Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Waache na ûjinga waô.
Mbona Sisi tumewaacha na Civilized Yenu.
Lakini eleweni mkileta hizô civilization zenu kwèñye Ndoa za Wanaume na Wanawake weñye Ñguvu ya Pesa, mamlaka, cheo,, au Ñguvu za kiroho kama Wachawi au Manabii au mitume.
Eleweni Moto utawawakia.
Mtauuwa Kwa Mikono Yao wènyewe na hawatakuwa na hatia. Roho zào zitakuwa na Amani
Umeshaona matajiri au wachungaji wa ukweli wanahangaika na kudhuru watu. Wana mambo mengi ya kufanya sio kuhangaika na Mbususu ambazo unaweza kuzipata kwingine
 
Ukatili ni kufanya ubaya Kwa Mtu àmbaye hajakukosea.

Chukua Mke WA Mtu uone kama hawatakulawiti na wéwe.
Hayo màtukio Yapo mengi mitaani na yataendelea kuwepo mpaka Sheria za HAKI zitakapotungwa na serikali.
Jamii ambayo watu wake wengi hawajastaarabika sheria sio kitu kinachoweza kuwaweka sawa kwa kipindi cha muda mfupi, civilization ni mchakato wa muda mrefu. Ukimchukua caveman wa wenzi za mawe umchanganye na binadamu wa sasa itamchukua muda mrefu sana kuanza kufuatisha taratibu nyingi za binadamu wa leo.
Jamii ambayo wanachoma moto wezi wa kuku, bata na simu huku wakiwapa uongozi, utukufu na kuwahusudu wezi wa mabilioni ni jamii ya hovyo sana. Jamii ambayo raia wake wengi wanajichukulia sheria mkononi kwa mipango na wanaona ni sawa tu na fahari ni jamii iliyooza(rotten society)
 
Haknaga sheria za hivyo hata siku moja. Ndoa ina sheria yake. Mimi mbona wa kwangu tuliachana na kila mtu ana maisha yake. Utahangaika na wa ngapi kama mumeo au mkeo ni mchepukaji?

Hatuzungumzii kuachana.
Zinaa NI Moja ya sababu za kuachana.

Tunazungumzia dhulma ya Mtu kuvunja Mkataba Kwa kuahidi kutokukusaliti akakusaliti.

Unajua maumivu ya mapenzi wewe?
Au ulishakufaga?
 
Jamii ambayo watu wake wengi hawajastaarabika sheria sio kitu kinachoweza kuwaweka sawa kwa kipindi cha muda mfupi, civilization ni mchakato wa muda mrefu. Ukimchukua caveman wa wenzi za mawe umchanganye na binadamu wa sasa itamchukua muda mrefu sana kuanza kufuatisha taratibu nyingi za binadamu wa leo.
Jamii ambayo wanachoma moto wezi wa kuku, bata na simu huku wakiwapa uongozi, utukufu na kuwahusudu wezi wa mabilioni ni jamii ya hovyo sana.

Narudia Hakuna Mtu Civilized unapogusa Familia Yake.
Yàani Utoke na Mke au Mume WA Mtu alafu unataka awe civilized?

Nenda uzunguni Huko tafuta mke wa kigogo mrubuni Kisha ukamatwe utaona hizô unazoita Civilized zako kama zitatumika.

Watakuua Acha kudanganya Watu Hapa.

Binadamu wôte NI Sawa kwèñye baadhi ya masuala. Ikiwemo suala la mapenzi.
Reactions ndîo hutofautiana kutokana na tofauti zào za kihadhi, kicheo, kimamlaka, kielimu, kiuchumi n.k.

Narudia watakuua.
Chukua Mke au Mume WA hao unaowaona civilized au chukua nchi Yao Kisha lete porojo zako hapa
 
Narudia Hakuna Mtu Civilized unapogusa Familia Yake.
Yàani Utoke na Mke au Mume WA Mtu alafu unataka awe civilized?

