Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mi manara wangu una fanya vizuri, japo siku hizi sipendi ushike mitandao maana ni dhambi 😂😂🤣🤣🤣Aisee nilistuka nikasema Mr Dell what's up men!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi manara wangu una fanya vizuri, japo siku hizi sipendi ushike mitandao maana ni dhambi 😂😂🤣🤣🤣Aisee nilistuka nikasema Mr Dell what's up men!
Ali omba msamaha, Nita msikiliza sema mpaka Roho ya amani ini shukie 🤓Na kaongea kama Mtu anayeteseka sana, hapendi hiyo Hali..ila ndio yashamkuta...
🤣🤣Ali omba msamaha, Nita msikiliza sema mpaka Roho ya amani ini shukie 🤓
Mnara kushika ni jambo la Kimungu,usijali...sema usiloweke mnaraMi manara wangu una fanya vizuri, japo siku hizi sipendi ushike mitandao maana ni dhambi 😂😂
🤣😂😂, sawa sawa mtumishi 😀Mnara kushika ni jambo la Kimungu,usijali...sema usiloweke mnara
Archana Na wanaokubeza sema Ni kipi kinachokukosesha Amani everyone is a sinner haijalishi Ni Aina Gani ta sinMkuu mimi sina dharau,i am very humble guy…Ila pale mtu anaponionesha kejeli wakati i am serious on need of help napata tabu kidogo.
Ni mambo Gani hayo uliyoyafanya huko nyuma yanakutesa saiviNdio niliandika sikatai,nilikuwa natafuta njia ya kujitibu na sio kwamba nilikuwa najivunua
Njoo inbox nielezeee nikusaidieNdo nakuambia kama ni dua ni bora ufanye ambayo itanitoa katika hili janga na sio kuniangamiza…it wont help you!!
umeroga sana fira sana[emoji304][emoji304] #jokingHabarini za humu wadau,
Mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia.
Ulif.....Rwa...au .........ulifi....a.... hayo ndio mambo mazitoNaogopa hata kusema hapa, yananitesa sana
😁😁Ulif.....Rwa...au .........ulifi....a.... hayo ndio mambo mazito