Uchaguzi 2020 Kuna mahali CCM ilikosea?

Uchaguzi 2020 Kuna mahali CCM ilikosea?

Wakuu heshima sana,

Kadri siku ya uchaguzi mkuu zinapokaribia nabaki najiuliza maswali kadhaa bila majibu.

Najaribu kutafakari ni eneo gani haswa CCM ilikosea ?.

Mosi,kununua wapinzani (wabunge,madiwani na viongozi wa vyama).Wananchi au ukipenda unaweza kuwaita wapiga kura hawapendi siasa za aina hiyo.
Ukinunua wabunge au madiwani yawezekana bado haujanunua wapiga kura au sababu za kuchagua upinzani bado zinakuwa pale pale !.

Pili,Style ya kutawala au kuongoza za utawala huu si rafiki au wapiga kura hawazipendi.Hivi siasa za kutumbua tumbua fukuza fukuza mara vyeti feki bado si jawabu la kupendwa ? !.Labda tuseme kulikuwa na uonevu,kukiuka sheria na taratibu za ajira au vyote kwa pamoja.

Tatu, Matumizi ya kupiliza ya vyombo vya habari kusifiwa na majivuno.TBC chini ya Dr Ryoba ilipitiliza kusifu kila jambo mara ndege,Reli,Vyeti feki lakini Makonda hausiki na ukaguzi.Barabara hata ya Kilometer 2 mtu atasifiwa kuanzia asubuhi hadi jioni kuanzia Jumatatu hadi Jumatatu nyingine ni mwendo wa kumsifu mtu mmoja ungefikiri kujenga Daraja au Kivuko ni Hispano kumbe ni wajibu wake tena kazi yenyewe kaiomba kwa kampeni na ahadi luluki.

Nne,Unasema pekee yako miaka mitano wengine wakisema shida (Kesi,Vifungo,misukosuko....)Nauliza WaTanzania wamechoka na siasa za aina hii !.

Tano,Ujenzi wa Flyover Dar una faida zipi kwa mkaazi wa Dongobesh au Tarakea mkulima wa ndizi au mkulima wa Ngogwe Lushoto.Naamini kila eneo la nchi yetu lina mahitaji yake ya msingi kutokana na mazingira yake.

Sita,Watawala wetu walifika mahali wakajiona hapo walipo walifika wenyewe si wananchi /wapiga kura.Kauli zao maamuzi yao mengi yalilenga kuwanufaisha wao wenyewe eg kupitisha sheria za kuwajengea nyumba MaRais wastaafu,Sheria za mafao yao na matibabu yao zipo vizuri kweli kweli wakati wafanyakazi sheria za mafao yao kila mara wanatengenezewa sheria za kuwakandamiza eg sheria ya kujitoa na kikokoteo.Sheria za kinga ya kutoshitakiwa hata wakifanya makosa ya aina gani !.

Mwisho nadhani watawala hawakujiandaa kukumbana na uchaguzi wenye ushindani wa kiwango hiki tunachokiona sasa.Walifikiri kumnunua Silinde,Lijualikali,Nassari ...... watakuwa wamemaliza kila kitu sasa wamekutana na uungwaji mkono wa kiwango cha kutisha kutoka kwa mgombea wa CHADEMA.
Tangu mfumo wa siasa wa vyama vingi kuanzishwa tumewaona wagombea walioleta kashi kashi za kutisha.Mwaka huu 2020 tumeanza kuona dalili mbaya kwa baadhi ya mikoa ambayo chaguzi za nyuma walikuwa wakiunga mkono CCM.Mkoa ya Rukwa,Sumbawanga,Katavi,Simiyu,Ruvuma,Lindi na Mtwara ni ngome ya CCM kwa muda mrefu lakini tumeshuhudia katika uchaguzi huu wananchi wa mikoa hiyo wakibadilika na hivyo kuiweka CCM katika wakati mgumu.
Mimi kanishangaza kila akienda sehemu upinzani unanguvu anawambia wananchi,

"msinichanganyie magunzi, ukichagua mpinzani sileti maendeleo"

Ndugu zangu JF members hivi Jiwe hiki kiburi anakitoa wapi wakat sisi wananchi ndio mabosi wake na ndio walipa kodi wa nchi hii?

Mbona kiburi hiki hatukukiona kwa JK, Mkapa RIP, Mzee Mwinyi na Mwl RIP?

Hivi Jiwe ni raia mwenzetu kweli? Yaani usipeleke maji na barabara Singida kwa Watanzania wenzako kisa wamemchagua mpinzani?
 