Nenda uzunguni Huko tafuta mke wa kigogo mrubuni Kisha ukamatwe utaona hizô unazoita Civilized zako kama zitatumika.

Watakuua Acha kudanganya Watu Hapa.

Binadamu wôte NI Sawa kwèñye baadhi ya masuala. Ikiwemo suala la mapenzi.
Reactions ndîo hutofautiana kutokana na tofauti zào za kihadhi, kicheo, kimamlaka, kielimu, kiuchumi n.k.

Narudia watakuua.
Chukua Mke au Mume WA hao unaowaona civilized au chukua nchi Yao Kisha lete porojo zako hapa
Dah!Nikajua umepumzika mkuu.Kumbe unajibu komenti?
 
Hatuzungumzii kuachana.
Zinaa NI Moja ya sababu za kuachana.

Tunazungumzia dhulma ya Mtu kuvunja Mkataba Kwa kuahidi kutokukusaliti akakusaliti.

Unajua maumivu ya mapenzi wewe?
Au ulishakufaga?
Alikuwa mume wa ndoa ,akawa na mchepuko. Nikamuacha aendelee na huko anakoona anapata amani. Maisha yangu ni muhimu zaidi ya ndoa.
 
Dah!Nikajua umepumzika mkuu.Kumbe unajibu komenti?

Huyu analeta civilization zake za ajabu kwèñye mambo mazito yanayogusa watu Moja Kwa Moja.

Haohao wazungu àmbao wanaotambulika civilized aende akajaribu Kutoka na Mke wa Mtu yeyote anayejiweza alafu Majibu atatupatia tukikutana kuzimu
 
Narudia Hakuna Mtu Civilized unapogusa Familia Yake.
Yàani Utoke na Mke au Mume WA Mtu alafu unataka awe civilized?

Nenda uzunguni Huko tafuta mke wa kigogo mrubuni Kisha ukamatwe utaona hizô unazoita Civilized zako kama zitatumika.

Watakuua Acha kudanganya Watu Hapa.

Binadamu wôte NI Sawa kwèñye baadhi ya masuala. Ikiwemo suala la mapenzi.
Reactions ndîo hutofautiana kutokana na tofauti zào za kihadhi, kicheo, kimamlaka, kielimu, kiuchumi n.k.

Narudia watakuua.
Chukua Mke au Mume WA hao unaowaona civilized au chukua nchi Yao Kisha lete porojo zako hapa
Huko ndio watu wanaachana tena kwa amani kabisa. Mnaleta porojo ambazo hazina ukweli.
 
Kuchepuka sio suala la kufungwa miaka 30 jela kwasababu, ni mtambuka. HAKUNA njia ya kuzuia watu wasichepuke.
Kama ndoa zipo, basi kuchepuka kutabaki kuwepo tu.
Na pia kuchepuka hakuingilii haki za msingi za mtu yeyote kama kuua ama kubaka.

Mambo ya kuchepuka yanapaishwa sana bila sababu, ni mazoea tu kama jinsi ilivyo kuua wezi, lakini sio ya kuyapa uzito kiasi hicho.

Nadhani kuna jinsi kundi la watu likichochea chuki/mtazamo flani basi tamaduni flani inatengenezwa....
 
Alikuwa mume wa ndoa ,akawa na mchepuko. Nikamuacha aendelee na huko anakoona anapata amani. Maisha yangu ni muhimu zaidi ya ndoa.

Pole Sana.
Ungekuwa na Ñguvu yoyote ungekuwa na mtazamo tofauti na huu ulionao Sasa.

Ndîo maana weñye Ñguvu hawawashangai ninyi mnapoacha mambo kama hayo yapite, wanajua ni Kwa sababu hamna Ñguvu, nafasi, uwezo wa kujisaidia.
Lakini waô hamuwaelewi.

