Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa.

Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa.

Huwezi toka na Mume au Mke wa Mtu alafu ukaleta mambo ya Haki za binadamu, sijui Sheria za serikali, sijui Mungu kasemaje, ndugu yàngu, utaumia, utasagika, utakandwa na kma haitoshi watakuua.

Ukiona Mtu umemuibia Mkewe ya Mumewe alafu kakuacha tuu usije ukadhani anabusara nyingi Sana, Jua NI Hana uwezo wa kukufanya chochote. NI Ile ya kumuachia Mungu tuu.

Lakini Mtu mwenye uwezo, mamlaka, nguvu Huwezi mfanyia Makosa ya namna hiyo alafu utegemee akuache salama. Utaumia ndugu yàngu.

Vijana lazima waambie ukweli na jamii ijulikane hivyo. Kuwa Yapo Makosa ukifanya lazima ukutane na Moto.

Jamii Zenye Sifa za kichawi au ushirikina mfano mbona inakua ngumu Mtu aende Pemba atoke na Mke au Mume WA Mtu, wengi tunajua nini kitatokea hata kama ni nadharia.

Unàtaka Haki z binadamu ufanyiwe Linda heshima yako, Linda heshima ya Watu Wengine full stop.

Ukitumia utashi wako kufanya uhalifu kuchukua wake au waume za Watu usilaumu hao utakaowachukulia Wakitumia utashi waô kukushughulikia.

Serikali haijui uchungu wa Mtu kuubiwa mume au Mke. Ndîo maana hata sheria Zake NI nyepesi.
Yàani Sheria za Ugoni.

Atleast Sheria za mîungu zîpo wazi Mtu akichukua Mke au Mume WA Mtu adhabu zake zote huwa na Kali, mpaka kuua Kabisa.

Hizô Asasi sijui mashirika ya kiraia huenda hazijui au hazina uzoefu WA kutendawa Makosa ya namna hiyo

Au Tuseme NI kizazi cha Làana, kizazi cha nyoka, kizazi cha Kataa Ndoa.

Wanawake wàpo wangapi mpaka ufuate Mke wa Mtu? Kama siô dharau, kiburi na Uhuni.

Hakika, Sisi Watibeli tunajua n kutambua Haki za waliooa na kuolewa, Haki za Mume na Haki za Mke. Hatutalaumu Mtu yeyote atakayetenda na kulipa kisasi cha aina yoyote Kwa Mtu àmbaye amemuibia Mke au Mume Kwa ku-cheat.

Hatutaki jamii za kionevu, dhulma, jamii ya zinaa.

Wanaume wàpo wangapi mpaka uende Kwa Mume WA Mtu bhana kama siô kiburi na dharau.

Viongozi wôte wakiwemo Marais, Mawaziri, Wakuu WA Vyombo vya Dola, viongozi wa Dini, matajiri najua ninyi mnaelewa nimeandika kitu gàni. Najua miongoni mwenu Hakuna hata Kiongozi mmoja àmbaye yupo tayari kuona Mkewe au Mumewe akiibiwa na najua wengi wenu maamuzi gàni huwa mnachukua.

Sasa nashauri ziwekwe Sheria za HAKI za Mahusiano ya wanandoa. Haiwezeniki Mtu akifumaniwa na Mtu Mwingine adhabu yake haieleweki. Huko ni kuhalalisha zinaa Kwa wanandoa na baadhi ya wanandoa kuonewa na kuumizwa, Wekeni Sheria Kali ili Watu wasione sababu ya kulipa Visasi vikali ili kuridhisha Nafsi zào.

MTU kama amechoka Ndoa aombe Talaka ili akafanye Kile anachotaka.

Nawajua mabinti wengi walioharibu Ndoa za Watu na kuacha Wake na Watoto waliokuwa ndoani kuumia na kuharibu future yao.

Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.

Iwekwe Sheria kuwa Kutoka na Mke au Mume WA Mtu NI jinai na adhabu yake íwe Kali angalau jela Miaka 30. Aliyetoka nje ya Ndoa na hiyo aliyetoka naye wôte wafungwe miaka 30.