Kutegemea dola badala ya hoja, wameitumia police kuuwa upinzani imeback fire polisi wamechangia kuimarika kwa upinzani Hadi vijijini.
Lolote baya walilowatendea watz limerudi kwao mara 7.
.wamebandika mabango nchi nzima.
.wamezuia media zote
.wametumia wasanii wote
. wanatumia police
. wametumia time
.wametumia msajili
Lkn vyoote vimebuma.
Chama mfu Ni kile kinachobebwa na dola badala ya nguvu ya umma. Anaemiliki nguvu ya umma ndie anaemiliki dola.

Kuna clips ya Kikwete wakati huo ni Mwenyekiti na Rais wa JMT aliwaambia CCM hawezi kutumia police kujibu hoja za wapinzani.

Ni wajibu wa Kinana,Nape na Mawaziri kujibu hoja za wapinzani,utawala imekuwa ni kazi ya police,mahakama,TRA na Uhamiaji kujibu hoja kwa namna ya kutisha,kuadhibu,kupotezwa na kubambikiwa kesi za kutakatisha fedha.
 
Kuna Watawala 3 Duniani ambao sikuwahi kudhania wangetoka madarakani niliomba uhai niwashuhudie Wakitolewa Madarakani nao ni Sadam Hussein, Mobutu Sese Seko na Omar Al Bashir! Kweli nikashuhudia! Naamini nitashuhudia CCM ikitoka madarakani siku moja pia
 
Rukwa,Sumbawanga,Katavi,Simiyu,Ruvuma,Lindi na Mtwara ni ngome ya CCM kwa muda mrefu lakini tumeshuhudia katika uchaguzi huu wananchi wa mikoa hiyo wakibadilika na hivyo kuiweka CCM katika wakati mgumu.
Mkuu uchaguzi unafanyika 28/10/2020!!! Mabadiliko gani unazungumzia !!!
 
Wakuu heshima sana,

Kadri siku ya uchaguzi mkuu zinapokaribia nabaki najiuliza maswali kadhaa bila majibu.

Najaribu kutafakari ni eneo gani haswa CCM ilikosea ?.

Mosi,kununua wapinzani (wabunge,madiwani na viongozi wa vyama).Wananchi au ukipenda unaweza kuwaita wapiga kura hawapendi siasa za aina hiyo.
Ukinunua wabunge au madiwani yawezekana bado haujanunua wapiga kura au sababu za kuchagua upinzani bado zinakuwa pale pale !.

Pili,Style ya kutawala au kuongoza za utawala huu si rafiki au wapiga kura hawazipendi.Hivi siasa za kutumbua tumbua fukuza fukuza mara vyeti feki bado si jawabu la kupendwa ? !.Labda tuseme kulikuwa na uonevu,kukiuka sheria na taratibu za ajira au vyote kwa pamoja.

Tatu, Matumizi ya kupiliza ya vyombo vya habari kusifiwa na majivuno.TBC chini ya Dr Ryoba ilipitiliza kusifu kila jambo mara ndege,Reli,Vyeti feki lakini Makonda hausiki na ukaguzi.Barabara hata ya Kilometer 2 mtu atasifiwa kuanzia asubuhi hadi jioni kuanzia Jumatatu hadi Jumatatu nyingine ni mwendo wa kumsifu mtu mmoja ungefikiri kujenga Daraja au Kivuko ni hisani kumbe ni wajibu wake tena kazi yenyewe kaiomba kwa kampeni na ahadi luluki.

Nne,Unasema pekee yako miaka mitano wengine wakisema shida (Kesi,Vifungo,misukosuko....)Nauliza WaTanzania wamechoka na siasa za aina hii !.

Tano,Ujenzi wa Flyover Dar una faida zipi kwa mkaazi wa Dongobesh au Tarakea mkulima wa ndizi au mkulima wa Ngogwe Lushoto.Naamini kila eneo la nchi yetu lina mahitaji yake ya msingi kutokana na mazingira yake.

Sita,Watawala wetu walifika mahali wakajiona hapo walipo walifika wenyewe si wananchi /wapiga kura.Kauli zao maamuzi yao mengi yalilenga kuwanufaisha wao wenyewe eg kupitisha sheria za kuwajengea nyumba MaRais wastaafu,Sheria za mafao yao na matibabu yao zipo vizuri kweli kweli wakati wafanyakazi sheria za mafao yao kila mara wanatengenezewa sheria za kuwakandamiza eg sheria ya kujitoa na kikokoteo.Sheria za kinga ya kutoshitakiwa hata wakifanya makosa ya aina gani !.

