Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Napinga dhulma hadharani.

Hao Haki za binadamu Wakati mwingine huhalalisha Mpaka uhalifu na uovu kama vile Ushoga.

Uliwahi kuwasikia hao Haki z binadamu wakipiga kelele kutetea wanaoibiwa waume au wake za Watu?
Hakuna binadamu anaibiwa labda atekwe. Yaani washughulike na watu wazima aliokubaliana kuunganisha nyeti zao. Hao ambao wameoa na kuolewa halafu wanachepuka ndio wanatakiwa wapewe adhabu.

Hivi mtu mzima anaibwaje? Waache kushughulikia mambo ya msingi wahangaike na mambo ya ajabu ajabu.
 
Nafikiri huelewi hata Mada inahusu Jambo gàni. Tunazungumzia HAKI.
Hatuzungumzii uwezo wa kumuacha Mtu msaliti aende ili wewe uendelee na Maisha yako na upate kilichobora.

Tunazungumzia Haki za Mahusiano, hasa mahusiano ya Mume na Mke.
Nitakupa mfano wa Haki za Mahusiano ya Watu kama Wachezaji na Club ya Mpira.
Mchezaji anapokuwa CHINI ya Club Fulani Kwa mkataba hasa WA Milele alafu ikabainika NI msaliti yàani amevunja Moja ya makubaliano Kwa kwenda kinyemela katika club ñyiñgine, ili kutenda Haki Mchezaji Yule lazima apewe adhabu, tenà adhabu Kali. Hizô NI taratibu za kimahusiano.

Halikadhalika, mahusiano tunazungumzia makubaliano ya Mtu na Mtu, Mtu na Watu au kikundi cha Watu na kikundi kingine.
Mfano Kampuni ya Madini imeingia mkataba na serikali Ikatoka suala la kuchimba Madini. Lakini ikatokea mmojawapo akakiuka makubaliano lazima adhabu itolewe ili Haki ionekana.

Hayo ya kuendelea na mahusiano au kutoendelea NI ishu nyingine àmbayo nayo ni Haki ya wahusika kuamua kama wanaendelea ama Laah.

Kwèñye Mahusiano ya mapenzi Hapa tunazungumzia HISIA za ndàni Kabisa Zenye Ñguvu kuliko zote Kwa binadamu.
MTU anaposalitiwa kimapenzi alafu Hakuna Sheria yoyote ya maana katika makosa ya namna hiyo hupelekea Mtu Husika Kutoa adhabu atakayoona itamfaa.

Wewe Unazungumzia mambo àmbayo Kwa makusudi au kutokujua huyaelewi
Haki za mahusiano sio kama za timu za mpira, mke wako akiamua kukuacha anakuacha muda wowote na kwa sababu zozote zile atakazojisikia nazo, hapo kesi ni mbili tu ya mali au watoto.
 
Sio hata suala la haki za binadamu, ni suala la kustaarabika na kutoka katika unyani na ujima wa mapenzi.

Nyani, sokwe na tumbling ndio wanapigania majike, binadamu wengi waliofikia kiwango cha juu cha evolution wameachana na hayo mambo.

Hao binadamu unaozungumzia ndîo wale wamefika level ya Ushoga.

Kiumbe yeyote anapigania mambo makuu yafuatayo;
1. Family
Mke, Mume na Watoto. Hii ndîo himaya yake. Kugusa Moja ya mwanafamilia Hapo NI kugusa Maisha ya MTU husika Moja Kwa Moja. Najua ninyi àmbao mmefika level ya juu kama mnavyojiita na kujiona hamlijui hilo.sio ajabu kwèñu ushoga au Mtoto kuwa shoga siô tatizo.

Kwèñye familia Mtu huweza kuua au kufanya chochote Kwa Sababu ya familia
Ila Mashoga na Watu wasiokuwa na familia hawawezi kuelewa hili

2. Ardhi.
Kiumbe chochote kilichopo Duniani kinapiga kufa kupona Kulinda Ardhi au Eneo lake la kuishi.
Mtu yupo tayari kufanya chochote ikiwezekana kuua Kwa sababu ya nchi yake au Taífa lake.
Ndicho unachoona kinatokea Huko Palestina

Lakini Kwa vile upeo wa ninyi mnaojiita Civilized NI mdogo Wakati kimsingi hampo civilized hamuwezi kuelewa mambo haya.

Chukua Ardhi ya Mtu alafu ulete hizô hadithi zenu za kijinga sijui mlifundishwa na Nani uone kitakachotokea.
 
You are missing the point mtibeli.

