Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Nimekuta na mkeo ambaye wewe unamjua kwa jina Rahel Filbert Mtibeli mnayeishi nae huko Bunju, halafu kwangu mimi akajitambulisha kama Tausi Madilisha Kigoda kutoka vikindu na hana mume wala hawara... nimeingiza verse akakubali chap akaanza na kuniita mume hapo hapo...

Kwa hiyo hapo unaniambia kabla sijaanza kufanya chochote anipe kitambulisho chake cha Nida hili nihakikishe kama kweli jina lake ni Rahel, na pia nitafute watu wanaomfahamu hili wanithibitiishie kama kweli anaishi vikindu na hajaolewa si ndio???.. halafu siku ukija kuniona naye kwa akili yako utaniuliza kwa nini siku fanya yote hayo kujiridhisha na wasifu wake?

Jamaa una akili za kipuuzi sana... na tena ukikutana na wakulungwa waliojizatiti utafanyiwa huo ukatili wewe mbele ya huyo mke wako.
Mkuu hii nchi ina wendawazimu, wajinga na washamba wengi sana ndio maana inakuwa vigumu kupiga hatua za kiujumla za maendeleo. Na watu aina ya mtoa mada ndio wanaoongoza hadi taasisi zetu muhumu kama huyo afande aliyewatuma vijana waovu, ni huzuni sana.
 
Nimekuta na mkeo ambaye wewe unamjua kwa jina Rahel Filbert Mtibeli mnayeishi nae huko Bunju, halafu kwangu mimi akajitambulisha kama Tausi Madilisha Kigoda kutoka vikindu na hana mume wala hawara... nimeingiza verse akakubali chap akaanza na kuniita mume hapo hapo...

Kwa hiyo hapo unaniambia kabla sijaanza kufanya chochote anipe kitambulisho chake cha Nida hili nihakikishe kama kweli jina lake ni Rahel, na pia nitafute watu wanaomfahamu hili wanithibitiishie kama kweli anaishi vikindu na hajaolewa si ndio???.. halafu siku ukija kuniona naye kwa akili yako utaniuliza kwa nini siku fanya yote hayo kujiridhisha na wasifu wake?

Jamaa una akili za kipuuzi sana... na tena ukikutana na wakulungwa waliojizatiti utafanyiwa huo ukatili wewe mbele ya huyo mke wako.

Umemkuta akijiuza?
Ulimkuta kwèñye Club au kasino au danguro?

Sasa mwenye Mke nikija, ukanipa maelezo hayo yasiyo na kichwa Wala miguu.
Nitakuambia Mimi ndiye Mumewe Hilo la madilisha kigoda àmbalo NI jina la uongo alilokudanganya Mke wàngu mpka ukamlala.

Adhabu yako utafirimbwa mpaka Hasira zangu nitakapoona zimetulia Kisha nitakupa jina lilelile ulilodanganywa na Mke wàngu. Utaitwa madilisha kigoda na kîla nikikutana na wéwe ñdilo jina nitakalotumia kama sehemu ya kumbukumbu ya kilichotukutanisha
 
Mkuu kuna ile kasumba ya mtu akishamweka mke ndani anaanza kumchukulia wakawaida , kwamba si ipo tu , nakuambia kuna vijana huyo unaemwona wakawaida wanamwinda kama swala porini.

Mke aombe Talaka.

NI Sawa na Mwanaume ati awe anacheat Kisa ananyimwa uroda na Mkewe hizô NI Akili au matope.

Talaka Ipo Kisheria

Ku-cheat ndàni ya Ndoa NI Sawa na kutaka kupindua serikali iliyopo madarakani.
 
Wa JF hacheni Wayne na wake za watu , muta fanyiwa kitu mbaya
 
Mkuu hii nchi ina wendawazimu, wajinga na washamba wengi sana ndio maana inakuwa vigumu kupiga hatua za kiujumla za maendeleo. Na watu aina ya mtoa mada ndio wanaoongoza hadi taasisi zetu muhumu kama huyo afande aliyewatuma vijana waovu, ni huzuni sana.

Kama nchi yetu inaongozwa na Watu aina yàngu Basi NI nchi yenye Bahati kûbwa.

Wewe na wenzako Hamieni hizô nchi Ambazo watawaruhusu kuchukua wake au waume za Wengine alafu Sheria isiwalinde na kuwatetea mliowafanya huo uhuni
 
Mbona Biden na Elon kila siku wanatukunwa matusi makubwa zaidi ya haya na hakuna kita wanawafanya hao watu? Kuna mtu ana nguvu na pesa kuliko Biden na Elon Musk dunia hii?? Watu wenye mambo ya maana, makubwa na interesting life huwa hawashughulikagi na petty issues kama hizo unazoleta hapa.
Wewe tatizo lako ni ushamba, ujima pamoja na kukosa exposure ya nje ya kijiji chako.

