Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Mnawadanganya mabinti au watoto wa watu, wanavyokuja kubakwa na kulawitiwa, nyie mnakua hampo.
Acheni ubinafsiii, tulieni na wake zenu, mxxxxxiiiiieeeew
Pale jamaa alizingua alipaswa kuweka mazingira mazuri kuhakikisha yule Binti anakuwa salama kama alikuwa hawezi ku insure security angepotezea
Halafu Hawa wajeda hasa wakubwa na wanaofanya kazi makao makuu wengi huwa wanatumia IT wao kudukua mawasiliano ya wapenzi wao (Nimewahi kujua hili) kwa hiyo ukiwa nae kuwa makini sana hasa we cocastic maana unapenda wajeda
 
Mimi najua Watu WA aina yako pamoja na uliyemnukuu mnajuaga kingereza.
Ati ndîo njia mnayodhani mkiitumia mtaeleweka
Na wale wasiowahi kuingia darasani, hiko kinge wanakijulia wapii?
Kwa Rasi Simba? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtibeli acha uchokozii, mxxxxxiiiiiiiieeeeew.
 
Pale jamaa alizingua alipaswa kuweka mazingira mazuri kuhakikisha yule Binti anakuwa salama kama alikuwa hawezi ku insure security angepotezea
Halafu Hawa wajeda hasa wakubwa na wanaofanya kazi makao makuu wengi huwa wanatumia IT wao kudukua mawasiliano ya wapenzi wao (Nimewahi kujua hili) kwa hiyo ukiwa nae kuwa makini sana hasa we cocastic maana unapenda wajeda
Wajeda wananipenda wao ila mie siwapendiii, wako km 3 niliwatolea njee.
Mie Mume wa mtu, kwangu ni sumuu, hata aje na swagga zipii mtamfurusha km pakaa mwiziii, afu ndo mume wa mjeda tena makao makuu? Wee kuwezaaa?

Mume wa mtu Sumu, mke wa mtu kifo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wale wasiowahi kuingia darasani, hiko kinge wanakijulia wapii?
Kwa Rasi Simba? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtibeli acha uchokozii, mxxxxxiiiiiiiieeeeew.

Sijajua Kwa kweli lakini wengi ninaowajua tenà wameishia form four tuu na wale waliofika chuo kikuu walifeli English lakini wanajua kutema ung'eng'e kuliko Sisi.

Najiuliza kûna uhûsiano gàni Baina ya LGBTQ na Kingereza?
Kwa vile upo utanisaidia kunijibu
 
Ni bora mkaachana, majuto yanakuwa ni makubwa baada ya kutenda tukio..
Watu hawakurupuki mzee,

Unakuta unaishi na mwanamke kwa furaha, kuna amani hakuna ugomvi kumbe kuna njemba pembeni na inajua kila kitu

Inamshawishi mwanamke hadi anaanza kumbandua, Wanawake tunajua ni dhaifu sana

Sasa mtu huyu siku akifumwa unadhani anafanywaje ? Hapo maamuzi yanabaki kwa aliyemfuma kuwa atamfanyaje huyu mtu ambae amekuja kuwa kirusi cha furaha yake na ndoa yake.
 
Sijajua Kwa kweli lakini wengi ninaowajua tenà wameishia form four tuu na wale waliofika chuo kikuu walifeli English lakini wanajua kutema ung'eng'e kuliko Sisi.

Najiuliza kûna uhûsiano gàni Baina ya LGBTQ na Kingereza?
Kwa vile upo utanisaidia kunijibu
Nimechekaa had machozii, akhiiii leo umekuajeee kwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtibelii acha ukorofii, mxxxiiiieeeeew.
 
Wajeda wananipenda wao ila mie siwapendiii, wako km 3 niliwatolea njee.
Mie Mume wa mtu, kwangu ni sumuu, hata aje na swagga zipii mtamfurusha km pakaa mwiziii, afu ndo mume wa mjeda tena makao makuu? Wee kuwezaaa?

Mume wa mtu Sumu, mke wa mtu kifo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi utakuwa salama maana siku hizi kina mama hawataki kuja kulea familia peke Yao wakiachwa ndio shida inaanzia hapo.
 
Kaamua kuliwa kwa matakwa yake kwa hiyo kosa ni la kwake.

Azingatie na kuheshimu mkataba hicho ndicho ninachokizungumzia.

Matakwa Yake kuliwa au kutokuliwa NI akiwa nje ya mkataba.