Iwekwe Sheria, Ikiwa MTU ataomba talaka bila sababu ya msingi Kwa lengo la Kuoa au kuolewa na Mtu Mwingine ataacha Nusu ya Haki ya vile anavyomiliki (alichochuma)katika Ndoa ya Kwanza.

Itolewe Sheria kuwa, Ndoa ya Wake wengi NI ruhusa lakini lazima iwepo sehemu àmbayo Mke WA Kwanza ataweka saini na kuridhia. Yàani kukubali.

Lakini Sheria za kihuni, kitapeli, zisizoangalia maumivu ya Watu Wengine Kwa sababu labda siô jinsia yako, siô Dini au kabîlà lako, au Kisa hamfanani hiyo ni dhulma.

Ni jukumu la Mume kumshawishi Mkewe kama kûna ulazima WA kuongeza Mke Mwingine. Na Mke anahiyari ya kukubali au kukataa shauri Hilo Ikiwa Hana Imani na Àkili na Upendo WA Mumewe.

Yawepo Makubaliano tangu awali Ikiwa Mwanaume anampango wa Kuoa Wake wengi.

Hata hivyo aina ya Ndoa inayofungwa NI makubaliano tosha mfano Mwanamke yeyote àmbaye Kwa hiyari Yake alikubali kuolewa Kwa Ndoa ya Kimila au kiislam hakutakuwa na ulazima WA kumuuliza kuhusu kuoa Wake wengi kwani tayari Sheria na Kanuni za Mila za kiafrika na Dini ya kiislam zîpo wazi kuhusu suala Hilo.

Kwa Watibeli Mwanaume Hana ruhusa ya kuuliza Wala kuomba Kuoa Mke Mwingine Kwa Mkewe isipokuwa Mkewe ndiye mwenye hiyo HAKI ya kutaka kuongezewa Mke mwenza Ikiwa ataona kûna uhitaji.
Kama ilivyo Kwa Mwanaume WA kitibeli anayohaki ya kumruhusu Mkewe aolewe au Kulala na Mwanaume Mwingine Kutokana na sababu kuu Mbili, Mosi, Ugonjwa, kama Mwanaume ameumwa Kwa kipindi kirefu kinachozidi Miaka 10 anaweza kumruhusu Mkewe aidha aolewe na Mwanaume Mwingine au alale na Mwanaume Mwingine lakini huyo mwanaume hapaswi kuwa mume wa mtu.

Pili, Ugumba, Ikiwa Mwanaume ikabainika kuwa anaugumba úwe wa kuzaliwa au ugonjwa au ajali au Ugumba uliosababishwa na Jambo lolote. Atakuwa na ruhusa Kwa hiyari Yake kumruhusu Mkewe ambaye sio tasa yaani mwenye uwezo wa kuzaa akazae na Mtu Mwingine Ikiwa ameona Mkewe asiondoke Duniani Bila Mtoto Kwa sababu Yake. Au akaolewe na Mwanaume Mwingine.

Kwa Watibeli inaruhusiwa Mwanaume mgumba kuchagua Mwanaume Mwingine wa kumpatia uzao. Lakini hiyo íwe kimaandishi na íwe Kisheria.

Tukio la kugawa uzao litafanyika Mpaka pale Mimba itakapotungwa. Kisha Mwanaume aliyeiweka hiyo Mimba hataruhusiwa tena kuwa na uhûsiano na Mwanamke huyo. Wala kuwasiliana Kwa namna yoyote inayohusu mapenzi au Mtoto atakapozaliwa.

Itakuwa NI jinai Ikiwa Mwanaume aliyetoa uzao kujihusisha tena kimapenzi au kujihusisha na Mtoto.
Itakuwa pia ni jinai Kwa Mke ikiwa atajihusisha na Mwanaume aliyeombwa na Mumewe Kutoa uzao.

