ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Je kuna watu kabisa katika maisha yao hawajawahi kupanda boda ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ilikua mara ya kwamza kupanda bodaboda mjini, na ndio siku hiyo hiyo nikanusurika ajali mbaya sana,Je kuna watu kabisa katika maisha yao hawajawahi kupanda boda ?
Dah kwa kweli tunamshukuru sana mama samiandio ilikua mara ya kwamza kupanda bodaboda mjini, na ndio siku hiyo hiyo nikanusurika ajali mbaya sana,
huu ni mwaka wa4 sijpandi bodaboda mjini wala kuiendesha mjini, ispokua kijijini 🐒
Mi sijawahi kabisa.... kwanza unapandaje?Je kuna watu kabisa katika maisha yao hawajawahi kupanda boda ?
Mimi sijawahi kupanda bodaboda. Sijui iweje? Labda niwe porini atokee simba ndio nitachagua bodaboda nisiuawe na simba.Je kuna watu kabisa katika maisha yao hawajawahi kupanda boda ?
Usafiri sio issue. Mazoea tu. Najua watu wengi wana magari zaidi ya moja ila wanapanda sana bodaboda. Akiacha gari car wash au service anarukia bodaboda. Akiitwa sehemu haraka anarukia boda. Na zishawaapa Majanga ila hawakomi.Kama una usafiri, bodaboda ya nini? Siwezi kukwepa bodaboda kwa kuwa mimi ni kapuku.
Kama hakuna ulazima achana na bodaboda. Huo ni usafiri hatarishi.Kuna mjeda mmoja nilikuwa napiga naye story anasema anamuomba Mungu amuepushe na huo usafiri yaani hawezi kuendesha wala hawezi kubebwa.
Ana life flani tamuu hapa mjini
Mimi binafsi natembea Kwa miguu hata kilomita 30 na zaidi siku nikiamua
Naendesha baiskeli umbali mrefu tu,
Naendesha pikipiki kama kawa,
Natumia usafiri wa boda,bajaj inapobidi.
Naendesha Gari zangu.
Naendesha Gari ya ofisini
Naendeshwa pia inapolazimika
Maisha hayataki userious sana