Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Kuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau kwamba amekua akisema tukichagua upinzani wataiba skrepa za bombadia na za madaraja wakauze,Kuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
Kabisa. Yote haya ahojiwe. Analeta hofu kwa wananchi bila sababu.Bila kusahau kwamba amekua akisema tukichagua upinzani wataiba skrepa za bombadia na za madaraja wakauze,
Analeta ubaguzi wa waziwazi kabisa. Analigawa taifa. Ahojiwe kwa nini anabagua kwa misingi ya chama?Kutopeleka maendeleo kwa wapinzani !!! Ahojiwe pia hiyo sio demokrasia ambayo ndio ilimpitisha yeye !! Damu TL ikiyomwagika ni sawa iliyomwagika kuchinja wanyawa kabla Uhuru ....huko Bagamoyo !! Haiendi bure
Hio haiwezi kutokea, kinyago akichonge mwenyewe na bado kimtisheKuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
Na ndio mvunja maadili namba moja,vitisho yeye ukabila yeye uongo yeyeKuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
Huyo ni sawa na malaika mkuu akiitwa nahama nchiKuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
Na tunaomba tume ,siku LISSU wanamhoji ile TBC ionyeshe mubashara,muone watakavyi aibikaYule yupo juu ya sheria ndiyo maana hata msukule wake Polepole anamtukana Lissu hadharani
We we we we weNa tunaomba tume ,siku LISSU wanamhoji ile TBC ionyeshe mubashara,muone watakavyi aibika
Inabidi wamwite tu. Hatutakubali wasipomuita. Anatia hofu wananchi kwa upotoshaji wake.Huyo ni sawa na malaika mkuu akiitwa nahama nchi
Tume haiwezi kumuita kwani ipo mfukoni mwake, Ni Magufuli huyu anayesema kuwa Lissu katumwa na mabeberu, wakati form ya vkugombea kapewa na tume, na tume haijitambui kuwa Magufuli "anaitukana"Kuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
Vita wao ndio watakaonzisha na si wapinzani ila wanapotosha kuwa wapinzani wakishika madaraka wataleta vita. Tume imuite imuhoji.Hio haiwezi kutokea, kinyago akichonge mwenyewe na bado kimtishe
Ila wawe wakweli tu hiyo vita labda waianzishe wao wapinzani hawana silaha wala jeshi la polisi
pia amekuwa akitoa vitisho kwa wapiga Kira,na zawadi zisizokuwa rasmi pamoja na ubaguzi wa kiitikadi kwenye maendeleo ya taifa.Kuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
Kabisa mkuu. Haya yote anatakiwa ahojiwe na ayatolee maelezo ya kina. Anasababisha hofu kwa watanzania.pia amekuwa akitoa vitisho kwa wapiga Kira,na zawadi zisizokuwa rasmi pamoja na ubaguzi wa kiitikadi kwenye maendeleo ya taifa.
Aisee! Umenichekesha mkuu. Kwa hiyo tume ni mabeberu.Tume haiwezi kumuita kwani ipo mfukoni mwake, Ni Magufuli huyu anayesema kuwa Lissu katumwa na mabeberu, wakati form ya vkugombea kapewa na tume, na tume haijitambui kuwa Magufuli "anaitukana"