Mimi Acha nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa, Kibidula, Mafinga
 
NASISITIZA, YAPO MAKOSA UKIFANYA KAMA KUTOKA NA MUME AU MKE WA MTU UTAFANYIWA UHUNI AU UKATILI BILA KUJALI SHERIA ZÎPO AU HAZIPO. MBINGUNI AU DUNIANI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa.

Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa.

Huwezi toka na Mume au Mke wa Mtu alafu ukaleta mambo ya Haki za binadamu, sijui Sheria za serikali, sijui Mungu kasemaje, ndugu yàngu, utaumia, utasagika, utakandwa na kma haitoshi watakuua.

Ukiona Mtu umemuibia Mkewe ya Mumewe alafu kakuacha tuu usije ukadhani anabusara nyingi Sana, Jua NI Hana uwezo wa kukufanya chochote. NI Ile ya kumuachia Mungu tuu.

Lakini Mtu mwenye uwezo, mamlaka, nguvu Huwezi mfanyia Makosa ya namna hiyo alafu utegemee akuache salama. Utaumia ndugu yàngu.

Vijana lazima waambie ukweli na jamii ijulikane hivyo. Kuwa Yapo Makosa ukifanya lazima ukutane na Moto.

Jamii Zenye Sifa za kichawi au ushirikina mfano mbona inakua ngumu Mtu aende Pemba atoke na Mke au Mume WA Mtu, wengi tunajua nini kitatokea hata kama ni nadharia.

Unàtaka Haki z binadamu ufanyiwe Linda heshima yako, Linda heshima ya Watu Wengine full stop.

Ukitumia utashi wako kufanya uhalifu kuchukua wake au waume za Watu usilaumu hao utakaowachukulia Wakitumia utashi waô kukushughulikia.

Serikali haijui uchungu wa Mtu kuubiwa mume au Mke. Ndîo maana hata sheria Zake NI nyepesi.
Yàani Sheria za Ugoni.

Atleast Sheria za mîungu zîpo wazi Mtu akichukua Mke au Mume WA Mtu adhabu zake zote huwa na Kali, mpaka kuua Kabisa.

Hizô Asasi sijui mashirika ya kiraia huenda hazijui au hazina uzoefu WA kutendawa Makosa ya namna hiyo

Au Tuseme NI kizazi cha Làana, kizazi cha nyoka, kizazi cha Kataa Ndoa.

Wanawake wàpo wangapi mpaka ufuate Mke wa Mtu? Kama siô dharau, kiburi na Uhuni.
Madanguro yapo kibao ya kununua makahaba, Huko telegram wapo Malaya kibao why Utoke na Mke WA Mtu.
Hakika, Sisi Watibeli tunajua n kutambua Haki za waliooa na kuolewa, Haki za Mume na Haki za Mke. Hatutalaumu Mtu yeyote atakayetenda na kulipa kisasi cha aina yoyote Kwa Mtu àmbaye amemuibia Mke au Mume Kwa ku-cheat.

Hatutaki jamii za kionevu, dhulma, jamii ya zinaa.

Wanaume wàpo wangapi mpaka uende Kwa Mume WA Mtu bhana kama siô kiburi na dharau.

Viongozi wôte wakiwemo Marais, Mawaziri, Wakuu WA Vyombo vya Dola, viongozi wa Dini, matajiri najua ninyi mnaelewa nimeandika kitu gàni.
Najua miongoni mwenu Hakuna hata Kiongozi mmoja àmbaye yupo tayari kuona Mkewe au Mumewe akiibiwa na najua wengi wenu maamuzi gàni huwa mnachukua.

Sasa nashauri ziwekwe Sheria za HAKI za Mahusiano ya wanandoa.
Haiwezeniki Mtu akifumaniwa na Mtu Mwingine adhabu yake haieleweki. Huko ni kuhalalisha zinaa Kwa wanandoa na baadhi ya wanandoa kuonewa na kuumizwa
Wekeni Sheria Kali ili Watu wasione sababu ya kulipa Visasi vikali ili kuridhisha Nafsi zào.

MTU kama amechoka Ndoa aombe Talaka ili akafanye Kile anachotaka.

