Kuna mchoro Singida Black Stars tunauchora...

Kuna mchoro Singida Black Stars tunauchora...

Nani kasema hawakustahili?Ihefu lini alifungwa goli 5 kabla hawayanunuliwa na mdhamini?
Simba na,Yanga huwa zinafungana hata goli zaidi ya 5 sio issue.Issue ni mdhamini kutembelea kambi na Ihefu kufungwa 5 inatia shaka.
Ihefu kwanzia ianzishwe mpaka sasa ina miaka mingapi na Simba mara ya mwisho kufungwa goli tano na Yanga ni mwaka gani?

Kama Simba imeweza kufungwa goli tano, je Ihefu inakipi cha tofauti na Simba ili Yanga ikainunue mechi? Unataka kusema Ihefu ni wazuri zaidi ya Simba na Belouizdad, n.k?
 
Masanza wewe ni kiongozi hupaswi kujibu kama unavyojibu .Tumia busara kwani simba kufungwa tano na yanga nikitu cha ajabu. Inamaana simba hajawahi kumfunga yanga goli tano .

Au kipindi hicho bado ulikuwa mashenzini.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Masanza wewe ni kiongozi hupaswi kujibu kama unavyojibu .Tumia busara kwani simba kufungwa tano na yanga nikitu cha ajabu. Inamaana simba hajawahi kumfunga yanga goli tano .

Au kipindi hicho bado ulikuwa mashenzini.

Kwahiyo nikubali timu ninayoisemea kuitwa Tawi ili nionekane nna busara? Ukija kistaarabu tutajibiana kistaarabu ila ukileta kejeli tutaenda sawa tu. Mimi sio mgeni!
 
Masanza wewe ni kiongozi hupaswi kujibu kama unavyojibu .Tumia busara kwani simba kufungwa tano na yanga nikitu cha ajabu. Inamaana simba hajawahi kumfunga yanga goli tano .

Au kipindi hicho bado ulikuwa mashenzini.
Sio alikuwa bado yupo mashenzini.Ukiwa na kibiongo hata ukikificha kitadhihiri tu.Huyu mjinga anafikiri kukanusha ukweli utabadilika kuwa uongo.
Kuwa msemaji anaona ujiko.
 
Sio alikuwa bado yupo mashenzini.Ukiwa na kibiongo hata ukikificha kitadhihiri tu.Huyu mjinga anafikiri kukanusha ukweli utabadilika kuwa uongo.
Kuwa msemaji anaona ujiko.

Kipindi hiki ni kama mmechanganyikiwa mna hasira na kila kitu 😅😅😅
 
Sio alikuwa bado yupo mashenzini.Ukiwa na kibiongo hata ukikificha kitadhihiri tu.Huyu mjinga anafikiri kukanusha ukweli utabadilika kuwa uongo.
Kuwa msemaji anaona ujiko.
Anajificha kwenye shamba la karanga
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ukweli ni kwamba hilo ni tawi tunajua hauwezi kukubali kwasababu unatetea kitumbua kisiingie mchanga
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ukweli ni kwamba hilo ni tawi tunajua hauwezi kukubali kwasababu unatetea kitumbua kisiingie mchanga

Kama tunajadiliana kwa mtindo huo basi Simba Ina sifa nyingi ya kuwa Tawi la Yanga kuliko timu yoyote Tanzania kwa sababu:

1. Simba imeanzishwa kutokea ubavuni mwa Yanga

2. Simba imefungwa mara nyingi zaidi wakati wote

3. Simba imefungwa magoli mengi zaidi wakati wote

4. Simba imefungwa nje ndani mara nyingi zaidi wakati wote

5. Simba imewahi kusitiriwa na Yanga isishuke daraja

Singida mnatusingiziaga tu kuficha ukweli!
 
Kama tunajadiliana kwa mtindo huo basi Simba Ina sifa nyingi ya kuwa Tawi la Yanga kuliko timu yoyote Tanzania kwa sababu:

1. Simba imeanzishwa kutokea ubavuni mwa Yanga

2. Simba imefungwa mara nyingi zaidi wakati wote

3. Simba imefungwa magoli mengi zaidi wakati wote

4. Simba imefungwa nje ndani mara nyingi zaidi wakati wote

5. Simba imewahi kusitiriwa na Yanga isishuke daraja

Singida mnatusingiziaga tu kuficha ukweli!
Luka nayo haya makolo yamepagawa saivi, kila kitu wanalaumu hawa jamaa
 
Mbumbumbu mna sonona.
Kipindi mnampiga Coast Union goals 7 mbona hatukusema ni tawi.
Kama Singida ni tawi nyie mbona mlishindwa kumfunga mkitoa droo Kwa Mbinde.
Mbona hatusemi Azam aliyewapa wachezaji wa team ya kwanza na amekuwa akiwaachia ushindi wa mezani tu.
Juzi mmejipigia 3
 
Mlipe madeni sasa mfunguliwe kusajili wachezaji
 
Tabota united
Mashujaa FC
Singida Fountain Gate
Kwa usajili waliofanya msimu iliopita na mbwembwe za usajiri WALISTAHILI KUCHUKUA KOMBE.

Nachomaanisha ulichoandika "Kanisa ni lilelile kabadilika padree tu""

#YNWA
Nyie kwa nini hamtaki kuajiri makocha wazawa? Sasa kanini mmemtoa mecky
 
Back
Top Bottom