Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Nakumbuka hadi Steve Nyerere aliandaa presss kutetea huu mkataba na mwisho akasema DPW wakija internet itakuwa bure [emoji2]Ana muandaa mwijaku na Kitenge kuja kuwajibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia mambo ni shwariiiiiiiiiiiiiiiiiii bandarini….