Nawajua mabinti wengi walioharibu Ndoa za Watu na kuacha Wake na Watoto waliokuwa ndoani kuumia na kuharibu future yao.

Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.

Iwekwe Sheria kuwa Kutoka na Mke au Mume WA Mtu NI jinai na adhabu yake íwe Kali angalau jela Miaka 30.
Aliyetoka nje ya Ndoa na hiyo aliyetoka naye wôte wafungwe miaka 30.

Iwekwe Sheria, Ikiwa MTU ataomba talaka bila sababu ya msingi Kwa lengo la Kuoa au kuolewa na Mtu Mwingine ataacha Nusu ya Haki ya vile anavyomiliki (alichochuma)katika Ndoa ya Kwanza.

Itolewe Sheria kuwa, Ndoa ya Wake wengi NI ruhusa lakini lazima iwepo sehemu àmbayo Mke WA Kwanza ataweka saini na kuridhia. Yàani kukubali.

Lakini Sheria za kihuni, kitapeli, zisizoangalia maumivu ya Watu Wengine Kwa sababu labda siô jinsia yako, siô Dini au kabîlà lako, au Kisa hamfanani hiyo ni dhulma.

Ni jukumu la Mume kumshawishi Mkewe kama kûna ulazima WA kuongeza Mke Mwingine. Na Mke anahiyari ya kukubali au kukataa shauri Hilo Ikiwa Hana Imani na Àkili na Upendo WA Mumewe.

Yawepo Makubaliano tangu awali Ikiwa Mwanaume anampango wa Kuoa Wake wengi.

Hata hivyo aina ya Ndoa inayofungwa NI makubaliano tosha mfano Mwanamke yeyote àmbaye Kwa hiyari Yake alikubali kuolewa Kwa Ndoa ya Kimila au kiislam hakutakuwa na ulazima WA kumuuliza kuhusu kuoa Wake wengi kwani tayari Sheria na Kanuni za Mila za kiafrika na Dini ya kiislam zîpo wazi kuhusu suala Hilo.

Kwa Watibeli Mwanaume Hana ruhusa ya kuuliza Wala kuomba Kuoa Mke Mwingine Kwa Mkewe isipokuwa Mkewe ndiye mwenye hiyo HAKI ya kutaka kuongezewa Mke mwenza Ikiwa ataona kûna uhitaji.
Kama ilivyo Kwa Mwanaume WA kitibeli anayohaki ya kumruhusu Mkewe aolewe au Kulala na Mwanaume Mwingine Kutokana na sababu kuu Mbili, Mosi, Ugonjwa, kama Mwanaume ameumwa Kwa kipindi kirefu kinachozidi Miaka 10 anaweza kumruhusu Mkewe aidha aolewe na Mwanaume Mwingine au alale na Mwanaume Mwingine lakini huyo mwanaume hapaswi kuwa mume wa mtu.

Pili, Ugumba, Ikiwa Mwanaume ikabainika kuwa anaugumba úwe wa kuzaliwa au ugonjwa au ajali au Ugumba uliosababishwa na Jambo lolote. Atakuwa na ruhusa Kwa hiyari Yake kumruhusu Mkewe ambaye sio tasa yaani mwenye uwezo wa kuzaa akazae na Mtu Mwingine Ikiwa ameona Mkewe asiondoke Duniani Bila Mtoto Kwa sababu Yake. Au akaolewe na Mwanaume Mwingine.

Kwa Watibeli inaruhusiwa Mwanaume mgumba kuchagua Mwanaume Mwingine wa kumpatia uzao. Lakini hiyo íwe kimaandishi na íwe Kisheria.

Tukio la kugawa uzao litafanyika Mpaka pale Mimba itakapotungwa. Kisha Mwanaume aliyeiweka hiyo Mimba hataruhusiwa tena kuwa na uhûsiano na Mwanamke huyo. Wala kuwasiliana Kwa namna yoyote inayohusu mapenzi au Mtoto atakapozaliwa.