Unazungumzia Watu weñye mtazamo wa kishoga kuwa sehemu ya mifano yako. Civilized mnamambo Sana.

Exposure ndio hiyohiyo Civilized?
 
Mke aombe Talaka.

NI Sawa na Mwanaume ati awe anacheat Kisa ananyimwa uroda na Mkewe hizô NI Akili au matope.

Talaka Ipo Kisheria

Ku-cheat ndàni ya Ndoa NI Sawa na kutaka kupindua serikali iliyopo madarakani.
Serikali legelege lazima ipinduliwe😁
 
Umemkuta akijiuza?
Ulimkuta kwèñye Club au kasino au danguro?

Sasa mwenye Mke nikija, ukanipa maelezo hayo yasiyo na kichwa Wala miguu.
Nitakuambia Mimi ndiye Mumewe Hilo la madilisha kigoda àmbalo NI jina la uongo alilokudanganya Mke wàngu mpka ukamlala.

Adhabu yako utafirimbwa mpaka Hasira zangu nitakapoona zimetulia Kisha nitakupa jina lilelile ulilodanganywa na Mke wàngu. Utaitwa madilisha kigoda na kîla nikikutana na wéwe ñdilo jina nitakalotumia kama sehemu ya kumbukumbu ya kilichotukutanisha
Hivi unajua wanaume msiotumia akili kama wewe huwa ndio mnafanyiwa hilo unalolisema hapo nyau wewe?
Kwamba unafikiri ni rahisi rahisi kumfanyia hivyo mwanaume mwenzio wakati kosa limeanzia kwako kwa kuoa kahaba eeh??
 
Hivi unajua wanaume msiotumia akili kama wewe huwa ndio mnafanyiwa hilo unalolisema hapo nyau wewe?
Kwamba unafikiri ni rahisi rahisi kumfanyia hivyo mwanaume mwenzio wakati kosa limeanzia kwako kwa kuoa kahaba eeh??

Kahaba àmbaye hujamkuta akijiuza siô?
Ndîo nikakujibu kuwa endelea Kutoka na Wake za Watu ukijianganya ni Makahaba.

Alafu Siku ikifika utaona huyo mwenye huyo Mke atakufanyaje.
 
Yaani uue mtu kisa kagonga mkeo..Huo ni utovu wa akili, ni matatizo ya akili. HAMNA AKILI HAPO NI ujinga. Ndo maana wazee walisema kitanda hakizai haramu.
Yaani uue mtu kisa mwanamke ambaye umemkuta mtu mzima na mambo yake, sio mwanao kusema ulimlea na sio mama yako kusema akiondoka hupati mwingine???
Hizo ni ishara za umaskini..mtu anaanza kuwaza anaanzaje kujenga nyumba, mali n.k. kama wakiachana..akiina hawezi kustahimili kutengana hasira zake za kipumbavu anazihamishia kwa mwanaume mwenzake.
Mwanaume yoyote atakaye ua kisa mtu katongoza mke wake naye akakubali kwa ridhaa yake basi huyo mwanaume bado kijana SIO Mwanaume halisi...
 
Mkuu hii nchi ina wendawazimu, wajinga na washamba wengi sana ndio maana inakuwa vigumu kupiga hatua za kiujumla za maendeleo. Na watu aina ya mtoa mada ndio wanaoongoza hadi taasisi zetu muhumu kama huyo afande aliyewatuma vijana waovu, ni huzuni sana.
Kabisa kaka, kwa mtu yeyote mwenye akili hawezi kuanza kukimbizana na mambo ya ugoni eti sijui anatumia gharama kumkomesha mgoni wake, ilihali huyo mke wake ni mtu mzima na alivua nguo mwenyewe bila kushurutishwa na mtu akijua kwamba anachofanya ni chukizo kwa mumewe.

Aina ya watu kama huyu jamaa kweli ndio wamejaa kwenye sehemu nyingi muhimu za kufanya maamuzi, na ndio maana hii nchi hii ni kawaida sana kuona kauli na maamuzi ya ajabu ajabu kutoka kwa viongozi..mfano mzuri ni huyo afande uliyemtaja na yule mwenzie aliyetumbuliwa huko dodoma.
 
Back
Top Bottom