Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
uzi[emoji116]
kufananisha sio tu sura bhna. Kuna ule msemo Ukiona njugu unadhani ni njege na ukiona njege unadhani ni njugu, humu ndani kwa baadhi ya member unajidhihirisha.
Humu kuna members huwa wanafanana saana unakuta mwandiko unaendana, avatar, mawazo kwenye michango n.k.
sina maana ya Mult-Ids hapana.
nitaanza na hawa nawafananisha saana na huwa naona wanaendana hadi najiuliza si mtu mmoja??
......
Hujajibu swali langu moja.
Mimi na huyo fala tunafanana nini?