Itakuwa NI jinai Ikiwa Mwanaume aliyetoa uzao kujihusisha tena kimapenzi au kujihusisha na Mtoto.
Itakuwa pia ni jinai Kwa Mke ikiwa atajihusisha na Mwanaume aliyeombwa na Mumewe Kutoa uzao.

Mimi Acha nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa, Kibidula, Mafinga
Umenotice Masanja sauti yake imebadilika sana baada ya kugongewa? Ina mikwaruzo flani hivi kooni. Inaonekana jamaa faraghani huwa anajifungia na kulia sana. Akiwa hadharani analazimisha kuchangamka na bashasha lakini sisi wazee wa saikolojia.
 
Sijasoma kabisa ila nimejikita kwenye title na ndio nitatumia kucomment ni hivi hakuna mme wa mtu Kuna mke wa mtu pekee
Ndio maana mwanaume anakuwa na mke zaidi ya mmoja ila mwanamke huwa na mme mmoja.

Unatumia Sheria au Kanuni Ipi kusema Hakuna Mume WA Mtu?
Je maonî yako Binafsi?
Je NI Imani yako binafsi?
Je NI Mila na desturi za kabîlà lako?
Au Dini yako?

Au je unatumia Kigezo cha Upendo na HAKI kuzungumza ulichozungumza?
 
Umenotice Masanja sauti yake imebadilika sana baada ya kugongewa? Ina mikwaruzo flani hivi kooni. Inaonekana jamaa faraghani huwa anajifungia na kulia sana. Akiwa hadharani analazimisha kuchangamka na bashasha lakini sisi wazee wa saikolojia.

Wahubiri Karibu wôte sauti zào zingamikwaruzo.
 
Ila baada ya hapo kuna gharama utabidi uzilipie .

Mfano yule jamaa comedians

Yupo guilty and shame 24/7
Huduma yake imeshuka
Hasikilizwi amepoteza reputation

You can't sacrifice /kill someone for ur life there's karma debt has to be paid.

Kwenye suala la HAKI kuua NI Mojawapo na yapo Makosa ukifanya utauawa tuu Kwa wanaopenda Haki.
Kwèñye UPENDO kuua siô priority Bali Msamaha

Hakuna Mtu atakayejuta kumjua Mtu aliyetoka na Mke au Mumewe hiyo Mtu HAYUPO.
 
NASISITIZA, YAPO MAKOSA UKIFANYA KAMA KUTOKA NA MUME AU MKE WA MTU UTAFANYIWA UHUNI AU UKATILI BILA KUJALI SHERIA ZÎPO AU HAZIPO. MBINGUNI AU DUNIANI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa.

Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa.

Huwezi toka na Mume au Mke wa Mtu alafu ukaleta mambo ya Haki za binadamu, sijui Sheria za serikali, sijui Mungu kasemaje, ndugu yàngu, utaumia, utasagika, utakandwa na kma haitoshi watakuua.

Ukiona Mtu umemuibia Mkewe ya Mumewe alafu kakuacha tuu usije ukadhani anabusara nyingi Sana, Jua NI Hana uwezo wa kukufanya chochote. NI Ile ya kumuachia Mungu tuu.

Lakini Mtu mwenye uwezo, mamlaka, nguvu Huwezi mfanyia Makosa ya namna hiyo alafu utegemee akuache salama. Utaumia ndugu yàngu.

Vijana lazima waambie ukweli na jamii ijulikane hivyo. Kuwa Yapo Makosa ukifanya lazima ukutane na Moto.

Jamii Zenye Sifa za kichawi au ushirikina mfano mbona inakua ngumu Mtu aende Pemba atoke na Mke au Mume WA Mtu, wengi tunajua nini kitatokea hata kama ni nadharia.

Unàtaka Haki z binadamu ufanyiwe Linda heshima yako, Linda heshima ya Watu Wengine full stop.

Ukitumia utashi wako kufanya uhalifu kuchukua wake au waume za Watu usilaumu hao utakaowachukulia Wakitumia utashi waô kukushughulikia.

