mimi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nimemlipia mahari na nikamvalisha pete.
Ila mimi baada ya kuona aeleweki nikampotezea Swali ni kuna madhara yoyote ukiachana na mtu ambaye ushamlipia mahari na kumvisha pete ya uchumba.
Madhara utayapataHata mimi nafikiria kufanya maamuzi hayo lakini sijatoa mahali wala sijamvalisha pete ya uchumba
kama anasaidia ndio uoe malaya?Kifuatacho ni kupiga punyenga hayo ndio madhara mke anasaidia sana mshaurini Jamaa vizuri
Kuoa Malaya na kupiga punyenga Bora nini?kama anasaidia ndio uoe malaya?
wanawake wazuri wapo kibao anafeli wapi?Kuoa Malaya na kupiga punyenga Bora nini?
Ataishia kupiga punyenga Wewe mponze tu mpaka analipa Mahari maana yake amepata pa kukojoleawanawake wazuri wapo kibao anafeli wapi?
Inamuumaje huyo aloamua kuacha?Hakuna ila kiibinadamu itawauma sana nyote.
Unajiita una hela na umeajiri watu hata kuandika hujui... Huna ustaarabu kabisa mdogo wangu, kila sehemu michango yako huwa ni ya kipuuzi tu! Matusi, kuandika visivyoeleweka na kujiona we ndio wewetoasababumalay wewe
Nimekushangaaa zaidi ya mara7000!!!Chochote unachokifanya kama kitamuumiza mtu hisia zake kuna madhara.
Mfano, umelipa mahari, na umemvisha pete ya uchumba. Hayo yote umewashirikisha ndugu zake na ndugu zako bila kusahau marafiki na majirani zenu. Lengo likiwa ni kufunga ndoa.
Sasa usipomuoa huyo mchumba wako utawaumiza zaidi kihisia wazazi wake na ndugu zake. Pia yeye mwenyewe utamuumiza kihisia sababu wapo watakao mdhihaki kwa kutolewa mahari na kuachwa kabla hata ya ndoa.
Machozi na manung'uniko ya watu unaowaumiza kwa namna moja ama nyingine huwa hayakuachi salama.
Kuna kitu wazungu wanaita "divine retribution", lazima itakupata kama wewe ndiye mwenye hatia hata kama sio leo, ipo siku yatakupata.
Amini nakwambia kuna Wanawake machozi yao yana mikosi sana.
Na ndiyo maana mnaambiwa kabla ya kufanya maamuzi yoyote yale, tafakari kwa kina. Ulipaswa kutafakari kabla ya kutoa mahari na kumvisha pete ya uchumba.
kwanza Karne hii unalipaje mahariAtaishia kupiga punyenga Wewe mponze tu mpaka analipa Mahari maana yake amepata pa kukojolea
🤣🤣🤣mwakahuu nitawanyoosha mbwatakataka nyieBantu Lady muelekeze huyu mshamba kuandika... Hata matumizi ya space hayajui
Utaishia kupiga punyenga lipa Mahari ukate utepe miaka 1000kwanza Karne hii unalipaje mahari
Huyu ni msumbufu, muacheni msipomjibu ataondoka mwenyewe. Ndiyo mtu anayemiliki ID's nyingi JF. Nyingi zimepigwa Ban na kila leo anaanzisha mpya. Huyu ndiyo yule huwa anadislike kila comment. Kipensili huyu...Bantu Lady muelekeze huyu mshamba kuandika... Hata matumizi ya space hayajui
Madhara yaliyopo ni kwamba UTAROGWAAAAWana JamiiForums hope mko poa kabisa
Naomba kuuliza hili maana linanitesa sana. Mimi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nimemlipia mahari na nikamvalisha pete.
Ila mimi baada ya kuona aeleweki nikampotezea Swali ni kuna madhara yoyote ukiachana na mtu ambaye ushamlipia mahari na kumvisha pete ya uchumba.
Sawa sawaHakuna madhara zaidi itaonesha your maturity na wazazi watapata picha kuwa binti yao ni mapepe.
unacheka nini Sasa😕😕Hahahahaha, duh