Mwisho nadhani watawala hawakujiandaa kukumbana na uchaguzi wenye ushindani wa kiwango hiki tunachokiona sasa.Walifikiri kumnunua Silinde,Lijualikali,Nassari ...... watakuwa wamemaliza kila kitu sasa wamekutana na uungwaji mkono wa kiwango cha kutisha kutoka kwa mgombea wa CHADEMA.
Tangu mfumo wa siasa wa vyama vingi kuanzishwa tumewaona wagombea walioleta kashi kashi za kutisha.Mwaka huu 2020 tumeanza kuona dalili mbaya kwa baadhi ya mikoa ambayo chaguzi za nyuma walikuwa wakiunga mkono CCM.Mkoa ya Rukwa,Sumbawanga,Katavi,Simiyu,Ruvuma,Lindi na Mtwara ni ngome ya CCM kwa muda mrefu lakini tumeshuhudia katika uchaguzi huu wananchi wa mikoa hiyo wakibadilika na hivyo kuiweka CCM katika wakati mgumu.
Wewe tangu lini ukawa unafuatilia ya CCM? Endelea kula tende tu hapo Arusha, mwaka huu tunakwenda kuwatia adabu kwa majivuno yenu na njama ambazo mmekuwa mnataka kuzitumia kuchafua uhuru na haki za Watanzania. Huyo kibaraka wenu tutamrudisha fasta Belgium. Hao Belgium waliweza DRC (Congo) waambie Tanzania hawawezi sisi ndio Baba lao.
 
Wewe tangu lini ukawa unafuatilia ya CCM? Endelea kula tende tu hapo Arusha, mwaka huu tunakwenda kuwatia adabu kwa majivuno yenu na njama ambazo mmekuwa mnataka kuzitumia kuchafua uhuru na haki za Watanzania. Huyo kibaraka wenu tutamrudisha fasta Belgium. Hao Belgium waliweza DRC (Congo) waambie Tanzania hawawezi sisi ndio Baba lao.

Hoja nzito majibu mepesi,huu si uungwana unanikumbusha kipindi Mtangazaji maarufu nchini Kenya “Huu si ungwana”
 
Rejea kauli ya Zitto, "tumekabidhi nchi kwa washamba"

Watu wanaoamini wao ndio wametumwa na Mungu kutuokoa (nikiondoka sijui kama kuna mwingine ataweza kufanya haya)

Watu wanaoamini kuwa wao peke yao ndio wenye uchungu na nchi yetu (msiwasikilize hao wanaotumiwa na mabeberu)

Watu wanaoamini kuwa wanajua kila kitu hawaihataji kujifunza wala kushauriwa (wastaafu wanawashwa washwa)

Watu wanaoamini kuwa nguvu ndio suluhisho la kila tatizo (tutapeleka JKT wakabangue korosho hata kwa meno)

Watu wasiotaka mijadala wala kuhojiwa kuhusu matendo yao (mimi sipangiwi cha kufanaya)

Inshort CCM wametuletea mtu ambae hata wenyewe wameshindwa kumdhibiti, ndio katufikisha hapa
 
Majigambo, matusi, mbwembwe zote mwisho tarehe 28

Kuanzia tarehe 29 tukutane hapa kupeana pole na pongezi😁😁😁😁😁

Maendeleo hayana vyama
 
Team ya CCM ikiongozwa na Dr Bashitu imetepeta sana,Polepole hajui aseme nini na lipi la kunyamaza.

Mpaka leo Nadhani Polepole kafikisha press conference 50 ambazo hazina impact yoyote kwa wapiga kura zaidi ya kumfurahisha aliyemteua.
 
Wakuu heshima sana,

Kadri siku ya uchaguzi mkuu zinapokaribia nabaki najiuliza maswali kadhaa bila majibu.

Najaribu kutafakari ni eneo gani haswa CCM ilikosea ?.

Mosi,kununua wapinzani (wabunge,madiwani na viongozi wa vyama).Wananchi au ukipenda unaweza kuwaita wapiga kura hawapendi siasa za aina hiyo.
Ukinunua wabunge au madiwani yawezekana bado haujanunua wapiga kura au sababu za kuchagua upinzani bado zinakuwa pale pale !.