Serikali haijui uchungu wa Mtu kuubiwa mume au Mke. Ndîo maana hata sheria Zake NI nyepesi.
Yàani Sheria za Ugoni.

Atleast Sheria za mîungu zîpo wazi Mtu akichukua Mke au Mume WA Mtu adhabu zake zote huwa na Kali, mpaka kuua Kabisa.

Hizô Asasi sijui mashirika ya kiraia huenda hazijui au hazina uzoefu WA kutendawa Makosa ya namna hiyo

Au Tuseme NI kizazi cha Làana, kizazi cha nyoka, kizazi cha Kataa Ndoa.

Wanawake wàpo wangapi mpaka ufuate Mke wa Mtu? Kama siô dharau, kiburi na Uhuni.
Madanguro yapo kibao ya kununua makahaba, Huko telegram wapo Malaya kibao why Utoke na Mke WA Mtu.
Hakika, Sisi Watibeli tunajua n kutambua Haki za waliooa na kuolewa, Haki za Mume na Haki za Mke. Hatutalaumu Mtu yeyote atakayetenda na kulipa kisasi cha aina yoyote Kwa Mtu àmbaye amemuibia Mke au Mume Kwa ku-cheat.

Hatutaki jamii za kionevu, dhulma, jamii ya zinaa.

Wanaume wàpo wangapi mpaka uende Kwa Mume WA Mtu bhana kama siô kiburi na dharau.

Viongozi wôte wakiwemo Marais, Mawaziri, Wakuu WA Vyombo vya Dola, viongozi wa Dini, matajiri najua ninyi mnaelewa nimeandika kitu gàni.
Najua miongoni mwenu Hakuna hata Kiongozi mmoja àmbaye yupo tayari kuona Mkewe au Mumewe akiibiwa na najua wengi wenu maamuzi gàni huwa mnachukua.

Sasa nashauri ziwekwe Sheria za HAKI za Mahusiano ya wanandoa.
Haiwezeniki Mtu akifumaniwa na Mtu Mwingine adhabu yake haieleweki. Huko ni kuhalalisha zinaa Kwa wanandoa na baadhi ya wanandoa kuonewa na kuumizwa
Wekeni Sheria Kali ili Watu wasione sababu ya kulipa Visasi vikali ili kuridhisha Nafsi zào.

MTU kama amechoka Ndoa aombe Talaka ili akafanye Kile anachotaka.

Nawajua mabinti wengi walioharibu Ndoa za Watu na kuacha Wake na Watoto waliokuwa ndoani kuumia na kuharibu future yao.

Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.

Iwekwe Sheria kuwa Kutoka na Mke au Mume WA Mtu NI jinai na adhabu yake íwe Kali angalau jela Miaka 30.
Aliyetoka nje ya Ndoa na hiyo aliyetoka naye wôte wafungwe miaka 30.

Iwekwe Sheria, Ikiwa MTU ataomba talaka bila sababu ya msingi Kwa lengo la Kuoa au kuolewa na Mtu Mwingine ataacha Nusu ya Haki ya vile anavyomiliki (alichochuma)katika Ndoa ya Kwanza.

Itolewe Sheria kuwa, Ndoa ya Wake wengi NI ruhusa lakini lazima iwepo sehemu àmbayo Mke WA Kwanza ataweka saini na kuridhia. Yàani kukubali.

Lakini Sheria za kihuni, kitapeli, zisizoangalia maumivu ya Watu Wengine Kwa sababu labda siô jinsia yako, siô Dini au kabîlà lako, au Kisa hamfanani hiyo ni dhulma.

Ni jukumu la Mume kumshawishi Mkewe kama kûna ulazima WA kuongeza Mke Mwingine. Na Mke anahiyari ya kukubali au kukataa shauri Hilo Ikiwa Hana Imani na Àkili na Upendo WA Mumewe.

Yawepo Makubaliano tangu awali Ikiwa Mwanaume anampango wa Kuoa Wake wengi.

