Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Kama kuna jambo ambalo lilikuwa likiniwazisha ni namna ya kumjua Nabii wa uongo na wa kweli.
Nilisikia habari hizi kutoka katika mahubiri kanisani tokea nilipokuwa mdogo.
Kifupi habari hizi ziliniitisha maana sikuwa najua ya kuwajua Manabii.
Nikakua bado nilisikia tu niendelea kusikia habari za kuja Manabii wa uongo.
Mpaka sasa bado nazisikia habari hizi za Manabii wa uongo.
Watu wanasema Manabii wa uongo tu, je hakuna Nabii wa kweli?
Kama yupo ni yupi?
Wamemjuaje huyo Nabii ni wa kweli?
Biblia inasema neno 1Yohana 4:1
Wapenzi msiamini Kila roho, bali zijaribuni hizo roho, bali ziketoka kwa Mungu
Mathayo 7:15
Jihadharini na Manabii wa uongo, watu wanaowajiq wamevaa ngozi ya kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu
Mwl Mwakujonga Rabbon