Kuna mawe makubwa yametegwa barabarani mlima Salanda muda huu

Kuna mawe makubwa yametegwa barabarani mlima Salanda muda huu

Polisi nendeni haraka!

Kuna kila dalili ya watekaji kufanya yao hapo.

Inauma kumkosa Magufuli!
Unaomba msaada halafu unaanza kutaja marehemu, haya kamfufue aje kutoa hayo mawe.

Hata hivyo nae si alijiita jiwe yawezekana amefufuka ungeshuka uyapakie hayo mawe yapeleke chamwino.
 
Mrudisheni sasa, yaani kichwa kimeganda, kila linalotokea Magufuli, kwa I wakati wake hayakufanyika? Nina ndugu yangu alitekwa karibu na Manyoni, mnamsema vibaya Rais, kama hamumtaki, hameni nchi kina Lissu walihama nawe hama, mtuAchie nchi salama
 
Back
Top Bottom