Ninakubali kuwa umefanyiwa uonevu, je ni nani aliekufanyia huo uonevu?

Ni mimi nilielala na mkeo au ni huyo mkeo alieshindwa kukuheshimu na kutambua umuhimu wako?

Mkeo nimekutana nae Sumbawanga, amesema hana mume, kwa nini nisimkamue?

Mimi kosa langu ni lipi
Labda uanzishwe utaratibu wa mwanamke akiolewa apigwe chata kama utambulisho.

Mwanamke hutoka nje ya ndoa kwa utashi wake. Na zipo sababu zinazopelekea yote hayo.

Alicho kiandika mtibeli sio cha kuzingatia maana anahamasisha uvunjifu wa amani.
 
Kwa nini ukiibiwa gari usitafute jingine Kwa nini unaenda Polisi?

Ishu siô uhakika WA kupata Mwingine ishu NI kile ulichofanyiwa ambacho jamii haioni kama umefanyiwa uonevu Kwa sababu ya kizazi cha nyoka na Laana
Tofautisha gari na binadamu. Anayeibiwa na mtoto, au mtu kutekwa. Kwanza mke au mume anaibiwa na kufichwa wapi?
 
NASISITIZA, YAPO MAKOSA UKIFANYA KAMA KUTOKA NA MUME AU MKE WA MTU UTAFANYIWA UHUNI AU UKATILI BILA KUJALI SHERIA ZÎPO AU HAZIPO. MBINGUNI AU DUNIANI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa.

Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa.

Huwezi toka na Mume au Mke wa Mtu alafu ukaleta mambo ya Haki za binadamu, sijui Sheria za serikali, sijui Mungu kasemaje, ndugu yàngu, utaumia, utasagika, utakandwa na kma haitoshi watakuua.

Ukiona Mtu umemuibia Mkewe ya Mumewe alafu kakuacha tuu usije ukadhani anabusara nyingi Sana, Jua NI Hana uwezo wa kukufanya chochote. NI Ile ya kumuachia Mungu tuu.

Lakini Mtu mwenye uwezo, mamlaka, nguvu Huwezi mfanyia Makosa ya namna hiyo alafu utegemee akuache salama. Utaumia ndugu yàngu.

Vijana lazima waambie ukweli na jamii ijulikane hivyo. Kuwa Yapo Makosa ukifanya lazima ukutane na Moto.

Jamii Zenye Sifa za kichawi au ushirikina mfano mbona inakua ngumu Mtu aende Pemba atoke na Mke au Mume WA Mtu, wengi tunajua nini kitatokea hata kama ni nadharia.

Unàtaka Haki z binadamu ufanyiwe Linda heshima yako, Linda heshima ya Watu Wengine full stop.

Ukitumia utashi wako kufanya uhalifu kuchukua wake au waume za Watu usilaumu hao utakaowachukulia Wakitumia utashi waô kukushughulikia.

Serikali haijui uchungu wa Mtu kuubiwa mume au Mke. Ndîo maana hata sheria Zake NI nyepesi.
Yàani Sheria za Ugoni.

Atleast Sheria za mîungu zîpo wazi Mtu akichukua Mke au Mume WA Mtu adhabu zake zote huwa na Kali, mpaka kuua Kabisa.

Hizô Asasi sijui mashirika ya kiraia huenda hazijui au hazina uzoefu WA kutendawa Makosa ya namna hiyo

Au Tuseme NI kizazi cha Làana, kizazi cha nyoka, kizazi cha Kataa Ndoa.

Wanawake wàpo wangapi mpaka ufuate Mke wa Mtu? Kama siô dharau, kiburi na Uhuni.
Madanguro yapo kibao ya kununua makahaba, Huko telegram wapo Malaya kibao why Utoke na Mke WA Mtu.
Hakika, Sisi Watibeli tunajua n kutambua Haki za waliooa na kuolewa, Haki za Mume na Haki za Mke. Hatutalaumu Mtu yeyote atakayetenda na kulipa kisasi cha aina yoyote Kwa Mtu àmbaye amemuibia Mke au Mume Kwa ku-cheat.

Hatutaki jamii za kionevu, dhulma, jamii ya zinaa.

Wanaume wàpo wangapi mpaka uende Kwa Mume WA Mtu bhana kama siô kiburi na dharau.

Viongozi wôte wakiwemo Marais, Mawaziri, Wakuu WA Vyombo vya Dola, viongozi wa Dini, matajiri najua ninyi mnaelewa nimeandika kitu gàni.
Najua miongoni mwenu Hakuna hata Kiongozi mmoja àmbaye yupo tayari kuona Mkewe au Mumewe akiibiwa na najua wengi wenu maamuzi gàni huwa mnachukua.

