Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Nilimpenda ila sikuwa na mpango wa kumla.Siku hizi haumpendi? Halafu ndugu yangu wewe ulimi tofali aseeh ukipenda sema usikute alikuwa amasubiri utamke tu.
Mwandiko wako ni kama stunter na hr 666Mimi siamini kama kuna mtu kafanana na mimi kuanzia lifestyle hadi mawazo
mimi naamini nipo kwenye top 5 ya best Ideot ever wa jf.
Hapo kwa Karucee mmha hapana aiseekufananisha sio tu sura bhna. Kuna ule msemo Ukiona njugu unadhani ni njege na ukiona njege unadhani ni njugu, humu ndani kwa baadhi ya member unajidhihirisha.
Humu kuna members huwa wanafanana saana unakuta mwandiko unaendana, avatar, mawazo kwenye michango n.k.
sina maana ya Mult-Ids hapana.
nitaanza na hawa nawafananisha saana na huwa naona wanaendana hadi najiuliza si mtu mmoja??
- Karucee na afrodenzi
- Mwanyasi na Tobaa
- Nyani Ngabu na @dnjabu da dude
- KakaJambazi na Pdidy
- GOOGLE na Iceman 3D
-Yegomasika na @yakagamshi
Wewe na beef lasagana mmefanana sanaMim je?
I wish nijue kwanini ametufananisha.Hapo kwa Karucee mmha hapana aisee
Alikua anapenda kutoa ushauri ulionyooka kama wewe,I wish nijue kwanini ametufananisha.
Mimi siamini kama kuna mtu kafanana na mimi kuanzia lifestyle hadi mawazo
mimi naamini nipo kwenye top 5 ya best Ideot ever wa jf.
Na mengineyo ambayo hayasemeki hapa
Akchware nampenda sana mzaa chema, ndiyo nimeweka kila kitu kwa usahihi.Kuna namna hapo...
Bezikalee huwa sikuamini amini