Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

hoja ina point nyingi sana
Moja kati ya mada za hovyo kabisa kuwahi kuandikwa na mtibeli.

Huyu anatetea uvunjivu wa sheria za nchi, uharifu na mauaji eti kwa kisingizio cha uchungu wa mume sijui mke! Rubbish.

Hapa sasa kinachotokea ni kinyume chake.

Huwezi kumfanyia unyama mtu eti kisa katembea na mumeo au mkeo, Utafia gerezani na huyo mkeo jamaa atamuoa kabisa.

Na walivyo wajinga huwa wanarekodi kabisa ili kusaidia ushahidi, mahakama huwa hazihangaiki sana na kesi za namna hii, maana ushahidi unakuwepo tayari.

Alietembea na mumeo au mkeo hana kosa lolote, mwenye kosa ni huyo mkeo au mumeo, Ongea nae, kama haelewi achana nae.

Kujifanya una uchungu sana na mtu mliekutana ukubwani ni ushamba tu, utaozea Segerea ndugu yangu.
 
Hapa umenigusa maana ndio kinachoendelea kwenye familia nnayoifahamu

Baba kapata kibinti, kasahau familia hampendi tena mke wake na kaondoka baada ya migogoro kuwa mingi tangu awe na hiko kisichana

Sasa hivi kaacha kuprovide mahitaji yoyote kwenye familia yake na anao watoto anaosomesha, ada analipa kwa wasi wasi sana watoto wanatia huruma, tofauti na ilivyokua hapo mwanzo

Kiufupi jamaa ndio anaua familia yake hivi hivi tunaona.

Haki za binadamu haziwezi kuona hayo Kwa sababu hawajui Haki NI nini
 
A person who thought of someone else while being in a relationship with you had stopped loving you that very moment. Just say it’s over and move on..
How uanze kupata criminal case utese watoto? Ni kwamba hujiamini na huwezi kupata mwenzi mwingine aliye sahihi?

Kwa nini ukiibiwa gari usitafute jingine Kwa nini unaenda Polisi?

Ishu siô uhakika WA kupata Mwingine ishu NI kile ulichofanyiwa ambacho jamii haioni kama umefanyiwa uonevu Kwa sababu ya kizazi cha nyoka na Laana
 
Sijasoma kabisa ila nimejikita kwenye title na ndio nitatumia kucomment ni hivi hakuna mme wa mtu Kuna mke wa mtu pekee
Ndio maana mwanaume anakuwa na mke zaidi ya mmoja ila mwanamke huwa na mme mmoja.
Afadhali kidogo, lakini bado una nusu ya mawazo ya mleta mada.
 
Ndiyo hivyo mkuu amna namna mwanaume kamili ugongewe mke wako alafu utulie tu haiwezekani,
Mimi huwa naamini Mtazamo wa jino kwa jino,Eye for an eye,
Mpaka kieleweke bas

Binadamu wôte wàpo hivyo semà kilichopo NI kuwa wàpo weñye uwezo na Ñguvu àmbao huweza kulipa kisasi
 
A person who thought of someone else while being in a relationship with you had stopped loving you that very moment. Just say it’s over and move on..
How uanze kupata criminal case utese watoto? Ni kwamba hujiamini na huwezi kupata mwenzi mwingine aliye sahihi?
Tumuulize Mtibeli..
 
Kwenye suala la HAKI kuua NI Mojawapo na yapo Makosa ukifanya utauawa tuu Kwa wanaopenda Haki.
Kwèñye UPENDO kuua siô priority Bali Msamaha

Hakuna Mtu atakayejuta kumjua Mtu aliyetoka na Mke au Mumewe hiyo Mtu HAYUPO.
Umetumia HAKI vs UPENDO wakati upendo kinaweza hata kuwa kisawe cha haki. God 'is' love, God is Just (justice) but God have 'Mercy'.
Baba anapomchapa mwanaye huo ni upendo na ni haki lakini sio huruma. Mama anavyomsamehe mwanaye, hiyo ni huruma na ni upendo lakini sio haki. Tena hata kwenye upendo sio upendo wa kweli umeharibiwa na ujinga.

Naonelea kuwa sahihi zaidi ukitumia HAKI vs HURUMA. Kwenye huruma msamaha ndiyo priority. Huruma ni sehemu ya haki ila haipo juu yake. Ni maamuzi ya mtu kuitumia (utu) au kuiacha na kufuata haki tu (ubinadamu) vigezo na masharti kuzingatiwa.

Anyway usihangaike kujibu, haya ni maoni tu. Pambana na walio kwenye mada. Mimi nitakusapoti kwa kusema tu: Yeyote anayetaka kudai haki, atimize kwanza wajibu wake. Maana huruma kwa wakosaji ni kutowatendea haki na ukatili kwa wakosewa
Screenshot_20240428-153845_Chrome.jpg
 
Umetumia HAKI vs UPENDO wakati upendo kinaweza hata kuwa kisawe cha haki. God 'is' love, God is Just (justice) but God have 'Mercy'.
Baba anapomchapa mwanaye huo ni upendo na ni haki lakini sio huruma. Mama anavyomsamehe mwanaye, hiyo ni huruma na ni upendo lakini sio haki. Tena hata kwenye upendo sio upendo wa kweli umeharibiwa na ujinga.

