Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Sasa unaona hiyo siyo issue kubwa. Wapigakura wako unawaacha wakati wewe unauwezo wa kupata PPE unakimbilia kujifungia ndani wakati wao wanaendelea kupambana na maisha wewe unaikimbia kazi waliyokutuma? Najua kuna group la wabunge la Chadema halina shida linapata ruzuku ya chama linajua miezi miwili hii nitapiga pesa za ruzuku.

Sasa ndugu yangu ngoja nikuulize maswali madogo tu

Tangu hili bunge limeanza nambie ni mbunge gani wa chadema umemuona anaongea live kwenye tv akiwa bungeni?

Jambo la pili, hivi mtanzania anawakilishwa na mbunge kwa kwenda tu eneo la bunge?

Jambo la tatu na mwisho, kwa mawazo yako unadhan wabunge wa ccm wanataka kwenda bungeni? I'm sure unajua hawataki but wanakwenda kwa kushinikizwa sasa ulitaka chadema wafanye nn?
 
Sasa ndugu yangu ngoja nikuulize maswali madogo tu

Tangu hili bunge limeanza nambie ni mbunge gani wa chadema umemuona anaongea live kwenye tv akiwa bungeni?

Jambo la pili, hivi mtanzania anawakilishwa na mbunge kwa kwenda tu eneo la bunge?

Jambo la tatu na mwisho, kwa mawazo yako unadhan wabunge wa ccm wanataka kwenda bungeni? I'm sure unajua hawataki but wanakwenda kwa kushinikizwa sasa ulitaka chadema wafanye nn?
Wabunge wengi tu wa Chadema wameongea live akiwemo Mdee, Prof. J, Esther Bulaya, Mbowe, Sugu nk.
 
Wabunge wengi tu wa Chadema wameongea live akiwemo Mdee, Prof. J, Esther Bulaya, Mbowe, Sugu nk.

Uliona kwe Chanel gani?
Hebu tuache kuwa mazuzu, tuache uongo usiokuwa na msingi

Chanel zote zilikata matangazo wakati wabunge wa Chadema wakiongea, hizo voice wamejirecod wenyewe
 
Kama fukuto na mkanganyiko uko ziziem. Kwa hili wamepigwa bao. Watz wako mil 50, kati ya waliofariki 16 watatu ni wabunge, na inasemekana kuwa kuna wabunge wengine kama 3 wanaendelea kupata matibabu. Utaona hapo kiasilimia jinsi gn ugonjwa umeingia ndani ya bunge. Yaani robo ya wathiikiri ya watz ni wabunge.

Ttz la mleta mada ni ktk nyumbu, mshua akitoa amri ya kusimamisha bunge ili waende lockdown Atakuwa wa kwanza kupongeza hapa
Si wanamuita Mwamba. Kwani sifa na tabia za miamba huwa ni zipi?
 
Si wanamuita Mwamba. Kwani sifa na tabia za miamba huwa ni zipi?


Kila mtu anamtii na kumsikiliza mwenyekiti wake 😂 😂

Mwenyekiti wa ccm angetaka lockdown na wa chadema angesema ni mbaya kiuchumi I'm sure na ww ungekuwa upande wa lockdown
 
Wao ni wawakilishi wa wananchi waliowachagua kutoka majimboni. Mimi nadhani ilikuwa ni busara zaidi kuendelea na vikao vya Bunge huku tahadhari kubwa zaidi za kujikinga na maambukizi ya Corona zikichukuliwa.
Kitendo cha kukimbia vikao vya Bunge kwa kuogopa Corona ni sawa na:-
(1)Mawaziri wote na watendaji mbalimbali Serikalini kukimbia majukumu yao na kwenda kujificha majumbani mwao kwa kuogopa Corona.
(2)Wanajeshi wote kwa ujumla wao kukimbia na kuacha majukumu yao kwa kuogopa Corona.
(3)Madaktari, Manesi na Wauguzi kukimbia na kuacha majukumu yao kwa kuogopa Corona.
Kwa hiyo, uhai wao wanaona ni bora zaidi kuliko uhai wa ndugu zetu wapendwa MADAKTARI, MANESI, WAUGUZI, WANAJESHI, MAWAZIRI, VIONGOZI WA NGAZI MBALIMBALI SERIKALINI NK. wanaopambana kila dakika kwa ajili ya ulinzi na usalama wa maisha yetu?
 
Spika wa bunge leo kaongelea sifa na tabia za Mwamba:
 
Wao ni wawakilishi wa wananchi waliowachagua kutoka majimboni. Mimi nadhani ilikuwa ni busara zaidi kuendelea na vikao vya Bunge huku tahadhari kubwa zaidi za kujikinga na maambukizi ya Corona zikichukuliwa.
Kitendo cha kukimbia vikao vya Bunge kwa kuogopa Corona ni sawa na:-
(1)Mawaziri wote na watendaji mbalimbali Serikalini kukimbia majukumu yao na kwenda kujificha majumbani mwao kwa kuogopa Corona.
(2)Wanajeshi wote kwa ujumla wao kukimbia na kuacha majukumu yao kwa kuogopa Corona.
(3)Madaktari, Manesi na Wauguzi kukimbia na kuacha majukumu yao kwa kuogopa Corona.
Kwa hiyo, uhai wao wanaona ni bora zaidi kuliko uhai wa ndugu zetu wapendwa MADAKTARI, MANESI, WAUGUZI, WANAJESHI, MAWAZIRI, VIONGOZI WA NGAZI MBALIMBALI SERIKALINI NK. wanaopambana kila dakika kwa ajili ya ulinzi na usalama wa maisha yetu?

