Ihefu kwanzia ianzishwe mpaka sasa ina miaka mingapi na Simba mara ya mwisho kufungwa goli tano na Yanga ni mwaka gani?Nani kasema hawakustahili?Ihefu lini alifungwa goli 5 kabla hawayanunuliwa na mdhamini?
Simba na,Yanga huwa zinafungana hata goli zaidi ya 5 sio issue.Issue ni mdhamini kutembelea kambi na Ihefu kufungwa 5 inatia shaka.
Kwanza ulivyo mjinga mimi wala sio mshabiki wa hiyo timu unayoidhania.Mimi ni mpenda mpira.
Masanza wewe ni kiongozi hupaswi kujibu kama unavyojibu .Tumia busara kwani simba kufungwa tano na yanga nikitu cha ajabu. Inamaana simba hajawahi kumfunga yanga goli tano .
Au kipindi hicho bado ulikuwa mashenzini.
Sawa kiongoziKwahiyo nikubali timu ninayoisemea kuitwa Tawi ili nionekane nna busara? Ukija kistaarabu tutajibiana kistaarabu ila ukileta kejeli tutaenda sawa tu. Mimi sio mgeni!
Sio alikuwa bado yupo mashenzini.Ukiwa na kibiongo hata ukikificha kitadhihiri tu.Huyu mjinga anafikiri kukanusha ukweli utabadilika kuwa uongo.Masanza wewe ni kiongozi hupaswi kujibu kama unavyojibu .Tumia busara kwani simba kufungwa tano na yanga nikitu cha ajabu. Inamaana simba hajawahi kumfunga yanga goli tano .
Au kipindi hicho bado ulikuwa mashenzini.
Sio alikuwa bado yupo mashenzini.Ukiwa na kibiongo hata ukikificha kitadhihiri tu.Huyu mjinga anafikiri kukanusha ukweli utabadilika kuwa uongo.
Kuwa msemaji anaona ujiko.
Anajificha kwenye shamba la karangaSio alikuwa bado yupo mashenzini.Ukiwa na kibiongo hata ukikificha kitadhihiri tu.Huyu mjinga anafikiri kukanusha ukweli utabadilika kuwa uongo.
Kuwa msemaji anaona ujiko.
Ukweli ni kwamba hilo ni tawi tunajua hauwezi kukubali kwasababu unatetea kitumbua kisiingie mchanga
Kila mtu alishinda kwao. Angalau sisi tulipata matokeo mbona kuna timu imefungwa home 5 na away 2 husemi? Au na wao mdhamini wao ni mmoja?
Luka nayo haya makolo yamepagawa saivi, kila kitu wanalaumu hawa jamaaKama tunajadiliana kwa mtindo huo basi Simba Ina sifa nyingi ya kuwa Tawi la Yanga kuliko timu yoyote Tanzania kwa sababu:
1. Simba imeanzishwa kutokea ubavuni mwa Yanga
2. Simba imefungwa mara nyingi zaidi wakati wote
3. Simba imefungwa magoli mengi zaidi wakati wote
4. Simba imefungwa nje ndani mara nyingi zaidi wakati wote
5. Simba imewahi kusitiriwa na Yanga isishuke daraja
Singida mnatusingiziaga tu kuficha ukweli!
Mlipe madeni sasa mfunguliwe kusajili wachezaji
Mlipe madeni sasa mfunguliwe kusajili wachezaji
Mlipe madeni sasa mfunguliwe kusajili wachezaji
Nyie kwa nini hamtaki kuajiri makocha wazawa? Sasa kanini mmemtoa meckyTabota united
Mashujaa FC
Singida Fountain Gate
Kwa usajili waliofanya msimu iliopita na mbwembwe za usajiri WALISTAHILI KUCHUKUA KOMBE.
Nachomaanisha ulichoandika "Kanisa ni lilelile kabadilika padree tu""
#YNWA
Hapo sawa mkuu nilichanganya mafaili samahaniSisi hatuna Deni Mkuu wanaodaiwa ni Fountain Gate nami sipo nao tena