Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #21
🙌🙏Shukrani sana mkuu barikiwa sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙌🙏Shukrani sana mkuu barikiwa sana!!
Naunga mkono hoja AntonniaAlijisemea Bantu Lady kuna wale much know humu wanakera kinoma wewe fanya kuishi humu kwa kuwaona kama wamekufa vile!
Hebu muondowe hapo Mzee wetu Mohamed Said kwenye huu ushubwada wako.Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.
Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.
Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.
Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.
African minds..... hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu.. Mna afya ya akili baadhi yenu.
Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.
Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Akiwa kwenye jukwaa la historia namuelewa Sana na amefanya nijue mengi kuhusu historia mbalimbali so relax mind u own business ma niggaHebu muondowe hapo Mzee wetu Mohamed Said kwenye huu ushubwada wako.
KAMA CHADEMA JINSI AMBAYO HUWA HAWAONI JEMA HATA MOJA LINALOFANYWA NA CCM. (MAPINGA MAPINGA HUWA YAPO) LEFTIST VIEWERSLabda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.
Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.
Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.
Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.
African minds..... hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu.. Mna afya ya akili baadhi yenu.
Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.
Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
🙌🙏 Be blessedMalalamiko kama mtoto asiekuwa na mama
Yes!Binafsi nikikuta Nyuzi ya kijinga Huwa siwezi KUMUACHA salama MLETA huo Uzi.
Nikikuta Mada ni za kijinga hakuna salia mtume
Npo jf kitambo mkuu nimekulewa Sana Ila Kama mtu anapinga apinge kwa hoja ili tujue na tujifunze wapi tunakosea.Acha kulalamika kijana,
Unapokuwa mgeni sehemu hutakiwi kuwa na papara, hata hapa Jf ukiwa mgeni unatakiwa uwe unachangia kwa stara sio kila mada unapaparukia tu
Ndio maana unawaona watu wanakukosoa kila mahala, humu kila jukwaa lina sifa zake mfn;jukwaa la siasa watu wote wanajiona think tank vivyohivyo ukija MMU kila mtu anajiona celeb
Acha kulalamika inatakiwa uishi kutokana na nature ya sehemu husika,
Nature ya Jf kuchorana sana inabidi uzoee
Chagua moja kuendelea kuwepo JF au kushusha mpira chini🙌🙏 Be blessed
Tubishane kwa hoja mkuu ili tujue tunakosea wapi haifai kuongea shitBinafsi nikikuta Nyuzi ya kijinga Huwa siwezi KUMUACHA salama MLETA huo Uzi.
Nikikuta Mada ni za kijinga hakuna salia mtume
Mimi siyo Nigga tafadhali, uwe na adabu.Akiwa kwenye jukwaa la historia namuelewa Sana na amefanya nijue mengi kuhusu historia mbalimbali so relax mind u own business ma nigga
🙏🏃Mimi siyo Nigga tafadhali, uwe na adabu.
Binafsi nikikuta Nyuzi ya kijinga Huwa siwezi KUMUACHA salama MLETA huo Uzi.
Nikikuta Mada ni za kijinga hakuna salia mtume
We jamaa comment zako zinanifurahisha sana.Mkuu wewe ndio umejaa makasiriko,tukusapoti kwenye kila uzi wewe nani?
Unagawa debe la unga?
Hao wanaokusapoti kila post ndio wanafiki na wanakuchora tu..