Kuna members kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa

Kuna members kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa

Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.

Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.

Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.

Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.

African minds..... hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu.. Mna afya ya akili baadhi yenu.

Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.

Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Wataje yaishe..!! Vinginevyo ni unafiki kama unafiki mwingine
 
Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.

Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.

Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.

Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.

African minds, hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu. Mna afya ya akili baadhi yenu.

Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.

Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Thread ya kijinga kabisa
 
Acha kulalamika kijana.

 Unapokuwa mgeni sehemu hutakiwi kuwa na papara, hata hapa Jf ukiwa mgeni unatakiwa uwe unachangia kwa stara sio kila mada unapaparukia tu.

Ndio maana unawaona watu wanakukosoa kila mahala, humu kila jukwaa lina sifa zake mfn;jukwaa la siasa watu wote wanajiona think tank vivyohivyo ukija MMU kila mtu anajiona celeb.

Acha kulalamika inatakiwa uishi kutokana na nature ya sehemu husika.

Nature ya JF kuchorana sana inabidi uzoee.
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.

Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.

Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.

Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.

African minds, hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu. Mna afya ya akili baadhi yenu.

Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.

Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Ahsante sana mkuu Mo mp5 kwa kunitag,mini ni mtu poa sana,makini na mwenye nidhamu ya hali ya juu kwasababu Tarime hatufundishwi matusi bali unyenyekevu na ukakamavu!.


Wanaotukana wapo wengi sana na ndiyo maana nikaandika Uzi kuwashauri Viongozi wa JF waiokoe JF Thread 'Moderators tafadhali iokoeni JF imevamiwa na kundi la wajinga' https://www.jamiiforums.com/threads...eni-jf-imevamiwa-na-kundi-la-wajinga.2064129/
 
Ahsante sana mkuu Mo mp5 kwa kunitag,mini ni mtu poa sana,makini na mwenye nidhamu ya hali ya juu kwasababu Tarime hatufundishwi matusi bali unyenyekevu na ukakamavu!.


Wanaotukana wapo wengi sana na ndiyo maana nikaandika Uzi kuwashauri Viongozi wa JF waiokoe JF Thread 'Moderators tafadhali iokoeni JF imevamiwa na kundi la wajinga' https://www.jamiiforums.com/threads...eni-jf-imevamiwa-na-kundi-la-wajinga.2064129/
Be blessed mkuu
Me ni shabiki yako mkubwa hapa jf
 
Ndio matatizo ya magonjwa yasiyoambukiza yanaongezeka sana nyakati hizi Kwa kuwa watu wanakwazika kwa mambo madogo sana yanayowanyima furaha maishani mwao........

Mtu unakosaje Raha na furaha kwa mambo yakufikirika ya huku mitandaoni......unayawekaje moyoni mambo ya watu ambao hamjuani pengine hamtakaa mjuane.........

Sikuwahi kufikiria kuwa kuna watu wanaichukulia jf seriously kiasi hiki hata kukosa amani maishani mwao.......

JF ni kijiwe kama vijiwe vingine na penye wengi pana mengi....kila mtu ana hulka na tabia zake.........

Kukwazika kwazika kwa mambo madogo ni hatari afya yako na ustawi wa maisha yako...alafu ni dalili ya kuwa mtu hajakomaa kiakili......
 
Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.

Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.

Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.

Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.

African minds, hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu. Mna afya ya akili baadhi yenu.

Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.

Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
IMG-20230404-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom