Kuna mbinu za makusudi za kuiua Serengeti ya Tanzania na Masai Mara ya Kenya ili kukuza Dubai Safari Park kwa ajili ya utalii wa wanyama wa porini?

mkuu Dubai watatupiga bao tu sio kwamba yao itakuwa nzuri zaidi bali wapo serious kwenye kazi zao.
Dubai kwa mwaka wanaingiza watalaii karibu ya 25 milion wakati TZ ndio kwanza tuna 1 m.
 

Mwenyezi Mungu tunusuru na haya
 
Ni uhujumu uchumi 100%
 
Hii Mburumundu Chawa gizaa kabisa wao ni kuimba Mapambiooo....
 
Inshu ya Serengeti ni World Heritage Site, Hayo madini sidhani kama yana faida sana kwa sasa kuliko Kulinda iyo Ecosystem ya Serengeti, Hio kitu ni ya kuachana nayo kabisa Kwasababu hata hayo madini hayana interest yoyote na wananchi huu sio wakati wake kabisa
 
My brother, tell that to Madam Samia! Anyway, dont waste your breath, alishasema yeye chura hasikii la mtu.
 
Ipigwe maarufu Mzanzibari kuwa rais wa bara, hawana uchungu na Mali za Tanganyika nguruwe hawa
 
Wadanganyika tumekalia kulalamika na kuomba Mungu!
Tuige Gen Z...
 

Kwa Katiba tuliyo nayo Ni kosa kubwa sana kuwapa nchi Wageni kutoka Vinchi vidogo kama Burundi ,Zanzibar na Oman, lakini pia marafiki zao wa Pwani hawafai kuongoza Tanganyika kwa kutumia hii Katiba ya kimungu.

Mwinyi aligawa Loliondo kwa marafiki zake kwa sababu ya kutothamini vizazi vya Watanganyika . Angalau mwinyi alikua na asili ya Kindengereko.
Sasa Huyu Mwarabu wa Oman hana kabisa hata chembe ya huruma na Watanganyika kwa huyo kamwe msitegemee kuwa atabadilisha msimamo wake juu ya ardhi na rasilimali za hii nchi ambayo kwake ni kama Kongo na Kagame . HUYU MAMA ANAVYOOIONA TANGANYIKA NI SAWA KABISA NA KAGAME ANAVYOIONA KONGO.
Alishajiita chura kiziwi . Kwa hiyo ni kumuomba Mungu tu mwaka huu serikali za mitaa ACT wazalendo na Chadema wachukue vitongoji 85% kwa namna yoyote ili kuiokoa Nchi yetu. Sisi hatuna pa kukimbilia . Wao walikimbia kutoka Oman karne nyingi zilizopita na bado wanapenda nchi yao ya asili kama walivyo waisrael . Sisi ni kwao ni kama wanyama tu wala halipingiki.
Wanatuona nyani!!!

Mgodi wa dhahabu hua unachukua eneo kubwa sana linaloweza kulingana na majimbo hata kumi kule Pemba. Ndani ya mgodi wa dhahabu kunakuwa na uwanja mkubwa wa ndege za mizigo na abiria. Ndani ya mgodi wa dhahabu panakua na huduma zote zinazopatikana mtaani kama hospitali ,hoteli, migahawa , clubs , barabara zenye uwezo wa kupita matruck makubwa sana ya migodini, mifumo ya kupanga dhahabu.
Eneo la mgodi wa dhahabu linajengwa fence yenye ukuta au Wavu unalindwa kwa umeme na Kamera kuzuia wizi wa dhahabu .
Kifupi ni maharamia tu wanaokubaliana na uchimbaji wa madini ndani ya mbuga za wanyama.

Yaani huyu mama kwa hiki kipindi chake cha mpito anachodanganya wetu kuwa ni awamu ya sita anataka kuuza kila kitu bila kuweka mjadala mpana wa kitaifa .

Yaani mijadala inayoendelea ni ya mambo ambayo yana majibu ambayo yalishatokewa na tume za Haki jinai,Warioba, Kisanga,Nyalali na Mwakyembe(Ufisadi). Lakini mjadala wa kina kuhusu rasilimali za Tanganyika hana habari nao.

Tumuombe Mungu atuepushe na huu unyang'anyi unaofanywa na mawakala wa wageni ndani ya ardhi yetu ya Tanganyika kwa ajili tu ya kujenga nchi za kiarabu na ulaya ambao wanatengeneza silaha za maangamizi tu na kueneza ushoga
na ulawiti duniani.