Hata hivyo aina ya Ndoa inayofungwa NI makubaliano tosha mfano Mwanamke yeyote àmbaye Kwa hiyari Yake alikubali kuolewa Kwa Ndoa ya Kimila au kiislam hakutakuwa na ulazima WA kumuuliza kuhusu kuoa Wake wengi kwani tayari Sheria na Kanuni za Mila za kiafrika na Dini ya kiislam zîpo wazi kuhusu suala Hilo.

Kwa Watibeli Mwanaume Hana ruhusa ya kuuliza Wala kuomba Kuoa Mke Mwingine Kwa Mkewe isipokuwa Mkewe ndiye mwenye hiyo HAKI ya kutaka kuongezewa Mke mwenza Ikiwa ataona kûna uhitaji.
Kama ilivyo Kwa Mwanaume WA kitibeli anayohaki ya kumruhusu Mkewe aolewe au Kulala na Mwanaume Mwingine Kutokana na sababu kuu Mbili, Mosi, Ugonjwa, kama Mwanaume ameumwa Kwa kipindi kirefu kinachozidi Miaka 10 anaweza kumruhusu Mkewe aidha aolewe na Mwanaume Mwingine au alale na Mwanaume Mwingine lakini huyo mwanaume hapaswi kuwa mume wa mtu.

Pili, Ugumba, Ikiwa Mwanaume ikabainika kuwa anaugumba úwe wa kuzaliwa au ugonjwa au ajali au Ugumba uliosababishwa na Jambo lolote. Atakuwa na ruhusa Kwa hiyari Yake kumruhusu Mkewe ambaye sio tasa yaani mwenye uwezo wa kuzaa akazae na Mtu Mwingine Ikiwa ameona Mkewe asiondoke Duniani Bila Mtoto Kwa sababu Yake. Au akaolewe na Mwanaume Mwingine.

Kwa Watibeli inaruhusiwa Mwanaume mgumba kuchagua Mwanaume Mwingine wa kumpatia uzao. Lakini hiyo íwe kimaandishi na íwe Kisheria.

Tukio la kugawa uzao litafanyika Mpaka pale Mimba itakapotungwa. Kisha Mwanaume aliyeiweka hiyo Mimba hataruhusiwa tena kuwa na uhûsiano na Mwanamke huyo. Wala kuwasiliana Kwa namna yoyote inayohusu mapenzi au Mtoto atakapozaliwa.

Itakuwa NI jinai Ikiwa Mwanaume aliyetoa uzao kujihusisha tena kimapenzi au kujihusisha na Mtoto.
Itakuwa pia ni jinai Kwa Mke ikiwa atajihusisha na Mwanaume aliyeombwa na Mumewe Kutoa uzao.

Mimi Acha nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa, Kibidula, Mafinga
Wanaume hatukuumbwa kwaajili ya wanawake bali mwanamke aliumbwa kwaajili yetu. Hivyo kuna mke wa mtu na hakuna mume wa mtu.
 
Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.
Hapa umenigusa maana ndio kinachoendelea kwenye familia nnayoifahamu

Baba kapata kibinti, kasahau familia hampendi tena mke wake na kaondoka baada ya migogoro kuwa mingi tangu awe na hiko kisichana

Sasa hivi kaacha kuprovide mahitaji yoyote kwenye familia yake na anao watoto anaosomesha, ada analipa kwa wasi wasi sana watoto wanatia huruma, tofauti na ilivyokua hapo mwanzo

Kiufupi jamaa ndio anaua familia yake hivi hivi tunaona.
 
Umenotice Masanja sauti yake imebadilika sana baada ya kugongewa? Ina mikwaruzo flani hivi kooni. Inaonekana jamaa faraghani huwa anajifungia na kulia sana. Akiwa hadharani analazimisha kuchangamka na bashasha lakini sisi wazee wa saikolojia.
Kama ni kweli
Alishasahau mkuu
Kitambo sana
 
A person who thought of someone else while being in a relationship with you had stopped loving you that very moment. Just say it’s over and move on..
How uanze kupata criminal case utese watoto? Ni kwamba hujiamini na huwezi kupata mwenzi mwingine aliye sahihi?
 
Back
Top Bottom