Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
-
- #41
Sina malalamiko mkuu,nimetoa Kama hoja ili nijifunze wapi nakosea na wapi nirekebishe.Mwanaume unaamka asubuhi unafungua uzi wa malalamiko alafu unatafuta comeback kutoka kwa tags zako,
Tubishane kwa hoja ili niweze kujifunzasupport ipi unataka?
Wataje yaishe..!! Vinginevyo ni unafiki kama unafiki mwingineLabda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.
Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.
Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.
Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.
African minds..... hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu.. Mna afya ya akili baadhi yenu.
Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.
Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Jiwe GizaniWataje yaishe..!! Vinginevyo ni unafiki kama unafiki mwingine
Limetua kwako..!!Jiwe Gizani
Thread ya kijinga kabisaLabda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.
Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.
Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.
Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.
African minds, hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu. Mna afya ya akili baadhi yenu.
Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.
Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Doctor Stranger amani iwe nawe mkuu.We jamaa comment zako zinanifurahisha sana.
[emoji16][emoji16][emoji16]Nimefungua uzi haraka nikijua nitawaona waliojimilikisha forum ya Melo kumbe umewaogopa.
[emoji419][emoji419][emoji419]Acha kulalamika kijana.
Unapokuwa mgeni sehemu hutakiwi kuwa na papara, hata hapa Jf ukiwa mgeni unatakiwa uwe unachangia kwa stara sio kila mada unapaparukia tu.
Ndio maana unawaona watu wanakukosoa kila mahala, humu kila jukwaa lina sifa zake mfn;jukwaa la siasa watu wote wanajiona think tank vivyohivyo ukija MMU kila mtu anajiona celeb.
Acha kulalamika inatakiwa uishi kutokana na nature ya sehemu husika.
Nature ya JF kuchorana sana inabidi uzoee.
Ahsante sana mkuu Mo mp5 kwa kunitag,mini ni mtu poa sana,makini na mwenye nidhamu ya hali ya juu kwasababu Tarime hatufundishwi matusi bali unyenyekevu na ukakamavu!.Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.
Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.
Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.
Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.
African minds, hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu. Mna afya ya akili baadhi yenu.
Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.
Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao
Be blessed mkuuAhsante sana mkuu Mo mp5 kwa kunitag,mini ni mtu poa sana,makini na mwenye nidhamu ya hali ya juu kwasababu Tarime hatufundishwi matusi bali unyenyekevu na ukakamavu!.
Wanaotukana wapo wengi sana na ndiyo maana nikaandika Uzi kuwashauri Viongozi wa JF waiokoe JF Thread 'Moderators tafadhali iokoeni JF imevamiwa na kundi la wajinga' https://www.jamiiforums.com/threads...eni-jf-imevamiwa-na-kundi-la-wajinga.2064129/
Yaani anaona kabisa hii jembe na nyundo yeye anakaza fuvu anakwambia hiyo koleo na sururuKAMA CHADEMA JINSI AMBAYO HUWA HAWAONI JEMA HATA MOJA LINALOFANYWA NA CCM. (MAPINGA MAPINGA HUWA YAPO) LEFTIST VIEWERS
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo hivi bhanaaa shoustie.Alijisemea Bantu Lady kuna wale much know humu wanakera kinoma wewe fanya kuishi humu kwa kuwaona kama wamekufa vile!
Kabithaaaa shost akee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo hivi bhanaaa shoustie.
[emoji8][emoji8]Kabithaaaa shost akee!!
Labda nina pasaka chache na eid chache humu JF, Jamiiforums bila watu sio kitu Tena wazee wanachoka au labda wana majukumu mengi ata muda wa kutype hawana, tupo new generation tunalisongesha gurudumu hapa JF.
Inawezekana Kuna member walifanya makubwa kwenye majukwaa humu JF na mada zao zilizoshiba, ulikuwa wakati wao tukubaliane zile Zama zimepita Japo wamebaki wachache wanalisongesha gurudumu humu JF. Tukubali JF inabadilika kizazi kipya nacho kinajiunga JF pia.
Kuna member kila mada za wezao wao ni kupinga na kukatisha tamaa wanajiona ni miungu watu kila kitu sio sawa, Mara ooh JF siku hizi imevamiwa na watoto, mbona nyie wakongwe wa JF mpo tu, leteni hizo mada zilizoshiba vijana tujifunze kutwa na nyie mnalia maisha magumu na mapenzi nonsense.
Mkuu Melo alikuwa na akili Sana kuweka categories za majukwaa ili kila mtu au member wa humu achague kwenye option yake inayompendeza, ukiona mada za kipumbavu una ignore tu maisha yanaendelea. Kwa uchunguzi wangu mdogo humu JF mada za kipumbavu ndo zinapendwa Sana na kupewa airtime kubwa na members.
African minds, hao wanajiona Bora humu JF hata kwenye majukwaa ya kujifunza kilimo, ujasiriamali, siasa, tech nk huwaoni kutwa wapo kwenye thread za mapenzi tu na umbea wapo kupinga mada za watu. Mna afya ya akili baadhi yenu.
Watu wametoa story zao nzuri nyie kutwa kuwakatisha tamaa, ni wapumbafu eti kisa ni wakongwe mmejimilikisha Jamiiforums ni Mali yenu.
Kuna members humu JF wako na roho safi, nimeanza kuwajua kitambo hawana makasiriko be blessed kwao,
Baba Mshana Jr Antonnia Darlin UMUGHAKA GENTAMYCINE Numbisa Elli Mohamed Said Unique Flower Half american na wengine kibao