Haha..sawa.. naendelea kusoma commentsHujanielewa, Sina haja ya kudanganya, au labda hii hali haijawahi kukutokea, unamuona mkaka mzuri ila hakushtui, ila akija Kaka mwingine Ana muonekano wa kawaida ila ukimuona roho inafanya paah, Kiukweli Sijavutiwa nae, nimeandika uzi kwasababu hio hali inanishangaza Yna2
mtokee hivyohivyo tayari umeshavutiwa nae wewe tu hujuiKuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.
Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa
Kuna mtu asha experience jambo hili?
Bro trust your instinct; it knows more than what you see. Usijiforce ukajiingiza kwenye matatizo bure..Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.
Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa
Kuna mtu asha experience jambo hili?
Naomba namba yake inbox mkuuKuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.
Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa
Kuna mtu asha experience jambo hili?
Kitendo Cha kumleta Hadi huku tayari unamuwaza na unamtaman huyo binti
Kama humuwaz usingeleta uzi wake hapa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
ye mwenyewe anashangaa anakuona boya fulani bora upite kuleeeeee......!!!Kuna mdada hapa mtaani kwetu, mimi namuona ana sura nzuri, Ana ngozi nzuri, mweupe, ana chura, halafu umri wake mdogo, tena hajaolewa, mpole, hana nyodo wala maringo, alikuwa anauza mgahawa wa mama yake, nilikuwa nikienda pale mara nyingi tu kunywa chai, namwona binti ni mzuri lakini hata sishtuki, wala hata nikilala usiku simwazagi, wala mara nyingi hayuko kwenye mawazo yangu, hata sipatagi hamu ya kumtongoza Au kumshobokea. Wakati vigezo vyote vya kimwili navyotaka toka kwa mwanamke huyo mdada anavyo, ni ajabu sana.
Cha kushangaza kuna baadhi wadada hapa mtaani wananivutia sana, Nawashobokea mno, nikiwaona roho yangu inafanya paah, ila kiuhalisia hawamfikii huyu binti mweupe kwa uzuri wa mwili hata nusu, sasa najishangaa ni uchawi au, it doesn't make sense kabisa
Kuna mtu asha experience jambo hili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shos mic u sana, kule selfika nimezuiwa jaman, naona unavini mic nashindwa kujibu. Mic u mnooo [emoji7][emoji7][emoji7]Huvutiwi nae ila unaniwazia masa yote.....yajayo yanafurahisha!
Jamanii kwanini shos!! Mis you sana jamani mods watupe wabad Sana shos!! Pole dia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shos mic u sana, kule selfika nimezuiwa jaman, naona unavini mic nashindwa kujibu. Mic u mnooo [emoji7][emoji7][emoji7]