Kuna mdada kakosea kutuma hela nifanyaje?

Kuna mdada kakosea kutuma hela nifanyaje?

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
NIkiwa zangu ghetto nimetulia baada ya kazi nzito ya presentation ya individual assignment hapo majira ya saa 2 asubuhi katika harakati za kutafuta maksi 10 za course work katka module ya remote sensing kuisha.

Nikarud zang geto kunywa chai na mama umut(wife anakiband), sasa nikiwa namalizia kpande cha boga cha mwsho mara kiswaswadu changu kikaingia meseji lakin nikiwa sjaitilia sana maanani hiyo meseji lakni kutokana na wivu wa mama umut akaniambia utaki kusoma meseji kwasababu wanawake zako wa chuo wanakutafuta, nikaona isiwe tabu nikachukua simu nisome meseji ndo nakutana na meseji ya m pesa kwamba nmepokea 76500 kutoka kwa mtu X nikajiuliza mwenyw hii laini nmesajil juzi na hata vocha sjaweka na hakuna hata mtu mmoja anaeijua hii namba nikajisomea kmoyomoyo hili zali la mtende.

JE, MNANISHAURI VIPI LIWE ZALI LA MTENDE AU UTU NIWEKE MBELE
 
Usifurahie pesa iliyotumwa kwako kimakosa, huwezi kujua ilikuwa na umuhimu gani kwa mhusika.

Mimi kuna mtu alikosea jana alituma kwenye lipa namba 166,000 kucheki namba haipo kwenye mzunguko wa kazi. Nikajua kabisa huyu kachochora ila ndio hivyo namba yangu hawezi kuwa nayo, nikawa nasubiri yeye ndio aripoti M-PESA nisijitie kiherehere kumpigia.
Nimesubiria simu toka jana patupu.

Leo mchana huu ndio voda wamenipigia kwamba kuna mtu ameripoti alituma pesa kimakosa, wanaomba ushirikiano kama ni kweli alikosea.

Nikatoa go ahead pesa irudi kwa sababu mtumaji nimeichunguza namba simjui, na hata hivyo watu wangu wana namba zangu zote na sijaongea na mtu biashara ya kiasi hicho. Toka jana wangeshanambia.
 
Usifurahie pesa iliyotumwa kwako kimakosa, huwezi kujua ilikuwa na umuhimu gani kwa mhusika.

Mimi kuna mtu alikosea jana alituma kwenye lipa namba 166,000 kucheki namba haipo kwenye mzunguko wa kazi. Nikajua kabisa huyu kachochora...
Sema kwa wakala iyo 166k ungeichukua ni hasara kwasabau ungefungiwa laini ingekugharimu zaid ya laki 2 kupata nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndio ushauri wacha mhusika atoe taarifa yeye.Kindly usirudishe hela.Ukianza msako hapo lazima ukalishwe.
Usifurahie pesa iliyotumwa kwako kimakosa, huwezi kujua ilikuwa na umuhimu gani kwa mhusika...
 
"NIkiwa zangu ghetto nimetulia baada ya kazi nzito ya presentation ya individual assignment hapo majira ya saa 2 asubuhi katika harakati za kutafuta maksi 10 za course work katka module ya remote sensing kuisha"


Sasa hicho kitu hapo juu kinahusianaje na content ya mada? Si ungeanzisha tu uzi mwingine kujisifia ulivyopata hizo maksi 10
 
Back
Top Bottom