Huyu mama hataki kabisa kuangalia miaka mingi ijayo kuwa sisi waafrika hatutakua na uwezo wa kupata kipato zaidi ya kutumia utalii , madini ,nyama za porini ,kilimo na misitu basi . Teknolojia itatoka soko lote la ajira . Vijana wetu wakati huo hawatakuwa na uwezo wa kufanya chochote zaidi ya kuwa wachuuzi na matour guide. Na ndio maana Wazanzibari akiwemo mama hawataki kamwe kuunganisha Tanganyika na Zanzibar. Wanachotaka ni kuichukua Tanganyika iwe shamba lao tuu. Utalii utabaki wa fukwe za Zanzibar wakati huo Watanganyika maskini hawataruhusiwa kwenda Kuishi Zanzibar kutokana na kutokua na passport .

Tutaona haya mapema na kuikomboa nchi yetu na kesho ya wajukuu zetu.
Wao wana nchi nyingi za kwenda kuishi lakini sisi ya kwetu ni Tanganyika tu.
Palestina na Israel itufundishe sana umuhimu wa kulinda ardhi yetu kabla ya kuwapa wageni kiholela hasa wageni wenye nguvu kubwa.
 
Ipigwe maarufu Mzanzibari kuwa rais wa bara, hawana uchungu na Mali za Tanganyika nguruwe hawa

Tuanze kusema ukweli mapema kabla Tembo hajatafuna majani yenye siafu .
Huyu aliyekuja kuivamia Tanganyika hata kule Zanzibar haruhusiwi kuwa Rais milele.

Sasa sisi Watanganyika kwa nini hatulioni hilo?Zanzibar kamwe hawawezi kutawaliwa na mama tena mwenye asili ya Omani . Kwao ni bora mapinduzi yaendelee.
Yaani hata kwao Omani hawezi kuruhusiwa kuwa Rais .Halafu sisi Wadanganyika tunamshangilia eti mitano tena . Ndio maana anatudharau na kutuita chawa wake na mahulkutabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Heshma aliyoipata ya kuwa Makamu wa Raisi na Rais wa mpito inatosha . Astaafu kwa heshma na kutuachia nchi yetu sio kung'ang'ania nchi kama vile kuna namna ya mapinduzi aliyafanya kijanja kijanja.

Huyu wa mpito akifanikiwa kuendelea itakua ni mbinu inayoweza kutuletea madhara huko mbeleni ya viongozi waovu kujipenyeza au kupenyeza watu wao kisha kuuana kwa hujuma na kushika kiti na kung'ang'ania miaka 10.
Vinginevyo CCM ijiandae tu kuiachia nchi Chadema na ACT. Hakuna namna ya kuvishinda hivyo vyama kwenye hizi chaguzi zijazo. Kura za Chawa hazitatosha kuwashinda Mahulkutabu😂😂😂😂😂
 
Una hakika kwamba itapatikana pesa nyingi? Kalaghabaho
 
Ipigwe maarufu Mzanzibari kuwa rais wa bara, hawana uchungu na Mali za Tanganyika nguruwe hawa
Nadhani hili linkuja katika kampeni za 2025. Mtu wa Zanzibar akiwa raisi wa Tanzania nchi inapitia katika misukosuko na migongano mingi sana. Na mara nyingi inaua nguvu ya muungano kuliko kuikuza. Labda ni asili ya wanadamu kupendelea kwao - tunajua Magufuli alipendelea Chato na kanda ya ziwa katika miradi na uteuzi, basi huenda Samia hawezi kujizuia kupendelea Zanzibar! Ndio maana watu wanasema, kuwe na serikali tatu, au ka kuwa Zanzibar wana serikali na raisi wao, Raisi wa Tanzania ni lazima atoke bara, kwa sababu kimsingi raisi wa Tanzania ni raisi wa bara!
 
Kutawaliwa na Rais kutoka nchi jirani ni mapinduzi na uvamizi.

Zanzibar! Ndio maana watu wanasema, kuwe na serikali tatu, au ka kuwa Zanzibar wana serikali na raisi wao, Raisi wa Tanzania ni lazima atoke bara, kwa sababu kimsingi raisi wa Tanzania ni raisi wa bara!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…