Kuna mechi yoyote Simba walidhulumiwa msimu huu?

Na ndiyo maana mlishangilia kama Mbeya City baada ya michezo yote miwili kumalizika.
Simba msimu huu haikuwa imara,ila Yanga na ubora wake imeshindwa kuchukua point 3 kwenye michezo miwili!Ni hayo tu!
 
Tate
 
Simba msimu huu haikuwa imara,ila Yanga na ubora wake imeshindwa kuchukua point 3 kwenye michezo miwili!Ni hayo tu!
Ila Simba kabondwa kwenye mechi mbili muhimu za Ngao ya jamii na FA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…