Naonelea kuwa sahihi zaidi ukitumia HAKI vs HURUMA. Kwenye huruma msamaha ndiyo priority. Huruma ni sehemu ya haki ila haipo juu yake. Ni maamuzi ya mtu kuitumia (utu) au kuiacha na kufuata haki tu (ubinadamu) vigezo na masharti kuzingatiwa.

Anyway usihangaike kujibu, haya ni maoni tu. Pambana na walio kwenye mada. Mimi nitakusapoti kwa kusema tu: Yeyote anayetaka kudai haki, atimize kwanza wajibu wake. Maana huruma kwa wakosaji ni kutowatendea haki na ukatili kwa wakosewaView attachment 3075524

HAKI haina kitu inaitwa Msamaha.
Upendo unakitu inaitwa Msamaha.

Mungu mwenye Upendo Kwa sababu ya HAKI.
 
Kwa nini ukiibiwa gari usitafute jingine Kwa nini unaenda Polisi?

Ishu siô uhakika WA kupata Mwingine ishu NI kile ulichofanyiwa ambacho jamii haioni kama umefanyiwa uonevu Kwa sababu ya kizazi cha nyoka na Laana
You are missing the point mtibeli.

Ninakubali kuwa umefanyiwa uonevu, je ni nani aliekufanyia huo uonevu?

Ni mimi nilielala na mkeo au ni huyo mkeo alieshindwa kukuheshimu na kutambua umuhimu wako?

Mkeo nimekutana nae Sumbawanga, amesema hana mume, kwa nini nisimkamue?

Mimi kosa langu ni lipi?
 
Hivi nikikamatwa nakula mke wa mtu,kosa ni langu au la huyo mke?
Mtu anajua kaolewa kwa nini akubali?

Úkiwa Mtu mzima utajua Mwanamke aliyeolewa na àmbaye hajaolewa.

Ni Sawasawa na Mwanamke àmbaye anasema kuwa hakujua Fulani NI mume wa mtu.

NI mjinga tuu unayeweza kuongea kauli kama hiyo
 
Ila baada ya hapo kuna gharama utabidi uzilipie .

Mfano yule jamaa comedians

Yupo guilty and shame 24/7
Huduma yake imeshuka
Hasikilizwi amepoteza reputation

You can't sacrifice /kill someone for ur life there's karma debt has to be paid.
Kama alitembea na mke wa mtu basi kifo kilikuwa halali yake. Karma haina maana yoyote.
 
Ndiyo hivyo mkuu amna namna mwanaume kamili ugongewe mke wako alafu utulie tu haiwezekani,
Mimi huwa naamini Mtazamo wa jino kwa jino,Eye for an eye,
Mpaka kieleweke bas
Mwanaume kamili ni mwanaume wa aina gani?

Nani kakuambia kudindisha tu ndio kuwa mwanaume kamili?

Mwanaume kamili ni yule anayetunza familia yake vizuri.

Mwanaume kamili ni yule anaeheshimiwa na mke wake.

Ukiona mkeo anatiwa tiwa hovyo, ni lazima kuna tatizo mahali, na chanzo cha tatizo unaweza kuwa ni wewe mwanaume.
 
Napinga dhulma hadharani.

Hao Haki za binadamu Wakati mwingine huhalalisha Mpaka uhalifu na uovu kama vile Ushoga.

Uliwahi kuwasikia hao Haki z binadamu wakipiga kelele kutetea wanaoibiwa waume au wake za Watu?
Una point. Jamaa anasema haki za binadamu wakati ukitoka na mke wa mtu unakuwa umeshamvunjia mwenye mke haki yake ya ubinadamu. Kuna siku nilibishana na member mmoja hapa kuhusu hili lakini hakunielewa. Yeye alikuwa nasema mke wako akichukuliwa basi wewe deal na huyo mwanamke kwani mwanamme aliyechukuwa hana kosa. Mimi nilimwambia ukifanya haya mambo unafanya at your own risk na huwezi kumpangia mwenye mke achukuwe hatua gani. Hata akikukata na panga ni halali yako.
 
Úkiwa Mtu mzima utajua Mwanamke aliyeolewa na àmbaye hajaolewa.

Ni Sawasawa na Mwanamke àmbaye anasema kuwa hakujua Fulani NI mume wa mtu.

NI mjinga tuu unayeweza kuongea kauli kama hiyo
Hii hapana, maana siku hizi watu wanasafiri mikoa yote na nchi yote.

Ndio maana kuna vitu kama pete ya ndoa na mavazi (waislamu) lakini vyote sio fool proof kumjua mwenza wa mtu.

Kwa unaoishi nao mtaani sawa itakuwa ujinga lakini napo sio wote
 
Back
Top Bottom