mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
Hichi ndicho nilchokuwa nawaza.sema amejidefenc katka kuelezea aonekane gd gal.wote dzain moja tu.ndege wanaofanana huruka pamoja unaonekana wazi hayo majamaa yanayocheza mpira yamekukula yote kwa wakatitofauti na ambao bado basi wamewahi kuambulia hata denda FULLSTOP
Hahahahahaaa.. sasa mbona unawataka wote NN?Mi namtaka learned sister, D, PW, wale moms-to-be, yule aliyekaa na nephew L akazibwa sura huku cleavage inaonekana, nawataka wale vibonge vibonge, nawataka wale wa vicoba, na wengineo ambao sijawatia [machoni] bado.
Danga jipya liko JF?Si ajabu ni yeye kawamaliza! Au anajisafisha kwa danga jipya
Mchumba unamjua halafu.Mchumba naomba weekend nikutafute, uje na rafiki yako huyo.
Wotee dizain moja una tatizo na hilo?Hichi ndicho nilchokuwa nawaza.sema amejidefenc katka kuelezea aonekane gd gal.wote dzain moja tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wananichosha. Wanaona kuelezea alichofanya rafiki yangu basi mimi najikuta malaika siliwi. Naliwa yes ila siliwi hovyo. Na naweza nikaliwa na mwanaume mpya kila siku nikitaka ila sio wanaojuana.
Kurasini au Governers?Nimehisi kama ni yeye, last time
Labda, kama ni yule siku ile alikataa kunywa.
Yule aliacha baada ya kuona akilewa beki hazikabi. Yani pale angelewa unamshika mkono tu. Alijua tatizo lake akaacha pombe.Governors...
Yule aliacha baada ya kuona akilewa beki hazikabi. Yani pale angelewa unamshika mkono tu. Alijua tatizo lake akaacha pombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa umenikumbusha ya shoga na mganga...Uache shoga huoni hadi nimeambiwa umetoa tunda wakati wewe umenificha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa.. mi zangu mpaka niziweke akilini jamani.Hahahahaaa umenikumbusha ya shoga na mganga...
Nina genye za karibu lakini si kwa kiwango hicho
[emoji252] [emoji479]
Naona unanibatiza bby.Baby marafiki kama hawa hawafai, huku kwetu tunawaita refa. Wanapenda mechi na kila tim. Watch out Sophia wangu nakupenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!brand new kila siku![emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3]jamani yani jf kuna watu wajuaji!Wananichosha. Wanaona kuelezea alichofanya rafiki yangu basi mimi najikuta malaika siliwi. Naliwa yes ila siliwi hovyo. Na naweza nikaliwa na mwanaume mpya kila siku nikitaka ila sio wanaojuana.
Sent using Jamii Forums mobile app