Mungu atakulipia Kwa sababu yeye NI mwenye Ñguvu
 
Umekutana na Mwanamke àmbaye umemtaka kimapenzi. Alafu akakuambia yeye siô Mke wa Mtu.
Ulitumia njia gàni kujiridhisha kuwa yeye siô Mke wa Mtu?


Bora unambie umemkuta kwèñye makasino ya kujiuzia Huko angalau utakuwa na hoja na Mimi Watu watakutetea.
Hata mwenye Mke atakutetea.

Mwanamke yeyote unayemuona anapita barabarani na siô Mkeo wal nduguyo hauna Haki naye Bila kujiridhisha

Mwanamke àmbaye unahaki naye kufanya mapenzi NI Mkeo au kahaba àmbao Wanamaeneo Yao ya kufanya shughuli hizô.
Hivi wewe jamaa kuna muda unakuwa na akili kweli au unajiandikia tu hili ubishane na watu humu?

Kwamba mimi nimekutana na mwanamke huku nachingwea anafanya biashara ya korosho, katika stori zetu akaniambia yeye ni mwenyeji wa Tabora na hajawahi kuolewa ila kazalishwa tu na hajui baba mtoto wake yuko wapi..... halafu eti mimi nianze kufanya upelelezi kutaka kujua je kweli ni mwenyeji wa tabora na kweli hajaolewa like serious?? Natafuta nini kute huko?
 
Kumbe Hiki kirembo kinaakili.
Miaka yote nilikuwa nakuona poyoyo, samahani Kwa hili. Lakini sababu ya kukuona hivyo NI mtazamo wako kuhusu hao ndugu zako wa LGBT.

Lakini Leo umenishangaza Sana.
Siku ukijitoa Huko Kwa hao wapuuzi nijulishe nikupe heshima unayostahili
Ahsantee sana mtibelii, [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Pole Sana.
Ungekuwa na Ñguvu yoyote ungekuwa na mtazamo tofauti na huu ulionao Sasa.

Ndîo maana weñye Ñguvu hawawashangai ninyi mnapoacha mambo kama hayo yapite, wanajua ni Kwa sababu hamna Ñguvu, nafasi, uwezo wa kujisaidia.
Lakini waô hamuwaelewi.

Mungu atakulipia Kwa sababu yeye NI mwenye Ñguvu
Siwezi kutumia nguvu zangu kwa kufanya ujinga kama wa huyo askari. Tulikutana mjini tunaachana tu kiroho safi. Sina hati miliki ya binadamu .
Nina mambo mengi tu ya kufanya na kunipa furaha.
 
Hivi wewe jamaa kuna muda unakuwa na akili kweli au unajiandikia tu hili ubishane na watu humu?

Kwamba mimi nimekuta na mwanamke huku nachingwea anafanya biashara ya korosho, katika stori zetu akaniambia yeye ni mwenyeji wa Tabora na hajawahi kuolewa ila kazalishwa tu na hajui baba mtoto wake yuko wapi..... halafu eti mimi nianze kufanya upelelezi kutaka kujua je kweli ni mwenyeji wa tabora na kweli hajaolewa like serious?? Natafuta nini kute huko?

Wewe tafuta ambacho unakitaka.
Wewe kama unàtaka tobo Huna Hata haja ya kujua Jina lake, Kwanza la nini?

Ila matokeo yake ni pàmoja na hicho cha kuundiwa Kikosi Kazi na kujikuta matatani, au magonjwa, au Mimba àmbayo hukuitarajia. NI sehemu ya matokeo na hutokuwa na wakumlaumu kwani unastahili.

Naandika haya siô kwamba Mimi NI mtakatifu ila tunajadili àmbayo Yapo kîla Siku yanatokea
 
Mwanamke ni mtu mwenye maamuzi yake binafsi, ukiona katoka nnje jua kuna namna mwanaume wake ana mapungufu makubwa juu yake.

Hata ukitoa adhabu ya namna gani haitaficha ukwel kwamba kuna mahali huyo mke haumtoshi.
 
Back
Top Bottom