Kuna mdada ni mzuri sana, ila najishangaa sana kwanini sivutiwi nae kimapenzi

Kuna mdada ni mzuri sana, ila najishangaa sana kwanini sivutiwi nae kimapenzi

Hujanielewa, Sina haja ya kudanganya, au labda hii hali haijawahi kukutokea, unamuona mkaka mzuri ila hakushtui, ila akija Kaka mwingine Ana muonekano wa kawaida ila ukimuona roho inafanya paah, Kiukweli Sijavutiwa nae, nimeandika uzi kwasababu hio hali inanishangaza Yna2
Haha..sawa.. naendelea kusoma comments
 
Tatizo unamhofia sio level zako ndio maana genye huna

Tafuta pesa utamtaka tu.
 
Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.

Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa

Kuna mtu asha experience jambo hili?
mtokee hivyohivyo tayari umeshavutiwa nae wewe tu hujui
 
Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.

Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa

Kuna mtu asha experience jambo hili?
Bro trust your instinct; it knows more than what you see. Usijiforce ukajiingiza kwenye matatizo bure..
 
Unampenda ila haumuwezi,sio level zako huyo binti..ila umekuja hapa kujiaminisha kuwa hakushtui..umechanganyikiwa ndugu!
 
Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.

Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa

Kuna mtu asha experience jambo hili?
Naomba namba yake inbox mkuu
 
Hatuvutiwi na wanawake sababu ya mionekano yao bali tabia ndio mvuto wenyewe ulipo.
 
Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.

Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa

Kuna mtu asha experience jambo hili?
ye mwenyewe anashangaa anakuona boya fulani bora upite kuleeeeee......!!!
 
Umetoswa maliza kunywa chai uondoke hapo mgahawani asije kukujazia watu
 
Huvutiwi nae ila unaniwazia masa yote.....yajayo yanafurahisha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shos mic u sana, kule selfika nimezuiwa jaman, naona unavini mic nashindwa kujibu. Mic u mnooo [emoji7][emoji7][emoji7]
 
1.Huenda unamchukulia kama dada yako au ndug yako ndio maana huwezi kumtamani

2. Huenda wewe unaepushwa na kitu ndio maana kila ukiwaza unajikuta huvutiwi nae

3.Huenda huyo dada anasali au mwema sana kwaio anaepushwa na watu ambao wanania ya kumchezea.

4.Huenda unakua stimulated kwa akili ya mtu sio maumbile

Mfanye tu awe rafiki yako kwanza kabla ya kutaka kumtongoza, sio kila binti mzuri lazima upite nae
 
Unamtaka sana mfuko wako tu hauna ushirikiano.

Yaani bila kumumunya maneno, sio saizi yako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shos mic u sana, kule selfika nimezuiwa jaman, naona unavini mic nashindwa kujibu. Mic u mnooo [emoji7][emoji7][emoji7]
Jamanii kwanini shos!! Mis you sana jamani mods watupe wabad Sana shos!! Pole dia
 
Hiyo hali nishawahi kukutana nayo, kuna mdada wakati nasoma Secondary alikuwa ni mzuri mfano hakuna. Watu walimshobokea sana ila mie sikuwa sikuwa na mzuka nae hata kidogo.
 
Back
Top Bottom