Sasa nashauri ziwekwe Sheria za HAKI za Mahusiano ya wanandoa.
Haiwezeniki Mtu akifumaniwa na Mtu Mwingine adhabu yake haieleweki. Huko ni kuhalalisha zinaa Kwa wanandoa na baadhi ya wanandoa kuonewa na kuumizwa
Wekeni Sheria Kali ili Watu wasione sababu ya kulipa Visasi vikali ili kuridhisha Nafsi zào.

MTU kama amechoka Ndoa aombe Talaka ili akafanye Kile anachotaka.

Nawajua mabinti wengi walioharibu Ndoa za Watu na kuacha Wake na Watoto waliokuwa ndoani kuumia na kuharibu future yao.

Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.

Iwekwe Sheria kuwa Kutoka na Mke au Mume WA Mtu NI jinai na adhabu yake íwe Kali angalau jela Miaka 30.
Aliyetoka nje ya Ndoa na hiyo aliyetoka naye wôte wafungwe miaka 30.

Iwekwe Sheria, Ikiwa MTU ataomba talaka bila sababu ya msingi Kwa lengo la Kuoa au kuolewa na Mtu Mwingine ataacha Nusu ya Haki ya vile anavyomiliki (alichochuma)katika Ndoa ya Kwanza.

Itolewe Sheria kuwa, Ndoa ya Wake wengi NI ruhusa lakini lazima iwepo sehemu àmbayo Mke WA Kwanza ataweka saini na kuridhia. Yàani kukubali.

Lakini Sheria za kihuni, kitapeli, zisizoangalia maumivu ya Watu Wengine Kwa sababu labda siô jinsia yako, siô Dini au kabîlà lako, au Kisa hamfanani hiyo ni dhulma.

Ni jukumu la Mume kumshawishi Mkewe kama kûna ulazima WA kuongeza Mke Mwingine. Na Mke anahiyari ya kukubali au kukataa shauri Hilo Ikiwa Hana Imani na Àkili na Upendo WA Mumewe.

Yawepo Makubaliano tangu awali Ikiwa Mwanaume anampango wa Kuoa Wake wengi.

Hata hivyo aina ya Ndoa inayofungwa NI makubaliano tosha mfano Mwanamke yeyote àmbaye Kwa hiyari Yake alikubali kuolewa Kwa Ndoa ya Kimila au kiislam hakutakuwa na ulazima WA kumuuliza kuhusu kuoa Wake wengi kwani tayari Sheria na Kanuni za Mila za kiafrika na Dini ya kiislam zîpo wazi kuhusu suala Hilo.

Kwa Watibeli Mwanaume Hana ruhusa ya kuuliza Wala kuomba Kuoa Mke Mwingine Kwa Mkewe isipokuwa Mkewe ndiye mwenye hiyo HAKI ya kutaka kuongezewa Mke mwenza Ikiwa ataona kûna uhitaji.
Kama ilivyo Kwa Mwanaume WA kitibeli anayohaki ya kumruhusu Mkewe aolewe au Kulala na Mwanaume Mwingine Kutokana na sababu kuu Mbili, Mosi, Ugonjwa, kama Mwanaume ameumwa Kwa kipindi kirefu kinachozidi Miaka 10 anaweza kumruhusu Mkewe aidha aolewe na Mwanaume Mwingine au alale na Mwanaume Mwingine lakini huyo mwanaume hapaswi kuwa mume wa mtu.

Pili, Ugumba, Ikiwa Mwanaume ikabainika kuwa anaugumba úwe wa kuzaliwa au ugonjwa au ajali au Ugumba uliosababishwa na Jambo lolote. Atakuwa na ruhusa Kwa hiyari Yake kumruhusu Mkewe ambaye sio tasa yaani mwenye uwezo wa kuzaa akazae na Mtu Mwingine Ikiwa ameona Mkewe asiondoke Duniani Bila Mtoto Kwa sababu Yake. Au akaolewe na Mwanaume Mwingine.

Kwa Watibeli inaruhusiwa Mwanaume mgumba kuchagua Mwanaume Mwingine wa kumpatia uzao. Lakini hiyo íwe kimaandishi na íwe Kisheria.

Tukio la kugawa uzao litafanyika Mpaka pale Mimba itakapotungwa. Kisha Mwanaume aliyeiweka hiyo Mimba hataruhusiwa tena kuwa na uhûsiano na Mwanamke huyo. Wala kuwasiliana Kwa namna yoyote inayohusu mapenzi au Mtoto atakapozaliwa.