Pili,Style ya kutawala au kuongoza za utawala huu si rafiki au wapiga kura hawazipendi.Hivi siasa za kutumbua tumbua fukuza fukuza mara vyeti feki bado si jawabu la kupendwa ? !.Labda tuseme kulikuwa na uonevu,kukiuka sheria na taratibu za ajira au vyote kwa pamoja.

Tatu, Matumizi ya kupiliza ya vyombo vya habari kusifiwa na majivuno.TBC chini ya Dr Ryoba ilipitiliza kusifu kila jambo mara ndege,Reli,Vyeti feki lakini Makonda hausiki na ukaguzi.Barabara hata ya Kilometer 2 mtu atasifiwa kuanzia asubuhi hadi jioni kuanzia Jumatatu hadi Jumatatu nyingine ni mwendo wa kumsifu mtu mmoja ungefikiri kujenga Daraja au Kivuko ni hisani kumbe ni wajibu wake tena kazi yenyewe kaiomba kwa kampeni na ahadi luluki.

Nne,Unasema pekee yako miaka mitano wengine wakisema shida (Kesi,Vifungo,misukosuko....)Nauliza WaTanzania wamechoka na siasa za aina hii !.

Tano,Ujenzi wa Flyover Dar una faida zipi kwa mkaazi wa Dongobesh au Tarakea mkulima wa ndizi au mkulima wa Ngogwe Lushoto.Naamini kila eneo la nchi yetu lina mahitaji yake ya msingi kutokana na mazingira yake.

Sita,Watawala wetu walifika mahali wakajiona hapo walipo walifika wenyewe si wananchi /wapiga kura.Kauli zao maamuzi yao mengi yalilenga kuwanufaisha wao wenyewe eg kupitisha sheria za kuwajengea nyumba MaRais wastaafu,Sheria za mafao yao na matibabu yao zipo vizuri kweli kweli wakati wafanyakazi sheria za mafao yao kila mara wanatengenezewa sheria za kuwakandamiza eg sheria ya kujitoa na kikokoteo.Sheria za kinga ya kutoshitakiwa hata wakifanya makosa ya aina gani !.

Mwisho nadhani watawala hawakujiandaa kukumbana na uchaguzi wenye ushindani wa kiwango hiki tunachokiona sasa.Walifikiri kumnunua Silinde,Lijualikali,Nassari ...... watakuwa wamemaliza kila kitu sasa wamekutana na uungwaji mkono wa kiwango cha kutisha kutoka kwa mgombea wa CHADEMA.
Tangu mfumo wa siasa wa vyama vingi kuanzishwa tumewaona wagombea walioleta kashi kashi za kutisha.Mwaka huu 2020 tumeanza kuona dalili mbaya kwa baadhi ya mikoa ambayo chaguzi za nyuma walikuwa wakiunga mkono CCM.Mkoa ya Rukwa,Sumbawanga,Katavi,Simiyu,Ruvuma,Lindi na Mtwara ni ngome ya CCM kwa muda mrefu lakini tumeshuhudia katika uchaguzi huu wananchi wa mikoa hiyo wakibadilika na hivyo kuiweka CCM katika wakati mgumu.
IMG-20201018-WA0054.jpg
 
Mimi maoni yangu ni haya:
1: Uongozi unapoingia madarakani ni muhimu kutekeleza Sera ambazo chama kimekuandikia/kuandalia kinyume na hapo utaweka mawazo yako binafsi utapishana na kipaumbele cha wananchi
2:Uongozi ni utumishi wa watu siyo Mali binafsi
3: Maendeleo ya nchi ni mwendelezo wa Yale ambayo watangulizi wako waliweza
4:Wananchi ni Watu wenye akili timamu,mawazo,maono,fikra na matarajio,ukiwafanya kuwa kama watoto wasiojua lolote ni kosa
5:Uteuzi wa viongozi mbali mbali uzingatie vetting na sifa stahiki,ukichukua tu hotels ni rahisi kuharibu Taifa
6: Kupokea ushauri sahihi ni Jambo muhimu
7: Uongozi usichuliwe kama ni Alfa na omega,mtawala anaweza Fanya chochote kwa raia wake ni kosa
8:Katika uongozi Utu,haki,uhuru na faraja ni jambo muhimu
9: Matatizo ya nchi yatatuliwe kwa kufuata kipaumbele cha wananchi,mfano:Jengo zuri la Ofisi si Bora Kuliko maji kwa wananchi,mbolea kwa wakulima,madawa hospital nk.
10:Wananchi hujisikia fahari pale ambapo maswala makubwa yanapata majibu na serikali,mfano,mtu kapotea,kauawa,serikali isiposhirikiana na raia ni Rosario
11: Maamuzi ya raia ya heshimiwe,mfano utanunuaje wapinzani kwa hela nyingi wakati watu hawana barabara,hosipitali nk
Yangu ni hayo wengine wanaweza ongeza
 
Wakuu heshima sana,

Kadri siku ya uchaguzi mkuu zinapokaribia nabaki najiuliza maswali kadhaa bila majibu.

