Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwa hiyo kuondoa changamoto ya meli nyingi bandarini ni kuomba meli zisije? Kumbe meli zikiwa nyingi ni changamoto hahaha! Waarabu wanapaswa kumtandika viboko Challamila

Hawa wanasiasa wa CCM katika wadhifa wa mkuu wa mkoa wanashangaza sana .
 
Tunachotaka cc watanzania ni ufanisi wa bandari. Hayo mengine hayatuhusu
Nadhani hata TPA yenyewe ipitie transformation.
Watu ndio nguzo kuu ya Bandari zetu.
DP atawatumia zaidi wafanyakazi wananchi LAKINI wenye vigezo vya utendaji uliotukuka,na si muda mrefu watafikia viwango vya DP World.Jambo muhimu Trade union ya wafanyakazi kukaa na menejimenti mpya kuangalia maslahi yao.
 
Kinadharia Iko hivyo Bali kiuhalisia haikk hivyo!!
 
Mbona ni kawaida tu, na hamna mntakachofanya
Waarabu walinunua Ferry kubwa nchini UK na kufukuza wafanyakazi wote 900, serikali ikajifanya kuingilia, ikapelekwa mahakamani na kuangukia pua, na wafanyakazi wote walifukuzwa na kuajiriwa wafilipino

 
Lisemwalo lipo, kama halipo linakuja kwa kasi kutanzua sintofahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…