Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 608
- Thread starter
- #321
Ndo hivyoHii meseji ni nzito....Mungu ajidhihirishe kwako, akupe haja ya Moyo wako,akuepushe na kikombe hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyoHii meseji ni nzito....Mungu ajidhihirishe kwako, akupe haja ya Moyo wako,akuepushe na kikombe hicho
Asee kumbe mchizi wali naziNahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Huyu dogo bhana[emoji1787]Sasa mbona kwenye comments ulianza kunicommentia vibaya kwa mlengo huo wa kimombasa halafu ghafla tu huyo upo inbox kwangu,sasa mimi nikueleweje kama sio mambo hayo
Na kwa kukusemea mbovu namuombea aendelee kushikishwa ukuta mpaka aharibikeSasa mbona ume kuja kuni chafua, kisa wema wangu ??.
Wewe angalia, sisi wengine tuna kauli nzuri ma mbaya, usije nichukia bure maishani mwako
Ahaaa sasa nimejua inawezekana huyu jamaa wahuni wamemfanya vitu ambavyo P diddy alikuwa anawafanya kina meek mill, mkuu me nakushauri kama unahisi kubadilika na kumpikea mungu usiwape wahuni tena kinyero chako, wahuni sio watu ofsa..OvaNahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Daa atakuwa kashaleft kiumeni nini?🙄Nahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Thanks..Hili NI shogaNahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Acha weeeeWe jamaa mnafiq sana….ulinifata inbox ukidhani kwamba ni yale mambo yenu ya mombasa ili upewe connection…Bahati mbaya sicho
Amina kwakweli...Hii meseji ni nzito....Mungu ajidhihirishe kwako, akupe haja ya Moyo wako,akuepushe na kikombe hicho
Na kaongea kama Mtu anayeteseka sana, hapendi hiyo Hali..ila ndio yashamkuta...Amina kwakweli...
Maana ana jambo zito kwakweli..
Wazee wa risiti na stakabadhi😆😆😆😆🤣🤣🤣Nahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
mambo gani yanakutesa ukikumbuka ni mapenzi ya jinsia moja au?Habarini za humu wadau,
Mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia.
Vipi nyeto au??Habarini za humu wadau,
Mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia.
Ila hajafunguka ndo shida..Na kaongea kama Mtu anayeteseka sana, hapendi hiyo Hali..ila ndio yashamkuta...