😂😂😂😂 kwa hiyo kuondoa changamoto ya meli nyingi bandarini ni kuomba meli zisije? Kumbe meli zikiwa nyingi ni changamoto hahaha! Waarabu wanapaswa kumtandika viboko Challamila
Hawa wanasiasa wa CCM katika wadhifa wa mkuu wa mkoa wanashangaza sana .