Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.
Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa
Kuna mtu asha experience jambo hili?
Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa
Kuna mtu asha experience jambo hili?