Itakuwa NI jinai Ikiwa Mwanaume aliyetoa uzao kujihusisha tena kimapenzi au kujihusisha na Mtoto.
Itakuwa pia ni jinai Kwa Mke ikiwa atajihusisha na Mwanaume aliyeombwa na Mumewe Kutoa uzao.

Mimi Acha nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa, Kibidula, Mafinga
Dawa ya jeuri, kiburi na dharau ni Ubaya
 
Haki za mahusiano sio kama za timu za mpira, mke wako akiamua kukuacha anakuacha muda wowote na kwa sababu zozote zile atakazojisikia nazo, hapo kesi ni mbili tu ya mali au watoto.

Hatuzungumzii kutaka talaka tunazungumzia Cheating.
Hivi Akili yako inashindwa kusoma Kwa ufahamu?

Mwanamke au Mwanaume anaruhusa ya kumuacha mwenza wake. Siô Kosa.
Lakini cheating ni Kosa.

Ndîo maana nikasema ninyi mnaojifanya Civilized mara nyingi upeo wenu NI mdogo katika masuala ya Haki hususani Haki za Mahusiano ya Watu
 
Hao binadamu unaozungumzia ndîo wale wamefika level ya Ushoga.

Kiumbe yeyote anapigania mambo makuu yafuatayo;
1. Family
Mke, Mume na Watoto. Hii ndîo himaya yake. Kugusa Moja ya mwanafamilia Hapo NI kugusa Maisha ya MTU husika Moja Kwa Moja. Najua ninyi àmbao mmefika level ya juu kama mnavyojiita na kujiona hamlijui hilo.sio ajabu kwèñu ushoga au Mtoto kuwa shoga siô tatizo.

Kwèñye familia Mtu huweza kuua au kufanya chochote Kwa Sababu ya familia
Ila Mashoga na Watu wasiokuwa na familia hawawezi kuelewa hili

2. Ardhi.
Kiumbe chochote kilichopo Duniani kinapiga kufa kupona Kulinda Ardhi au Eneo lake la kuishi.
Mtu yupo tayari kufanya chochote ikiwezekana kuua Kwa sababu ya nchi yake au Taífa lake.
Ndicho unachoona kinatokea Huko Palestina

Lakini Kwa vile upeo wa ninyi mnaojiita Civilized NI mdogo Wakati kimsingi hampo civilized hamuwezi kuelewa mambo haya.

Chukua Ardhi ya Mtu alafu ulete hizô hadithi zenu za kijinga sijui mlifundishwa na Nani uone kitakachotokea.
You are so archaic
 
Mke sio gari..
It’s not healthy to stay with someone who makes you feel insecure because you’re not wanted for yourself. Relationships can’t thrive without trust so instead of trying to salvage what’s left, it’s best to let your unfaithful significant other go. There’s no going back from this. You deserve more and never settle for less.
Asante. Eti mtu anafananisha gari ambalo halina akili wala haliwezi kuondoka sehemu bila kuendeshwa na binadamu na mke au mume. Huu ni uduwanzi.
 
Tofautisha gari na binadamu. Anayeibiwa na mtoto, au mtu kutekwa. Kwanza mke au mume anaibiwa na kufichwa wapi?

Kwa sababu Akili yako inawaza kuficha kitu.
Watu wanaiba mawazo, ubunifu, mitindo, Mbinu n.k. alafu kuna Mtu anauliza vinafichwa Wapi.
 
Wife kakusaliti nn...mbona andiko refu sana lenye hisia kaliiii!!
 
Haki za mahusiano sio kama za timu za mpira, mke wako akiamua kukuacha anakuacha muda wowote na kwa sababu zozote zile atakazojisikia nazo, hapo kesi ni mbili tu ya mali au watoto.
Watu wana kazi kweli. Ukiona hana uaminifu muache
Tafuta maisha mengine. Kama umemfumania fungua kesi ya madai ukamdai mgoni wako.
 
Labda uanzishwe utaratibu wa mwanamke akiolewa apigwe chata kama utambulisho.

Mwanamke hutoka nje ya ndoa kwa utashi wake. Na zipo sababu zinazopelekea yote hayo.

Alicho kiandika mtibeli sio cha kuzingatia maana anahamasisha uvunjifu wa amani.

Tu/Wanaofanya uhalifu WA Kutoka na wake au waume za Watu waô hawaleti huo uvunjifu wa Amani?

Unajua maana ya Amani?
 
Back
Top Bottom