Hakuna anayezuia Mtu Kula au kuliwa. Inachosemwa hapa NI Watu waliopo kwèñye mikataba ya mahusiano kuheshimu Mkataba Yao. Na wale ambao hawapo kwèñye mahusiano ya Ndoa kuheshimu mikataba ya Watu. Full stop

Wanaokaidi Kwa utashi waô wasilalamike wakikutana na adhabu zinazotolewa Kwa utashi wa waliowaibia wake au waume
 
Basi utakuwa salama maana siku hizi kina mama hawataki kuja kulea familia peke Yao wakiachwa ndio shida inaanzia hapo.
Nachezaa kwa akilii weyeee!! Kwanza mume wa mtu hanisisimui kivilee.
Kuna vitu huwa nawazagaa, inakataaa sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu hawakurupuki mzee,

Unakuta unaishi na mwanamke kwa furaha, kuna amani hakuna ugomvi kumbe kuna njemba pembeni na inajua kila kitu

Inamshawishi mwanamke hadi anaanza kumbandua, Wanawake tunajua ni dhaifu sana

Sasa mtu huyu siku akifumwa unadhani anafanywaje ? Hapo maamuzi yanabaki kwa aliyemfuma kuwa atamfanyaje huyu mtu ambae amekuja kuwa kirusi cha furaha yake na ndoa yake.
Wanawake wangekuwa dhaifu sana mngekuwa mnahonga michepuko hadi kusahau wake wa ndoa na familia?
Huko kwenda kuua au kumlawaiti mwanaume mwenzako kwa sababu katembea na mke wako ndio udhaifu wenyewe wa akili.
 
Azingatie na kuheshimu mkataba hicho ndicho ninachokizungumzia.

Matakwa Yake kuliwa au kutokuliwa NI akiwa nje ya mkataba.

Hakuna anayezuia Mtu Kula au kuliwa. Inachosemwa hapa NI Watu waliopo kwèñye mikataba ya mahusiano kuheshimu Mkataba Yao. Na wale ambao hawapo kwèñye mahusiano ya Ndoa kuheshimu mikataba ya Watu. Full stop

Wanaokaidi Kwa utashi waô wasilalamike wakikutana na adhabu zinazotolewa Kwa utashi wa waliowaibia wake au waume
Walioingia mkataba ndio wanatakiwa kuiheshimu. Sasa kama.unashindwa kuheshimu makubaliano yenu wewe unadhani mtu wa nje ataheshimu.
Ukiona yalekushinda achana na huyo mtu. Kuanza kukimbizana na watu wengine haitasaidia
 
Nimechekaa had machozii, akhiiii leo umekuajeee kwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtibelii acha ukorofii, mxxxiiiieeeeew.

Nipe Majibu.
Evelyn Salt ati unajua uhûsiano uliopoa Baina ya LGBTQ na Kingereza? Maana unakuta kajitu shule hakajaenda au kalikuwa kanazungusha Somo la kingereza lakini Siku hizi kanatema Kimombo
 
Labda uanzishwe utaratibu wa mwanamke akiolewa apigwe chata kama utambulisho.

Mwanamke hutoka nje ya ndoa kwa utashi wake. Na zipo sababu zinazopelekea yote hayo.

Alicho kiandika mtibeli sio cha kuzingatia maana anahamasisha uvunjifu wa amani.
Hii ni hoja mfu kabisa aliyoleta mtibeli.mtibeli.
 
Walioingia mkataba ndio wanatakiwa kuiheshimu. Sasa kama.unashindwa kuheshimu makubaliano yenu wewe unadhani mtu wa nje ataheshimu.
Ukiona yalekushinda achana na huyo mtu. Kuanza kukimbizana na watu wengine haitasaidia

Huwezi Vunja Mkataba ukaachwa hivhivi labda Kwa nyie Civilized.
 
Wanawake wangekuwa dhaifu sana mngekuwa mnahonga michepuko hadi kusahau wake wa ndoa na familia?
Huko kwenda kuua au kumlawaiti mwanaume mwenzako kwa sababu katembea na mke wako ndio udhaifu wenyewe wa akili.
Sijui watu huwa wanawaza nini. Ni ukosefu wa akili sijui. Eti u.atafuta genge la wahuni wakamfanyie mtu uhuni. Hao wahuni wenyewe wanaweza hata kukugeuka na wewe pia hata kukuua.
 
Nachezaa kwa akilii weyeee!! Kwanza mume wa mtu hanisisimui kivilee.
Kuna vitu huwa nawazagaa, inakataaa sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Single kama Mimi nipo usiende kwa mme wa mtu acha wachukuane wao kwa wao na sisi kwa sisi😜
 
Mada hii inajadiliwa kwa hisia na sio logic

Kiufupi maisha yako usiyafanyie attachment doesn't matter what happen .

Ukiua
Ukamdhuru MTU

Na mambo Kama hayo kisa tu umesalitiwa na mwanmke au mwanaume atakayeumia zaidi ni wewe uliyeua na sio huyo victim

Utajikuta upo guilty
Utajikuta upo jela
Utajikuta Una kesi

So ukiona MTU haumuelewi jaribu kuacahana naye in peaceful way wewe maisha yako ni zaidi ya PESA Mali ,mke, mume .

So play but play safe.

Pia muwe mnatembela magerezani mtawakuta watu wengi wana kesi za mauaji Kama hayo.



Don't give a fucky
 
Back
Top Bottom