Kila mtu amsikilize mwenyekiti wake
 
kwa njaa waliyonayo wabunge wengi wa Ufipa mimi naamini ulichosema Bia Yetu! hata kwa logic tu mtu akichezea ugali wa wanao hawezi kuwa rafiki yako!! yani kwa ndani wabunge wote maskini wa roho wamechukia mno na wanamzomea DJ , ila usoni watamchekea sana DJ kinafki!

DJ hajawahi kuwa na akili siku zote huwa anakurupuka tu!! chama ni saccos yake binafsi na daima zidumu fikra zake tu, hataki mtu ampinge!! huyu ni dikteta na mchochezi mkubwa huyu hatakiwi kabisa kurudi bungeni ikibidi hata tumchukue ‘Mshamba’ wa Mtama aje afunge goli la mkono kwa maslahi mapana ya taifa!
Wana lumumba poleni,
Kuna vinyuzi vingine vinachekesha kwa kukosa mantiki na hasa mvuto. Wenzenu ambao hawakujaaliwa moyo wa uking'ang'anizi kama wa mwendawazimu waliishachoka na kupotea.
Ila WAGUMU kama nyie, kwa 'matumaini' ya kujiongezea ukubwa wa kipato hakuna njia endeleeni kuokoteza na kufaragua vihadithi.
Siku Polepole atakapoibuka kutoka huko alikolazimika kujificha na ikatokea mkalipwa kwa mikupuo, itakuwa sherehe kubwa katika ukame huu na hata nyumbani kwako utapendwa zaidi. Amen
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Si whamie CCM tuu,
Wanafiki hao
 
Hali ni mbaya bungeni
Na madaktari, manesi na wauguzi nao wasemaje?

Vyombo vya ulinzi na usalama nao wasemaje?

Ohoo wabunge wanakufa na corona bungeni
Mpo 363 alafu hamtaki mtu afe mnataka afe nani?

Corona ipo tu kila kona kwani mtoto wa mbowe alipata corona akiwa bungeni?

Makamanda wanakimbia vita
Alafu wanataka wapewe nchi
Likitokea tena janga kama ili si watajifungia ndani chama kizima, polisi, madaktari, manesi, wauguzi, madereva wa ambulance, wafanya biashara sokoni, wauza maduka
Kusema kweli ukimkabidhi chama mwanamke alafu ndio asimamie mambo makubwa ni lazima mtaferi tu
Mbowe kamkabidhi chama halima mdee na Ester bulaya lazima tu mferi...
Unakwenda kuwafungia ndani makamanda kwa madai ya kwamba wajiweke karantini sasa ole wenu tuwaone mmekaa bar...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Bashiru, Polepole, Mtumbuamacho wako wapi?
 
Uliona kwe Chanel gani?
Hebu tuache kuwa mazuzu, tuache uongo usiokuwa na msingi

Chanel zote zilikata matangazo wakati wabunge wa Chadema wakiongea, hizo voice wamejirecod wenyewe
Acha uongo! TBC1 wameonyesha nenda hata kwenye website yao utakuta! Hata youtube
 
Haijafikia Demokrasia iliyoko CHADEMA ya kuwaacha kina Selasini na Komu kuendelea kuwa CHADEMA wakati wameshatangaza kuwa watahamia NCCR-Mageuzi!!
Nyuma ya pazia kuna mengi maovu yamefichwa, ndiyo maana Mtukufu Mbowe hathubutu kuwafukuza. Lakini wasipokuwa makini na usalama wao yatawakuta ya kuwakuta.
 
This is another rubbish. Mleta mada una akili ndogo sana hujui maana ya chama, unafikiri chama ni hao wabunge mnaotumia pesa za walipa kodi kila siku kuwanunua.

Hao akina sijui Salasini, Kubenea na sampuli yao waondoke tu waende hata sasa, mlango uko wazi, who are they to hold the party to ransom.

Chadema ina fanatics wengi wasio na idadi wafia chama na sio hao wafia tumbo na ambao Magufuli hana kabisa hela ya kuwanunua. Hao waende hata sasa, tena waende kabisa. Bure kabisa hao.

Watu wenye akili zao hawawezi kuendelea kuhatarisha maisha yao kisa ubunge huku wabunge wengine tayari wanakufa kwa corona. It's a sheer foolishness.
 
This is another rubbish. Mleta mada una akili ndogo sana hujui maana ya chama, unafikiri chama ni hao wabunge mnaotumia pesa za walipa kodi kila siku kuwanunua.

Hao akina sijui Salasini, Kubenea na sampuli yao waondoke tu waende hata sasa, mlango uko wazi, who are they to hold the party to ransom.

Chadema ina fanatics wengi wasio na idadi wafia chama na sio hao wafia tumbo na ambao Magufuli hana kabisa hela ya kuwanunua. Hao waende hata sasa, tena waende kabisa. Bure kabisa hao.

Watu wenye akili zao hawawezi kuendelea kuhatarisha maisha yao kisa ubunge huku wabunge wengine tayari wanakufa kwa corona. It's a sheer foolishness.
Acha hasira... Mwenyekiti kazidi udikteta. Sasa amegusa masilahi ya watu.. subir uone


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom