Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Mwanamke ni mtu mwenye maamuzi yake binafsi, ukiona katoka nnje jua kuna namna mwanaume wake ana mapungufu makubwa juu yake.

Hata ukitoa adhabu ya namna gani haitaficha ukwel kwamba kuna mahali huyo mke haumtoshi.
Wanachukulia wanawake ni kama mafushi hatuna akili. Ukiona mke au mume wako anachepuka deal naye maana ukifanya ujinga utaharibu maisha yako pia.
 
Siwezi kutumia nguvu zangu kwa kufanya ujinga kama wa huyo askari. Tulikutana mjini tunaachana tu kiroho safi. Sina hati miliki ya binadamu .
Nina mambo mengi tu ya kufanya na kunipa furaha.

Úkiwa na Ñguvu huwezi fikiria namna yako.
Wengi weñye mitazamo kama yako ni wanyonge, Hawana Ñguvu zozote zaidi ya Ñguvu kidôgo za kupumua na kuishi.
Sasa kwa nini uingie kwèñye battle ilhali unajua umnyonge.

Moja ya dalili kuwa unanguvu NI kutokukubali kudharauliwa, kuonewa, kudhulumiwa.

Ndîo maana wewe Mtu anaweza kukuita Mbwa au msagaji ukamuachwa. Lakini Huwezi muita Rais, Waziri, au mwenye Pesa au Ñguvu ya kichawi, au Ñguvu yoyote alafu akakuacha hivhivi.

Kwani wakiacha wanaowatukana watakosa nini au wakiwashughulikia watapata nini? Hilo utajiuliza.

Siku ukiwa na Ñguvu utajua wanapata nini.
Umesema furaha, Basi elewa ukiwa na Ñguvu furaha yako itakuwa kuona unaheshimiwa wewe na familia yako, Watoto wako, na Mali zako.
 
Nakubaliana kabisa na Mtibeli... Yote aliyoyaeleza unaweza kuyapata kwenye biblia kitabu cha Mithali 16: 20-35. Hapa utapata onyo la waasherati wanaotembea na wake za watu.
Nikitoa mstari mmoja wa 28... Je waweza kukanyaga makaa ya moto na nyayo zako zisiungue? Malizia mwenyewe mistari inayofuata
 
Wanachukulia wanawake ni kama mafushi hatuna akili. Ukiona mke au mume wako anachepuka deal naye maana ukifanya ujinga utaharibu maisha yako pia.
Mwanamke sio mjinga atoke nnje, kuna namna tu itakuta mume wake kapelea , hasa kwa wale wanaume wasio karibu na kuwa free kwa wake zao ni ngumu Mwanamke amwambie ukweli.
 
Hizi habari za kuhongeana wake zimewapeleka wanaume wengi Sana makaburini.

Kuna watu akikuta na mkewe ujue ndo umeisha.Jamani wanaume tuacheni kbsa kutembea na wake za wenzetu kwa sababu Ni hatari sana
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa.

Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa.

Huwezi toka na Mume au Mke wa Mtu alafu ukaleta mambo ya Haki za binadamu, sijui Sheria za serikali, sijui Mungu kasemaje, ndugu yàngu, utaumia, utasagika, utakandwa na kma haitoshi watakuua.

Ukiona Mtu umemuibia Mkewe ya Mumewe alafu kakuacha tuu usije ukadhani anabusara nyingi Sana, Jua NI Hana uwezo wa kukufanya chochote. NI Ile ya kumuachia Mungu tuu.

Lakini Mtu mwenye uwezo, mamlaka, nguvu Huwezi mfanyia Makosa ya namna hiyo alafu utegemee akuache salama. Utaumia ndugu yàngu.

Vijana lazima waambie ukweli na jamii ijulikane hivyo. Kuwa Yapo Makosa ukifanya lazima ukutane na Moto.

Jamii Zenye Sifa za kichawi au ushirikina mfano mbona inakua ngumu Mtu aende Pemba atoke na Mke au Mume WA Mtu, wengi tunajua nini kitatokea hata kama ni nadharia.

Unàtaka Haki z binadamu ufanyiwe Linda heshima yako, Linda heshima ya Watu Wengine full stop.

Ukitumia utashi wako kufanya uhalifu kuchukua wake au waume za Watu usilaumu hao utakaowachukulia Wakitumia utashi waô kukushughulikia.

Serikali haijui uchungu wa Mtu kuubiwa mume au Mke. Ndîo maana hata sheria Zake NI nyepesi.
Yàani Sheria za Ugoni.

Atleast Sheria za mîungu zîpo wazi Mtu akichukua Mke au Mume WA Mtu adhabu zake zote huwa na Kali, mpaka kuua Kabisa.

Hizô Asasi sijui mashirika ya kiraia huenda hazijui au hazina uzoefu WA kutendawa Makosa ya namna hiyo

Au Tuseme NI kizazi cha Làana, kizazi cha nyoka, kizazi cha Kataa Ndoa.

Wanawake wàpo wangapi mpaka ufuate Mke wa Mtu? Kama siô dharau, kiburi na Uhuni.

Hakika, Sisi Watibeli tunajua n kutambua Haki za waliooa na kuolewa, Haki za Mume na Haki za Mke. Hatutalaumu Mtu yeyote atakayetenda na kulipa kisasi cha aina yoyote Kwa Mtu àmbaye amemuibia Mke au Mume Kwa ku-cheat.

Hatutaki jamii za kionevu, dhulma, jamii ya zinaa.

Wanaume wàpo wangapi mpaka uende Kwa Mume WA Mtu bhana kama siô kiburi na dharau.

Viongozi wôte wakiwemo Marais, Mawaziri, Wakuu WA Vyombo vya Dola, viongozi wa Dini, matajiri najua ninyi mnaelewa nimeandika kitu gàni. Najua miongoni mwenu Hakuna hata Kiongozi mmoja àmbaye yupo tayari kuona Mkewe au Mumewe akiibiwa na najua wengi wenu maamuzi gàni huwa mnachukua.

Sasa nashauri ziwekwe Sheria za HAKI za Mahusiano ya wanandoa. Haiwezeniki Mtu akifumaniwa na Mtu Mwingine adhabu yake haieleweki. Huko ni kuhalalisha zinaa Kwa wanandoa na baadhi ya wanandoa kuonewa na kuumizwa, Wekeni Sheria Kali ili Watu wasione sababu ya kulipa Visasi vikali ili kuridhisha Nafsi zào.

MTU kama amechoka Ndoa aombe Talaka ili akafanye Kile anachotaka.

Nawajua mabinti wengi walioharibu Ndoa za Watu na kuacha Wake na Watoto waliokuwa ndoani kuumia na kuharibu future yao.

Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.

Iwekwe Sheria kuwa Kutoka na Mke au Mume WA Mtu NI jinai na adhabu yake íwe Kali angalau jela Miaka 30. Aliyetoka nje ya Ndoa na hiyo aliyetoka naye wôte wafungwe miaka 30.

Iwekwe Sheria, Ikiwa MTU ataomba talaka bila sababu ya msingi Kwa lengo la Kuoa au kuolewa na Mtu Mwingine ataacha Nusu ya Haki ya vile anavyomiliki (alichochuma)katika Ndoa ya Kwanza.

Itolewe Sheria kuwa, Ndoa ya Wake wengi NI ruhusa lakini lazima iwepo sehemu àmbayo Mke WA Kwanza ataweka saini na kuridhia. Yàani kukubali.

Lakini Sheria za kihuni, kitapeli, zisizoangalia maumivu ya Watu Wengine Kwa sababu labda siô jinsia yako, siô Dini au kabîlà lako, au Kisa hamfanani hiyo ni dhulma.

Ni jukumu la Mume kumshawishi Mkewe kama kûna ulazima WA kuongeza Mke Mwingine. Na Mke anahiyari ya kukubali au kukataa shauri Hilo Ikiwa Hana Imani na Àkili na Upendo WA Mumewe.

Yawepo Makubaliano tangu awali Ikiwa Mwanaume anampango wa Kuoa Wake wengi.

Hata hivyo aina ya Ndoa inayofungwa NI makubaliano tosha mfano Mwanamke yeyote àmbaye Kwa hiyari Yake alikubali kuolewa Kwa Ndoa ya Kimila au kiislam hakutakuwa na ulazima WA kumuuliza kuhusu kuoa Wake wengi kwani tayari Sheria na Kanuni za Mila za kiafrika na Dini ya kiislam zîpo wazi kuhusu suala Hilo.

Kwa Watibeli Mwanaume Hana ruhusa ya kuuliza Wala kuomba Kuoa Mke Mwingine Kwa Mkewe isipokuwa Mkewe ndiye mwenye hiyo HAKI ya kutaka kuongezewa Mke mwenza Ikiwa ataona kûna uhitaji.
Kama ilivyo Kwa Mwanaume WA kitibeli anayohaki ya kumruhusu Mkewe aolewe au Kulala na Mwanaume Mwingine Kutokana na sababu kuu Mbili, Mosi, Ugonjwa, kama Mwanaume ameumwa Kwa kipindi kirefu kinachozidi Miaka 10 anaweza kumruhusu Mkewe aidha aolewe na Mwanaume Mwingine au alale na Mwanaume Mwingine lakini huyo mwanaume hapaswi kuwa mume wa mtu.

Pili, Ugumba, Ikiwa Mwanaume ikabainika kuwa anaugumba úwe wa kuzaliwa au ugonjwa au ajali au Ugumba uliosababishwa na Jambo lolote. Atakuwa na ruhusa Kwa hiyari Yake kumruhusu Mkewe ambaye sio tasa yaani mwenye uwezo wa kuzaa akazae na Mtu Mwingine Ikiwa ameona Mkewe asiondoke Duniani Bila Mtoto Kwa sababu Yake. Au akaolewe na Mwanaume Mwingine.

Kwa Watibeli inaruhusiwa Mwanaume mgumba kuchagua Mwanaume Mwingine wa kumpatia uzao. Lakini hiyo íwe kimaandishi na íwe Kisheria.

Tukio la kugawa uzao litafanyika Mpaka pale Mimba itakapotungwa. Kisha Mwanaume aliyeiweka hiyo Mimba hataruhusiwa tena kuwa na uhûsiano na Mwanamke huyo. Wala kuwasiliana Kwa namna yoyote inayohusu mapenzi au Mtoto atakapozaliwa.

Itakuwa NI jinai Ikiwa Mwanaume aliyetoa uzao kujihusisha tena kimapenzi au kujihusisha na Mtoto.
Itakuwa pia ni jinai Kwa Mke ikiwa atajihusisha na Mwanaume aliyeombwa na Mumewe Kutoa uzao.

Mimi Acha nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa, Kibidula, Mafinga
Lakini Huwa unafanya kuridhisha nafasi but lastly unaponza nafasi na mwili hususan kama huna pesa na mamlaka .

Kuliko yote hayo Bora niache
 
Huyu analeta civilization zake za ajabu kwèñye mambo mazito yanayogusa watu Moja Kwa Moja.

Haohao wazungu àmbao wanaotambulika civilized aende akajaribu Kutoka na Mke wa Mtu yeyote anayejiweza alafu Majibu atatupatia tukikutana kuzimu
Watampa kaadhabu kadogo tu.Watamtwanga karisasi kichwani tu.
 
Mwanamke sio mjinga atoke nnje, kuna namna tu itakuta mume wake kapelea , hasa kwa wale wanaume wasio karibu na kuwa free kwa wake zao ni ngumu Mwanamke amwambie ukweli.

Adai talaka.
Nipo Mafinga Hapa.
Vijana wanahangaika kukesha kutafuta Pesa kwaajili ya Wake zào. Wanapigana na hii baridi Hapa usiku kucha kwaajili ya familia zào.

Mke labda anataka ukaribu lakini Kazi ya mume haimpi Nafasi Mume kuwa mara Kwa mara na familia yake.
Kama Jambo Hilo limekuwa baya Kwa Mke huyo NI Bora akae na mwenza wake amwambie Kwa Upendo ameshindwa. Hiyo NI HAKI.

Lakini ku-cheat hakunaga kisingizio cha maana.
Usaliti haunaga kisingizio labda iwe Kisasi
 
Lakini Huwa unafanya kuridhisha nafasi but lastly unaponza nafasi na mwili hususan kama huna pesa na mamlaka .

Kuliko yote hayo Bora niache

Yeah kama Huna Ñguvu waache weñye Ñguvu wafanye.

Ndîo maana wanamuachia Mungu Kwa Sababu yeye NI mwenye Ñguvu.

Alafu hao wanaosema NI ûjinga lazima waelewe Mungu mwenye Ñguvu atalipa kîla deni Kwa wanyonge àmbao hawakuweza kujitetea
 
Adai talaka.
Nipo Mafinga Hapa.
Vijana wanahangaika kukesha kutafuta Pesa kwaajili ya Wake zào. Wanapigana na hii baridi Hapa usiku kucha kwaajili ya familia zào.

Mke labda anataka ukaribu lakini Kazi ya mume haimpi Nafasi Mume kuwa mara Kwa mara na familia yake.
Kama Jambo Hilo limekuwa baya Kwa Mke huyo NI Bora akae na mwenza wake amwambie Kwa Upendo ameshindwa. Hiyo NI HAKI.

Lakini ku-cheat hakunaga kisingizio cha maana.
Usaliti haunaga kisingizio labda iwe Kisasi
Mkuu mwanamke akikupenda kweli hauwezi chapiwa , vijana mnazingua kwa kutafuta wake kwa ushawishi wa vipesa ndio maana wanachapiwa mno , mimi nashauri wacha wachapiwe tu, kupata adhabu ni matokeo tu, hakuna mahali patamu kama penye utata😁
 
Wewe tafuta ambacho unakitaka.
Wewe kama unàtaka tobo Huna Hata haja ya kujua Jina lake, Kwanza la nini?

Ila matokeo yake ni pàmoja na hicho cha kuundiwa Kikosi Kazi na kujikuta matatani, au magonjwa, au Mimba àmbayo hukuitarajia. NI sehemu ya matokeo na hutokuwa na wakumlaumu kwani unastahili.

Naandika haya siô kwamba Mimi NI mtakatifu ila tunajadili àmbayo Yapo kîla Siku yanatokea
Nimekuta na mkeo ambaye wewe unamjua kwa jina Rahel Filbert Mtibeli mnayeishi nae huko Bunju, halafu kwangu mimi akajitambulisha kama Tausi Madilisha Kigoda kutoka vikindu na hana mume wala hawara... nimeingiza verse akakubali chap akaanza na kuniita mume hapo hapo...

Kwa hiyo hapo unaniambia kabla sijaanza kufanya chochote anipe kitambulisho chake cha Nida hili nihakikishe kama kweli jina lake ni Rahel, na pia nitafute watu wanaomfahamu hili wanithibitiishie kama kweli anaishi vikindu na hajaolewa si ndio???.. halafu siku ukija kuniona naye kwa akili yako utaniuliza kwa nini siku fanya yote hayo kujiridhisha na wasifu wake?

Jamaa una akili za kipuuzi sana... na tena ukikutana na wakulungwa waliojizatiti utafanyiwa huo ukatili wewe mbele ya huyo mke wako.
 
Úkiwa na Ñguvu huwezi fikiria namna yako.
Wengi weñye mitazamo kama yako ni wanyonge, Hawana Ñguvu zozote zaidi ya Ñguvu kidôgo za kupumua na kuishi.
Sasa kwa nini uingie kwèñye battle ilhali unajua umnyonge.

Moja ya dalili kuwa unanguvu NI kutokukubali kudharauliwa, kuonewa, kudhulumiwa.

Ndîo maana wewe Mtu anaweza kukuita Mbwa au msagaji ukamuachwa. Lakini Huwezi muita Rais, Waziri, au mwenye Pesa au Ñguvu ya kichawi, au Ñguvu yoyote alafu akakuacha hivhivi.

Kwani wakiacha wanaowatukana watakosa nini au wakiwashughulikia watapata nini? Hilo utajiuliza.

Siku ukiwa na Ñguvu utajua wanapata nini.
Umesema furaha, Basi elewa ukiwa na Ñguvu furaha yako itakuwa kuona unaheshimiwa wewe na familia yako, Watoto wako, na Mali zako.
Mbona Biden na Elon kila siku wanatukunwa matusi makubwa zaidi ya haya na hakuna kita wanawafanya hao watu? Kuna mtu ana nguvu na pesa kuliko Biden na Elon Musk dunia hii?? Watu wenye mambo ya maana, makubwa na interesting life huwa hawashughulikagi na petty issues kama hizo unazoleta hapa.
Wewe tatizo lako ni ushamba, ujima pamoja na kukosa exposure ya nje ya kijiji chako.
 
Back
Top Bottom