Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Wewe acha ukichaa Rais huwezi mlinganisha na Mbunge!! Rais ni nembo ya nchi analindwa sana tu kama kuna tatizo lolote nchini yeye anakuwa wa mwisho kuumizwa unafikiri Rais anatakiwa kuwa mbele? Haijawahi tokea duniani labda kwenye Saccos ya Chadema!
Anakimbia hata ofisi? Sii mumvalishe PPE?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiambiwa wanaopinga maamuzi ya Mbowe hutaamini ni Wengi sana

Iko wazi dj amezidi udkteta
This is another rubbish. Mleta mada una akili ndogo sana hujui maana ya chama, unafikiri chama ni hao wabunge mnaotumia pesa za walipa kodi kila siku kuwanunua.

Hao akina sijui Salasini, Kubenea na sampuli yao waondoke tu waende hata sasa, mlango uko wazi, who are they to hold the party to ransom.

Chadema ina fanatics wengi wasio na idadi wafia chama na sio hao wafia tumbo na ambao Magufuli hana kabisa hela ya kuwanunua. Hao waende hata sasa, tena waende kabisa. Bure kabisa hao.

Watu wenye akili zao hawawezi kuendelea kuhatarisha maisha yao kisa ubunge huku wabunge wengine tayari wanakufa kwa corona. It's a sheer foolishness.
 
Wakifukuzwa vigogo wa Chadema Mbowe atavuliwa nguo
Nyuma ya pazia kuna mengi maovu yamefichwa, ndiyo maana Mtukufu Mbowe hathubutu kuwafukuza. Lakini wasipokuwa makini na usalama wao yatawakuta ya kuwakuta.
 
Naona ma - great thinker mnachangia mipasho maana mleta uzi anajibu kila kitu kama mada za mlokole money penny
 
Chadema wamelitia aibu Taifa

Watanzania wamewaamini wamewachagua kwenda kuwakilisha bungeni wao wamekimbia bunge

Sisi tuliowachagua tupo mtaani tunapambana
Wao ni wawakilishi wa wananchi waliowachagua kutoka majimboni. Mimi nadhani ilikuwa ni busara zaidi kuendelea na vikao vya Bunge huku tahadhari kubwa zaidi za kujikinga na maambukizi ya Corona zikichukuliwa.
Kitendo cha kukimbia vikao vya Bunge kwa kuogopa Corona ni sawa na:-
(1)Mawaziri wote na watendaji mbalimbali Serikalini kukimbia majukumu yao na kwenda kujificha majumbani mwao kwa kuogopa Corona.
(2)Wanajeshi wote kwa ujumla wao kukimbia na kuacha majukumu yao kwa kuogopa Corona.
(3)Madaktari, Manesi na Wauguzi kukimbia na kuacha majukumu yao kwa kuogopa Corona.
Kwa hiyo, uhai wao wanaona ni bora zaidi kuliko uhai wa ndugu zetu wapendwa MADAKTARI, MANESI, WAUGUZI, WANAJESHI, MAWAZIRI, VIONGOZI WA NGAZI MBALIMBALI SERIKALINI NK. wanaopambana kila dakika kwa ajili ya ulinzi na usalama wa maisha yetu?
 
Back
Top Bottom