Najaribu kutafakari ni eneo gani haswa CCM ilikosea ?.

Mosi,kununua wapinzani (wabunge,madiwani na viongozi wa vyama).Wananchi au ukipenda unaweza kuwaita wapiga kura hawapendi siasa za aina hiyo.
Ukinunua wabunge au madiwani yawezekana bado haujanunua wapiga kura au sababu za kuchagua upinzani bado zinakuwa pale pale !.

Pili,Style ya kutawala au kuongoza za utawala huu si rafiki au wapiga kura hawazipendi.Hivi siasa za kutumbua tumbua fukuza fukuza mara vyeti feki bado si jawabu la kupendwa ? !.Labda tuseme kulikuwa na uonevu,kukiuka sheria na taratibu za ajira au vyote kwa pamoja.

Tatu, Matumizi ya kupiliza ya vyombo vya habari kusifiwa na majivuno.TBC chini ya Dr Ryoba ilipitiliza kusifu kila jambo mara ndege,Reli,Vyeti feki lakini Makonda hausiki na ukaguzi.Barabara hata ya Kilometer 2 mtu atasifiwa kuanzia asubuhi hadi jioni kuanzia Jumatatu hadi Jumatatu nyingine ni mwendo wa kumsifu mtu mmoja ungefikiri kujenga Daraja au Kivuko ni hisani kumbe ni wajibu wake tena kazi yenyewe kaiomba kwa kampeni na ahadi luluki.

Nne,Unasema pekee yako miaka mitano wengine wakisema shida (Kesi,Vifungo,misukosuko....)Nauliza WaTanzania wamechoka na siasa za aina hii !.

Tano,Ujenzi wa Flyover Dar una faida zipi kwa mkaazi wa Dongobesh au Tarakea mkulima wa ndizi au mkulima wa Ngogwe Lushoto.Naamini kila eneo la nchi yetu lina mahitaji yake ya msingi kutokana na mazingira yake.

Sita,Watawala wetu walifika mahali wakajiona hapo walipo walifika wenyewe si wananchi /wapiga kura.Kauli zao maamuzi yao mengi yalilenga kuwanufaisha wao wenyewe eg kupitisha sheria za kuwajengea nyumba MaRais wastaafu,Sheria za mafao yao na matibabu yao zipo vizuri kweli kweli wakati wafanyakazi sheria za mafao yao kila mara wanatengenezewa sheria za kuwakandamiza eg sheria ya kujitoa na kikokoteo.Sheria za kinga ya kutoshitakiwa hata wakifanya makosa ya aina gani !.

Mwisho nadhani watawala hawakujiandaa kukumbana na uchaguzi wenye ushindani wa kiwango hiki tunachokiona sasa.Walifikiri kumnunua Silinde,Lijualikali,Nassari ...... watakuwa wamemaliza kila kitu sasa wamekutana na uungwaji mkono wa kiwango cha kutisha kutoka kwa mgombea wa CHADEMA.
Tangu mfumo wa siasa wa vyama vingi kuanzishwa tumewaona wagombea walioleta kashi kashi za kutisha.Mwaka huu 2020 tumeanza kuona dalili mbaya kwa baadhi ya mikoa ambayo chaguzi za nyuma walikuwa wakiunga mkono CCM.Mkoa ya Rukwa,Sumbawanga,Katavi,Simiyu,Ruvuma,Lindi na Mtwara ni ngome ya CCM kwa muda mrefu lakini tumeshuhudia katika uchaguzi huu wananchi wa mikoa hiyo wakibadilika na hivyo kuiweka CCM katika wakati mgumu.

Huwezi kubadilisha Watanzania kwa kulazimisha. Haiwezekani na haitawesekana
 
Passive resistance...kwa mwenyekigoda.
Mjanja yeye, Bashite, Slowslow, na Kalamaganda, so wamewaachia wasomi na wajuvi zaidi waendelee.

Nileeeteeni.....................................
Nileteeeeeeni..........................................
Nileteeeeeeeeeeeeni...............................

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom