Kuna member JF wanafafanana humu

Kuna member JF wanafafanana humu

Siku hizi haumpendi? Halafu ndugu yangu wewe ulimi tofali aseeh ukipenda sema usikute alikuwa amasubiri utamke tu.
Nilimpenda ila sikuwa na mpango wa kumla.
Ndio maana nikapiga kimya tu.
Siku hizi kapotea sana jukwaani nadhani majukumu na umri
 
kufananisha sio tu sura bhna. Kuna ule msemo Ukiona njugu unadhani ni njege na ukiona njege unadhani ni njugu, humu ndani kwa baadhi ya member unajidhihirisha.

Humu kuna members huwa wanafanana saana unakuta mwandiko unaendana, avatar, mawazo kwenye michango n.k.

sina maana ya Mult-Ids hapana.
nitaanza na hawa nawafananisha saana na huwa naona wanaendana hadi najiuliza si mtu mmoja??

- Karucee na afrodenzi

- Mwanyasi na Tobaa

- Nyani Ngabu na @dnjabu da dude

- KakaJambazi na Pdidy

- GOOGLE na Iceman 3D

-Yegomasika na @yakagamshi
Hapo kwa Karucee mmha hapana aisee
 
Hmmm. Interesting.

Bahati mbaya sikubahatika kumfahamu huyo bi dada so I don't know for sure if there are similarities in how we write.
 
Hata Mimi najiona nimefanana na Ontario wa forex kwa kila kitu ila kwa upande wenu sijui mnasemaje
 
Back
Top Bottom