Mwana wa Kaya
New Member
- Sep 8, 2023
- 3
- 1
Toka mikutano hii ya Mabadiliko ya Tabia Nchi maarufu kama COP ianze, Tanzania tumefaidika na nini?
Mwaka jana ilikuwa inaitwa COP27 na ilifanyika nchini Egypt na mwaka huu inaitwa COP28 na itafanyika Dubai. Mwaka ujao 2024 itakuwa COP29.
Najaribu kujiuliza kama taifa tumefaidika namna gani kushiriki mikutano hii? Tumepata miradi ipi inayotokana na ushiriki wetu?
Je, ni njia ingine ya kutufanye tuache kuchapa kazi nyumbani huku tukienda kuomba kwa wazungu?
Mwenye kujua faida zilizopatikana so far anielimishe
Mwaka jana ilikuwa inaitwa COP27 na ilifanyika nchini Egypt na mwaka huu inaitwa COP28 na itafanyika Dubai. Mwaka ujao 2024 itakuwa COP29.
Najaribu kujiuliza kama taifa tumefaidika namna gani kushiriki mikutano hii? Tumepata miradi ipi inayotokana na ushiriki wetu?
Je, ni njia ingine ya kutufanye tuache kuchapa kazi nyumbani huku tukienda kuomba kwa wazungu?
Mwenye kujua faida zilizopatikana so far anielimishe