Kuna Marafiki Sio wa Kwenda Nao Sehemu

Kuna Marafiki Sio wa Kwenda Nao Sehemu

Kwanza anasemaga mi mwanaume hawezi nitongoza nikakataa na anashangaaga kabisa akijua fulani ananitaka na simtaki anasema na wewe unajishaua.

Una rafiki mwenye akili sana. Anajua maana ya jembe alilopewa na jinsi ya kulitumia. Kwa nini afe azikwe jembe lioze bure huku kuna wanaolitamani?
Wape watu wenye njaa zao wakufaidi kabla siku hazijaja utakaposema Laiti ningelijua nikagawa sukari hii kabla haija expire.
Acha ubahili wako unataka kumuambukiza roho mbaya mwenzio.
 
Huwa nina marafiki wengi sana wa kiume ama tuseme najuana na wanaume wengi kama marafiki na huwa siwi na mahusiano nao ya kimapenzi kwa sababu ikitokea nikk na uhusino ni rahisi kuvunja urafiki sasa kuepuka hayo huwa wanakua kwenye friend zone.
Sasa nina marafiki zangu wacheza mpira huwa sometimes nikiwa free naenda uwanjani au kama wako sehemh wananiita naenda kwa kugonga glass siku inapita.
Nina rafiki yangu yani hata nimuonye vipi kwamba hapa behave yani atanizunguka tu atoke na marafiki zangu wa kiume. Kuna siku nilimwambia twende uwanjani rafiki zangu wana mechi akaja tukaenda. Kutoka pale akatongozana na mmoja wapo nikamwambia kabisa kama ni huyo umeamua uwe nae awe huyo sitaki waanze kusema marafiki zake S hawajatulia.
Kwahiyo nikawa najua yule ndo mwanaume wake.
Sasa last Sunday waliniita walipokua na nilikua na huyo rafiki angu akaniambia twende wote sikumkatalia. Kufika na yule bwana ake alikuwepo ila kulikua na mkaka mwingine na gf wake(rafiki yangu) wamekaa nae karibu. Kumbe wakapeana namba. Sasa juzi yule mkaka ananipigia ananiambja alikua na rafiki angu yule ambae tulikua nae na bwana ake kuwa ameshatoka nae. Yani nilijisikia vibaya kuliko maelezo. Rafiki angu kaona kabisa yule kaka yuko na rafiki angu ila bado na yeye akajipeleka akaliwa.

Siku ingine tena niliendaga nae kwa rafiki angu aliniita. Kufika tukakuta yule rafiki angu yuko na wafanyakazi wenzie. Kumbe akachukua na namba za rafiki zake akaanza kuchat nao na akalana nao. Nimemsema mpaka nimechoka mpaka saa nyingine ananuna kwanini sehemu zingine siendi nae namwambia sababu ya tabia yako ila habadiliki.
Kwanza anasemaga mi mwanaume hawezi nitongoza nikakataa na anashangaaga kabisa akijua fulani ananitaka na simtaki anasema na wewe unajishaua.
Serious hii tabia yake inanikera na natamani nimwambie najua kalala na bwana wa rafiki yangu ila naona kama atanuna lakini sasa nawaza story zikienda kwa wale wakaka wacheza mpira si wataniona mimi sio sababu ya rafiki yangu anavyowamix.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani ni lazima uwe na marafiki
 
Mimi ninachokiona hapo wewe Mzigua unakuwa na malengo na hao watu au huyo mtu sema unazile za ngoja nimsome kwanza au ile kitu wazungu wanaita hard to get. Sasa huyo rafiki yako mkifuatana nae yeye hana hizo pale wewe ambapo unapawekea mikakati ya muda mrefu huyo rafiki yako anamaliza kwa mikakati ya hapa kazi tu. Lazima unune na kumtangaza mwenzio kuwa hana tabia mzuri.
 
Uzuri ni kwamba alolala nae nishamwambia huyo ni mwanamke wa fulani na hajatulia kama wewe kwahiyo kazi kwako usije ukasema sikukuambia. Ile sumu sidhani basi tu ana genye za kitunguu swaumu. Nishapanga siendi nae kokote kwa watu ninaojua ataharibu.
kuna siku tunakunywa akaniambia huyu mwanaume wako siku ukiniacha nae mwenyewe hata kumbaka nitambaka utanisamehe rafiki yangu maana najua hivi hivi hawezi kunikubali

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ile ofa inakaribia niliyokuahidi nipe mda kidogo.. Lakini usisahau kuja na huyo rafiki yako maana wewe ndo ulinipiga chini angalau nije nipunguze machungu au unasemajee? Na usipokuja nae hapo kale kaneno kawivu ndo nitakapigilia hapa.

**Mpemba halisi**
 
Dah....ajabu sana....aliwe mwingine...alie mwingine...😎😛
 
Naona ile ofa inakaribia niliyokuahidi nipe mda kidogo.. Lakini usisahau kuja na huyo rafiki yako maana wewe ndo ulinipiga chini angalau nije nipunguze machungu au unasemajee? Na usipokuja nae hapo kale kaneno kawivu ndo nitakapigilia hapa.

**Mpemba halisi**
Nitakua nakuonea wivu wewe au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ninachokiona hapo wewe Mzigua unakuwa na malengo na hao watu au huyo mtu sema unazile za ngoja nimsome kwanza au ile kitu wazungu wanaita hard to get. Sasa huyo rafiki yako mkifuatana nae yeye hana hizo pale wewe ambapo unapawekea mikakati ya muda mrefu huyo rafiki yako anamaliza kwa mikakati ya hapa kazi tu. Lazima unune na kumtangaza mwenzio kuwa hana tabia mzuri.
Niamini mimi nikimtaka mtu sinaga za kujisubirisha sijui nini. Kwanini nijibanie sasa vitu vizuri.. ni tabia yake hiyo na nilishamuelewa ila nilimwambia watu ninaowaheshimu usiharibu tukaonekana wale wale ndo maana hata alivyolala na huyo hakuniambia sababu anajua amevunja ahadi yetu. Yuko na mwanaume katika hao ila huyo ni kama shemeji yake bado akapita nae na hapo ndo sijapenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom