Kuna members kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa

Kuna members kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.

Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.

Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.

Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.

African minds, hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu. Mna afya ya akili baadhi yenu.

Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.

Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
 
Acha kulalamika kijana.

 Unapokuwa mgeni sehemu hutakiwi kuwa na papara, hata hapa Jf ukiwa mgeni unatakiwa uwe unachangia kwa stara sio kila mada unapaparukia tu.

Ndio maana unawaona watu wanakukosoa kila mahala, humu kila jukwaa lina sifa zake mfn;jukwaa la siasa watu wote wanajiona think tank vivyohivyo ukija MMU kila mtu anajiona celeb.

Acha kulalamika inatakiwa uishi kutokana na nature ya sehemu husika.

Nature ya JF kuchorana sana inabidi uzoee.
 
acha kulalamika kijana,

 unapokuwa mgeni sehemu hutakiwi kuwa na papara, hata hapa Jf ukiwa mgeni unatakiwa uwe unachangia kwa stara sio kila mada unapaparukia tu

Ndio maana unawaona watu wanakukosoa kila mahala, humu kila jukwaa lina sifa zake mfn;jukwaa la siasa watu wote wanajiona think tank vivyohivyo ukija MMU kila mtu anajiona celeb

Acha kulalamika inatakiwa uishi kutokana na nature ya sehemu husika,

Natute ya Jf kuchorana sana inabidi uzoee
Asante Kwa elimu hii uliyompa
 
Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.

Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.
Tuone mada ya kipumbav halaf tu ignore ili upumbav uendelee kwann msi ignore ushoga kama kwel kila kitu cha ku ignore , unaporekebishwa fanya marekebisho sio kung'ang'ania kasoro zako

ova
 
Mkuu wewe ndio umejaa makasiriko,tukusapoti kwenye kila uzi wewe nani?
Unagawa debe la unga?

Hao wanaokusapoti kila post ndio wanafiki na wanakuchora tu..
hahahaaaaaa
 
Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.

Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.

Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.

Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.

African minds..... hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu.. Mna afya ya akili baadhi yenu.

Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.

Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Kupenda kusifiwa sifiwa ni ujinga, mweshimu sana mtu anayekupinga huyo ndo anakupa motisha , unajikuta unaongeza juhudi bila kujijua , mwisho wa sku unakuja kufanya kitu kikubwa kundi kubwa la watu wanashangaa , hakuna mtu aliyefanya mambo makubwa na aliyefika juu kwa kusifiwa sifiwa , wafatilie akina Jack Ma, Ben carson , n.k wote walikuwa under high critics katika njia zao, shujaa huonekana kwa kuvuka vikwazo ... Acha kabisa hyo tabia
 
Binafsi mtu akinipinga kwa hoja nafurahi, napenda kujitathimini wapi nimekosea au kipi nisichokijua, nikiona hoja yangu ni ya msingi basi na mimi namkosoa kwa hoja anayenipinga.

Kama hoja au mawazo yangu ni mafupi najirekebisha. Hao wapinzani na wakosoaji ndio wazuri, waongezeke kwa wingi JF
 
Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba @Mshana Jr @Antonnia @Darlin @UMUGHAKA @GENTAMYCINE @Numbisa @Elli @Mohamed Said @Unique Flower @Half american na wengine kibao
Shukrani saana sana! Blessed
 
Back
Top Bottom